filis kwa sehemu kubwa yale huwa ni mazingaombwe tuu.. Ila kama ni kweli kuna wataalam huweza kutoa kwa kunyweshwa kitu kinaitwa kombe na muathiriwa kutapikaDocta mshana ivi mchawi akikuekea mfano irizi kimazingara ktk mwili wako eg tumbo au kichwani vipi unaeza kuitoa ni nini victim afanye ili kuitoa
Asante ila mnh vinaumiza sana mi ni mhanga nilienda sehem wakanitel ivo wakisema nitoe Sasa bado ninacho kinaniuma sana na naisi uzito sehem ya tumbofilis kwa sehemu kubwa yale huwa ni mazingaombwe tuu.. Ila kama ni kweli kuna wataalam huweza kutoa kwa kunyweshwa kitu kinaitwa kombe na muathiriwa kutapika
[emoji23] [emoji23] [emoji125]Kumekucha Africa!
Mmh tafuta dawa ya MAKATA utatapika kila kitu. . imekaa kama magadi inapatikana kwa wasambaaAsante ila mnh vinaumiza sana mi ni mhanga nilienda sehem wakanitel ivo wakisema nitoe Sasa bado ninacho kinaniuma sana na naisi uzito sehem ya tumbo
Poa my dearMmh tafuta dawa ya MAKATA utatapika kila kitu. . imekaa kama magadi inapatikana kwa wasambaa
Ile wengine wameshashindwaTunaendeleza jadi
Kavua hilo roho sasa haliwezi kukaa bila makazi kwahiyo wa kwanza kupita ndo atakuwa mhangaHivi kuna ukweli kwamba ukiwa wa kwanza kupita njia panda mida ya saa kumi au kumi na moja,kama kuna mtu aliogea hapo kwa lengo la kutoa nuksi na mikosi,hizo nuksi zinakukumba wewe uliekua wa kwanza kupita au hizi ni tetesi tu??