Usiogope mabaki hayana madhara tena

Usiogope mabaki hayana madhara tena

Kweli kabisa. Kuna rafiki yangu alikuwa anokata na kula hizo Nazi zilizo vunjwa njia Panda.
IMG_20170723_120725.jpg
 
Nimekuelewa sana mkuu mshaea jr[emoji21] [emoji21] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]
 
Mic u mshana. Kaka hivi yule Jamaa nilikukutanae kule deshdesh sio huyo bujibuji? Au mawazo yangu sio. Nakumiss bro n l miss the place. Nialike tena bro
 
Mic u mshana. Kaka hivi yule Jamaa nilikukutanae kule deshdesh sio huyo bujibuji? Au mawazo yangu sio. Nakumiss bro n l miss the place. Nialike tena bro
Dah thanks sana... Nikumbushe mazingira usijali.. Especially the place
 
Mkuu mshana jr vipi jini likirushwa na likamkosa mlengwa, likabaki njiani likitangatanga? Ukikutana nalo?
 
Ukipita pembeni seheme ya njia panda in hatari Sana. Eneo salama njia panda in katikati.

Vitu vibaya njia panda hukaa pembeni vikisubiri mlengwa

Mkuu mshana Jr verify hii
Inaitwa kutega ama kutegewa lakini logik nyingine ni kwamba vinakuwa vimepeperushwa na upepo au magari
 
Hatari kubwa kaka... Sio jini tu kuna phantom hurushwa na kukosa ama kukosea target ikikupata ni shida
Aaaah. Aaaah! Kumbe hata hizi phantom zinaweza kwenda wrong target! Daah. Technology hatari sana hii!
 
Back
Top Bottom