Usioe kama hauna kipato cha kueleweka

Usioe kama hauna kipato cha kueleweka

Aisee! Sio rahisi kipato kupotea kama mnavyosema wakuu.

NIAMBIE NI WATU WANGAPI UNAWAJUA AMBAO KIPATO KIMEWAISHIA KIASI HAWAWEZI KUTOA HUDUMA KWA FAMILIA ZAO..?

Unachokisema ni IMAGINATIONS tu Mkuu, maisha hayapo hivyo.
Inaonekana wewe umemaliza chuo mwaka huu na bado huyajui maisha!
 
Unawapotosha vijana. Binafsi yangu, kipindi naoa ndo kwanza nina miaka miwili nimemaliza chuo alafu sikuwa na kazi yoyote ya kuniingizia kipato.

Mke wangu amekuwa chachu ya mafanikio yangu hadi hapa nilipo. Ninachokiamini, maisha hayana kanuni, kila mtu na riziki yake.
 
Habari zenu wakuu,

Kuoa ni zaidi ya upendo, kuoa ni majukumu na sio kuitana Babe au Mahabuba.

Kama hujajipata tafadhali nakuomba usiikimbilie Ndoa, maana utaumia na kuichukia hiyo Ndoa kilasiku kwenye maisha yako. Maisha ya ndoa yanahitaji pesa za kilasiku na hilo jukumu ni la kwako wewe Mwanaume na sio mwengine, kwahyo hakikisha kuwa unakipato cha kueleweka ili kuepusha matatizo mbeleni.

Kila mtu ana ndoto za kuwa na ukwasi kwenye maisha yake, unapooa wakati hujajipanga huenda ukashindwa kufikia hizo ndoto kwa kiasi kikubwa.

Nimeona baadhi ya vijana wenzangu wakioa lakini mwisho wa siku wanazitesa familia zao kwa Njaa, maana kilasiku wanalia shida kusaidiwa hela kulisha familia zao.

NB. KUOA NI MAJUKUMU, JIPANGE KABLA YA KUYATIMIZA HAYO MAJUKUMU.
💯💯
 
Unawapotosha vijana. Binafsi yangu, kipindi naoa ndo kwanza nina miaka miwili nimemaliza chuo alafu sikuwa na kazi yoyote ya kuniingizia kipato.

Mke wangu amekuwa chachu ya mafanikio yangu hadi hapa nilipo. Ninachokiamini, maisha hayana kanuni, kila mtu na riziki yake.
Acha kupotosha vijana watapata stress bure..
Ulioaje huku hauna kitu maana yake kuna watu walikuwa wanakusupport sasa usishawishi wenzako wauvagae mkenge.
 
sio kweli,ingekuwa pesa ndo inatuliza ndoa,yule mwenye shule ya bunju boys asingejiua kwa risasi na utajiri wake wote.muombe tu mungu akupe mke mwema SIO UTAJIRI.
 
KATAA NDOA
NDOA NI UJAMBAZI KAMA UJAMBAZI MWINGINE
NDOA NI UNYONYAJI

NB: No wedding No stress
 
Unawapotosha vijana. Binafsi yangu, kipindi naoa ndo kwanza nina miaka miwili nimemaliza chuo alafu sikuwa na kazi yoyote ya kuniingizia kipato.

Mke wangu amekuwa chachu ya mafanikio yangu hadi hapa nilipo. Ninachokiamini, maisha hayana kanuni, kila mtu na riziki yake.
lakini mkuu, hela ya kula ulikuwa unatoa wapi? au mlikuwa hamli?
 
Back
Top Bottom