Usiniulize nimeipata wapi...

Usiniulize nimeipata wapi...

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,301
Reaction score
829,350
1412700409392.jpg makosa
 
hahaaa chezea mapenzi wewe... damu ikichemka hata kama ni vitani... unasahau.
 
Wakati Mangu yuko busy na maandamano huku barabarani watu wanajinafasi.
 
Wee Mshana nawe!, nilipoona nikambilia nikijua kuna bonge la bleking nyuzzz!, kumbe ni picha tuu ya maandalizi ya kazi na dawa!, hapo kuna news gani?!, si ni wako garden baada ya kazi ya kutwa nzima juani!, wangekuwa wako lindo labda!, na pia kupeanza pumziko baada ya kazi ni rukhsa!, liwazo la moyo maofisini rukhsa!, na hata kuchukua jumla imo, ila mmoja atabadilishwa kituo cha kazi!.

Labda ingekuwa nyuzz kama angekuwa Mangwe na Adivera hizi, lakini hao, ni ruhusa kabisa!.

Ila mafundi simu siki hizi ni noma kweli!.

Pasco.
 
Lisha nyama ya ulimi toa mazungumzo matamu na kwenye udhia tea rupia
 
Wee Mshana nawe!, nilipoona nikambilia nikijua kuna bonge la bleking nyuzzz!, kumbe ni picha tuu ya maandalizi ya kazi na dawa!, hapo kuna news gani?!, si ni wako garden baada ya kazi ya kutwa nzima juani!, wangekuwa wako lindo labda!, na pia kupeanza pumziko baada ya kazi ni rukhsa!, liwazo la moyo maofisini rukhsa!, na hata kuchukua jumla imo, ila mmoja atabadilishwa kituo cha kazi!.

Pasco.


.....ha ha ha kila siku ningekuwa na pita na kosa !!!
 
Halafu anapete kuonyesha mke wa mtu... Usalama oyeeee
 
Duuh.. Mahaba kazini haya lol.. Wanazidhalilisha gwandas hizo..
 
Back
Top Bottom