Usiniulize nimeipata wapi...

Usiniulize nimeipata wapi...

....kaafande kana tom*ewa vichakani halafu isikute mumewe ana muheshimuuu kama bonge la wife!
 
mbona namba za utambulisho hazionekani kwa wote? mashaka kama sio za photoshop
 
Hiyo ni hulka ya mtu tu kaka, hata akibaki nyumbani pia anaweza akafanyia humohumo ndani

Hapana....kubaki home ni tofauti sana na kufanya kazi... Si tunao tunafanya nao kazi??
 
Mapenzi ni matamu jamani. Wao wameona bora denda kuliko notifications.
 
Kaafande kamelegeaa kanasikilizia lita tu.
 
Wee Mshana nawe!, nilipoona nikambilia nikijua kuna bonge la bleking nyuzzz!, kumbe ni picha tuu ya maandalizi ya kazi na dawa!, hapo kuna news gani?!, si ni wako garden baada ya kazi ya kutwa nzima juani!, wangekuwa wako lindo labda!, na pia kupeanza pumziko baada ya kazi ni rukhsa!, liwazo la moyo maofisini rukhsa!, na hata kuchukua jumla imo, ila mmoja atabadilishwa kituo cha kazi!.

Labda ingekuwa nyuzz kama angekuwa Mangwe na Adivera hizi, lakini hao, ni ruhusa kabisa!.

Ila mafundi simu siki hizi ni noma kweli!.

Pasco.
Pasco kwanza nimekumiss sana kwenye post zangu
SASA: Hapo kuna makosa mawili makuu
Kosa la kwanza: kuselebuka na mavazi rasmi ya Jamhuri
Kosa la pili: bidada ni make wa mtu, angalia kavaa pete ya ndoa
NA HIYO NDIO BREAKING NEWS YENYEWE

Mshana Jr.
 
Last edited by a moderator:
Hapa ndio najua kwanini mke hatakiwi kufanya kazi, anatakiwa akae ndani apike

Hahahahaaaaa utafiti kumbuka kuna wauza nguo na mbogamboga majumbani, wauza genge na mahouseboy
 
Last edited by a moderator:
Cha wizi kitamu jamani nyie acheni tu
 
Back
Top Bottom