Usiniulize nimeipata wapi...

Usiniulize nimeipata wapi...

Mbona hana hata namba za uta utambulisho au ndo zile za kupaza sauti kutafuta KICK !!!?
 
Mmmh nani kawapiga picha.
Hapo kazi hawana, ndoa zimevunjika
 



Siyo kama nakataa ila wakati mwingine unaweza kukuta hii ni fetish fulani. Yaani mtu anashikwa na nyege pale tu anapovaa nguo fulani kama kujifanya dokta, polisi, nesi, shoga, nk. Unaweza kukuta hawa jamaa walikubaliana wavae kitrafiki ili stimu ipande na kufanya mapenzi makaburini ama vichakani. Bongo hii, sinema za kina Kanumba mbona zinawaharibu watu.
 
Siyo kama nakataa ila wakati mwingine unaweza kukuta hii ni fetish fulani. Yaani mtu anashikwa na nyege pale tu anapovaa nguo fulani kama kujifanya dokta, polisi, nesi, shoga, nk. Unaweza kukuta hawa jamaa walikubaliana wavae kitrafiki ili stimu ipande na kufanya mapenzi makaburini ama vichakani. Bongo hii, sinema za kina Kanumba mbona zinawaharibu watu.

Hii ni original kabisa na ni kati ya kibaha na chalinze...!!!tafakari
 
Binti ndoa yake changa kabisa hana hata mtoto huyu ..inaumaje? I wish mioyo yetu ingekuwa transparent...!!!!
 
Pasco kwanza nimekumiss sana kwenye post zangu
SASA: Hapo kuna makosa mawili makuu
Kosa la kwanza: kuselebuka na mavazi rasmi ya Jamhuri
Kosa la pili: bidada ni make wa mtu, angalia kavaa pete ya ndoa
NA HIYO NDIO BREAKING NEWS YENYEWE

Mshana Jr.

Pete za ndoa zinauzwa kama njugu Kariakoo. Mabaamedi wengi siku hizi wanazivaa. Afu we dogo acha kurusha watu roho. hii picha imetembea sana whatsapp karibia wiki mbili sasa. na watu wengi wanajua nini kilikuwa kinafanyika....
 
Last edited by a moderator:
Siyo kama nakataa ila wakati mwingine unaweza kukuta hii ni fetish fulani. Yaani mtu anashikwa na nyege pale tu anapovaa nguo fulani kama kujifanya dokta, polisi, nesi, shoga, nk. Unaweza kukuta hawa jamaa walikubaliana wavae kitrafiki ili stimu ipande na kufanya mapenzi makaburini ama vichakani. Bongo hii, sinema za kina Kanumba mbona zinawaharibu watu.

Wewe ni Great Thinker wa ukweli....
 
Wee Mshana nawe!, nilipoona nikambilia nikijua kuna bonge la bleking nyuzzz!, kumbe ni picha tuu ya maandalizi ya kazi na dawa!, hapo kuna news gani?!, si ni wako garden baada ya kazi ya kutwa nzima juani!, wangekuwa wako lindo labda!, na pia kupeanza pumziko baada ya kazi ni rukhsa!, liwazo la moyo maofisini rukhsa!, na hata kuchukua jumla imo, ila mmoja atabadilishwa kituo cha kazi!.

Labda ingekuwa nyuzz kama angekuwa Mangwe na Adivera hizi, lakini hao, ni ruhusa kabisa!.

Ila mafundi simu siki hizi ni noma kweli!.

Pasco.

Swali la kujiuliza Pasco! Mtu wa tatu alikuwa nani? Au mafundi simu wameanza kupiga picha!
 
Jamani ya kweli haya? Mbona hata number hawana? si ya kutengeneza hii au ni kuruta wa traffic. Tehe teheeeeee.
 
Pasco kwanza nimekumiss sana kwenye post zangu
SASA: Hapo kuna makosa mawili makuu
Kosa la kwanza: kuselebuka na mavazi rasmi ya Jamhuri
Kosa la pili: bidada ni make wa mtu, angalia kavaa pete ya ndoa
NA HIYO NDIO BREAKING NEWS YENYEWE

Mshana Jr.

Kwani umeitoa wapi mshana?
 
Last edited by a moderator:
Nimenyegekaaaaa! aargh... ngoja nitafute mnyonge nimmegee!
 
Back
Top Bottom