Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,506
- 11,439
Wajameni tena wako porini halafu haka kaafande ka kike kana Pete ya ndoa majanga
Hatujaona mkono wa kushoto wa afande wa kiume. Ukute nae ni mr wa mtu
Wajameni tena wako porini halafu haka kaafande ka kike kana Pete ya ndoa majanga
Siyo kama nakataa ila wakati mwingine unaweza kukuta hii ni fetish fulani. Yaani mtu anashikwa na nyege pale tu anapovaa nguo fulani kama kujifanya dokta, polisi, nesi, shoga, nk. Unaweza kukuta hawa jamaa walikubaliana wavae kitrafiki ili stimu ipande na kufanya mapenzi makaburini ama vichakani. Bongo hii, sinema za kina Kanumba mbona zinawaharibu watu.
Pasco kwanza nimekumiss sana kwenye post zangu
SASA: Hapo kuna makosa mawili makuu
Kosa la kwanza: kuselebuka na mavazi rasmi ya Jamhuri
Kosa la pili: bidada ni make wa mtu, angalia kavaa pete ya ndoa
NA HIYO NDIO BREAKING NEWS YENYEWE
Mshana Jr.
Hii ni original kabisa na ni kati ya kibaha na chalinze...!!!tafakari
Hiyo ajali ilitojea wapi yailahi!
Siyo kama nakataa ila wakati mwingine unaweza kukuta hii ni fetish fulani. Yaani mtu anashikwa na nyege pale tu anapovaa nguo fulani kama kujifanya dokta, polisi, nesi, shoga, nk. Unaweza kukuta hawa jamaa walikubaliana wavae kitrafiki ili stimu ipande na kufanya mapenzi makaburini ama vichakani. Bongo hii, sinema za kina Kanumba mbona zinawaharibu watu.
Wee Mshana nawe!, nilipoona nikambilia nikijua kuna bonge la bleking nyuzzz!, kumbe ni picha tuu ya maandalizi ya kazi na dawa!, hapo kuna news gani?!, si ni wako garden baada ya kazi ya kutwa nzima juani!, wangekuwa wako lindo labda!, na pia kupeanza pumziko baada ya kazi ni rukhsa!, liwazo la moyo maofisini rukhsa!, na hata kuchukua jumla imo, ila mmoja atabadilishwa kituo cha kazi!.
Labda ingekuwa nyuzz kama angekuwa Mangwe na Adivera hizi, lakini hao, ni ruhusa kabisa!.
Ila mafundi simu siki hizi ni noma kweli!.
Pasco.
Nimenyegekaaaaa! aargh... ngoja nitafute mnyonge nimmegee!