Usiniulize kwanini sichepuki

Usiniulize kwanini sichepuki

Una akili sana wewe. Watu wanaweza kutoa lekcha kwa jamaa lakini bado ana afadhali kubwa kuliko Wanaume wengi. Tunawaona huku wanapiga bia, wana Wanawake kila kona, wanawadharau wake zao nk.

Lakini braza Nanya yeye anagida bia lakini mawazo kwa mkewe. Safi sana.

Always drinking is good idea!
Wengine wakichepuka utadhani ndo wanabalehe kumbe washapiga papuchi laki tatu
Kucheat kupo ila mwanaume anaekumbuka nyumbani ni mzuri sana
 
Mkeo kakuloga afu we unadhani eti kweli hutamani.

Ushachotwa mchanga wewe jitambue, kalagabao.
 
utuambie unampelekaga wapi mkeo na Sie tupate maujanja.

ni vizuri umfundishe kunywa bia najua akizoea ata enjoy sana kununuliwa bia na kubambiwa na wanaume wengine bar.
housegirl inaonekana bado hujapokea elf 30 za mshahara wako naona una moto kweli kweli. njoo kigamboni unywe bia
 
Sante kwa elimu ya Ukimwi mkuu, Ila na ww upunguze bia sasa, unakaribisha kitambi na matatizo ya uzeeni kama kisukari na presha ya kupanda
 
Narudia tena, usiulize kwanini na unywaji bia wangu wote sijawahi kutoka na wanawake naokutana nao bar. Kama mtu mzima huna budi kujiongeza pale ndugu yako anapopatwa na majanga. wahenga walisema mwenzako akinyolewa zako tia maji.

Nimejifunza kuachana na uhuni kupitia ndugu yangu. Ndugu yangu wa damu kabisa alifariki kwa ugonjwa wa UKIMWI wakati bado kijana mwenye nguvu za kutumikia taifa. nilisikitika ila sikuwa na uwezo wa kumfufua, ila uwezo niliokuwa nao ni kujifunza kupitia maisha yake aliyoishi.

Ukikutana na mwanamke bar mpige bia, mchekeshe mpaka mbavu zivunjike, bambia ubambiavyo, ila mwisho wa siku usije ukaamua kulala nae, huwa tunakutana tu sehemu za starehe angali hatujui afya ya yule tunaeongea nae ipoje.

Piga bia lipa bili kisha rudi kwa mamsapu ukaburudishwe na steki zake, hizi steki za mtaani ambazo hatujui kama zimethibitishwa na TBS zinaweza zikawa ni vibudu.

Nimemaliza, karibu bia
Waiter zungusha kwa mleta Mada
 
Narudia tena, usiulize kwanini na unywaji bia wangu wote sijawahi kutoka na wanawake naokutana nao bar. Kama mtu mzima huna budi kujiongeza pale ndugu yako anapopatwa na majanga. wahenga walisema mwenzako akinyolewa zako tia maji.

Nimejifunza kuachana na uhuni kupitia ndugu yangu. Ndugu yangu wa damu kabisa alifariki kwa ugonjwa wa UKIMWI wakati bado kijana mwenye nguvu za kutumikia taifa. nilisikitika ila sikuwa na uwezo wa kumfufua, ila uwezo niliokuwa nao ni kujifunza kupitia maisha yake aliyoishi.

Ukikutana na mwanamke bar mpige bia, mchekeshe mpaka mbavu zivunjike, bambia ubambiavyo, ila mwisho wa siku usije ukaamua kulala nae, huwa tunakutana tu sehemu za starehe angali hatujui afya ya yule tunaeongea nae ipoje.

Piga bia lipa bili kisha rudi kwa mamsapu ukaburudishwe na steki zake, hizi steki za mtaani ambazo hatujui kama zimethibitishwa na TBS zinaweza zikawa ni vibudu.

Nimemaliza, karibu bia
Aiseee!!! You are so SMART kichwani. Big Up Sana. You've really inspired me. Cku zote hua naamini Kama mtu uko safe in terms of healthwise lazima uijali afya yako. Afya ndo kila kitu. Naomba mungu anijaalie mume mwenye msimamo kama wako. Ameen InshaAllah
 
Sante kwa elimu ya Ukimwi mkuu, Ila na ww upunguze bia sasa, unakaribisha kitambi na matatizo ya uzeeni kama kisukari na presha ya kupanda
nakwambia toka thread ianze umeona amezungusha round ngapi ? karibu wote tumenunuliwa bia. ndo zake huyu halafu nyumbani kaacha shigapi eti??
 
nakwambia toka thread ianze umeona amezungusha round ngapi ? karibu wote tumenunuliwa bia. ndo zake huyu halafu nyumbani kaacha shigapi eti??
ukiona mwanamke unapewa hela ya matumizi kila siku basi ujue una matatizo ya ufujaji, mi natoa hela ya mwezi mzima sitaki usumbufu, karibu bia
 
Back
Top Bottom