Usiniulize kwanini sichepuki

Usiniulize kwanini sichepuki

blaza mkubwa alikua hapigi kavu na bado alikufa kwa ngoma.. tafakari
aliletewa na mwenzake!

mi sichepuki kwasababu naishiwa kuchekwa kibamia... dkk2 nimemaliza..... ila sipo pekeyangu mpaka mnyama tupo chama moja.
 
aliletewa na mwenzake!

mi sichepuki kwasababu naishiwa kuchekwa kibamia... dkk2 nimemaliza..... ila sipo pekeyangu mpaka mnyama tupo chama moja.
unajua kwanini una kibamia? kwasababu haunywi bia
karibu mkuu
 
niache konyagi?
tumbo likizidi si ndo kitapotea kabisa!
kunywa Castle mbili kila siku kwa muda wa miezi 6.
pia huwezi kupata kitambi kama hom una huu mzigo, huna haja ya gym.
1474700101249.jpg
 
  • Thanks
Reactions: MC7
kunywa Castle mbili kila siku kwa muda wa miezi 6.
pia huwezi kupata kitambi kama hom una huu mzigo, huna haja ya gym.View attachment 405950
mbili si nitawahi kurudi home, mi huwa nafika saa 8, kumi na 2 nimetoka. naogopa kero za mama watoto.

sasa babu hivi unipigi fix kweli hako kakifaa + kasto viongeze dushe kweli. ngoja ninywe supu ya kunde mama watoto kaniandalia labda nitakuelewa.
 
mbili si nitawahi kurudi home, mi huwa nafika saa 8, kumi na 2 nimetoka. naogopa kero za mama watoto.

sasa babu hivi unipigi fix kweli hako kakifaa + kasto viongeze dushe kweli. ngoja ninywe supu ya kunde mama watoto kaniandalia labda nitakuelewa.
 
kuna ukweli hapa, ukishupaza shingo yakikukuta unaanza kuzikumbuka hata thread za namna hii.
 
Mke wako ni among few lucky women, sijui kama anajijua lakini...
Una akili sana wewe. Watu wanaweza kutoa lekcha kwa jamaa lakini bado ana afadhali kubwa kuliko Wanaume wengi. Tunawaona huku wanapiga bia, wana Wanawake kila kona, wanawadharau wake zao nk.

Lakini braza Nanya yeye anagida bia lakini mawazo kwa mkewe. Safi sana.

Always drinking is good idea!
 
Back
Top Bottom