Usimwamini mwanamke kwa 100% hata siku moja

Usimwamini mwanamke kwa 100% hata siku moja

Muendelezo.....

Jamaa akabamiza mlango akaondoka, alipofika nje akachukua boda, boda alimpeleka buguruni alipokuwa ame park lory aina ya Benz likiwa na container la 40FT, basi akapanda kwenye gari akawasha huyo motoo, safari ikaanza ya kwenda Burundi, ameenda mpaka kibaha akapigwa mkono na matrafki, si unajua tena wanataka tozo za kubrashia viatu akamwachia trafki yule aftatu, trafki akasema huku akitabasam unyama sanaa akimpungia jamaa.

Mwisho
 
USIMWAMINI MWANAMKE KWA 100% HATA SIKU MOJA

TRUE STORY

PART TWO


__Stori ilipoishia

Kwa namna yule jamaa alivoingia nikawa na maswali mengi kichwani nikawa nimeghairi kuondoka ili jamaa aondoke nimuulize demu yule ni nani. Kwa hiyo nikamjibu kuwa nimeghairi kuondoka ntaondoka jioni (Hiyo ilikuwa saa 5 hivi asubuhi). Kwa unyonge akarudi kule ndani, nikasikia jamaa sasa linatukana matusi, kuwa halipendi ujinga na u.s.e.n.g.e u.s.e.n.g.e, na maneno mengine makali makali. Mengine nikawa sisikii mengine nasikia, kama dakika 2 hivi. Halafu jamaa likatoka likabamiza mlango kwa nguvu huku linaondoka linamwambia demu aache upumbavu wake kabisa. Hilooooooo likapotea zake……



Tuendelee

Jamaa alivoondoka demu akaanza kupika. Nikasubiri apike akamaliza tukala. Lakini akawa hana amani kabisa kwa sababu sijauliza chochote. Baadae tukaenda kukaa nje ndio nikamuuliza yule alikuwa nani. Akaniambia yule ni mume wa dada yake ambaye anaishi Dodoma, yuko Dar kikazi, dada yake alimuomba aje amletee hela kwa sababu yeye (demu) alimuomba dada yake. Kule kugomba ni kwa sababu alikuwa anampigia simu hapokei saa nzima alikuwa anataka demu ndio afuate hiyo hela mahali sasa yeye hakuiona simu. Nikauliza mbona kaingia ndani bila hodi kama shimoni tu, akasema pale ni sebleni kwa hiyo akitaka kuvaa anaenda chumbani kwa dada yake kuvaa (KUMBUKA SIO DADA YAKE NI MPANGAJI MWENZIE). Akasema watu wamezoea kuingia tu pale. Sikuridhika kabisa na maelezo yake lakini sikutaka kumkwaza nikapotezea. Upendo niliokuwa nao kwake ulikuwa mkubwa kuliko hilo tukio.

Alipokaribia kujifungua akaniambia akijifungua ataenda kukaa kwa dada ake mwingine yule wa Mbagala mpaka arobaini ikipita ndio atarudi (KUMBE YULE SASA NDIO DADA YAKE). Nikamuuliza kwa nini? Pale si yupo kwa dada yake? Akasema huyu hana upendo kama yule na ni mvivu, akikaa hapo atateseka, kujifungua kwenye daktari alishamwambia lazima atajifungua kwa operesheni. Halafu pia akasema akijifungua asingependa kuendelea kukaa pale, kama vipi nimpangishie kwingine. Mimi nikaelewa. KUMBE KUNA PICHA ANAICHEZA BANA. Kwanza huyu sio dada yake, pili lile jamaa ambalo ndio baba mwenye nyumba litakuwa linakuja kuvizia likutane na baba wa mtoto, japo lilishamwambia kwamba ile mimba sio yake, na demu akakomaa mimba ni yake. Lakini pia anataka akijifungua ahame pale kwa kutoroka, asimwambie jamaa kuwa anahama ili siku jamaa akija kama anavotokeaga bila kupiga simu akute hakuna mtu!!!



Siku ikafika akajifungua kwa operation alivoruhusiwa kutoka nikampeleka huko kwa dada yake (Ambaye siku zote 3 alikuwa anashinda hapo hospitali, ndio tukaweza kufahamiana sasa. Mtu poa sana yule shemeji!!). Arobaini ilivokaribia Sharifa akanikumbusha kuhusu kuhama pale Temeke. Kesho yake tu nikatafuta nyumba nikapata sehemu tatu tofauti tofauti, nikamtaarifu. Tukapanga aje aangalie achague atakapopapenda. Keshokutwa yake akamuacha mtoto chap akaja akachagua nyumba aliyoipenda nikalipa kodi ikawa wanafanya ukarabati wakimaliza aingie. Arobaini ikafika ikapita, akarudi kule Temeke sasa kwa ajili ya kujiweka sawa kuhama. Wiki hiyo hiyo kabla hajahama jamaa (ex husband) akatokea kujadili mustakabali wa mahusiano yao, nasikia ilikuwa ugomvi flani jamaa akaondoka kwa hasira lakini hakufanya fujo (HII SASA ALIKUJA KUNISUMULIA JAMAA MWEYEWE BAADAE wakati ananitafuta kuniambia nimetorosha mke wake. Alikuwa ashamtolea posa amuoe mke wa pili na posa ilipokelewa. Walikuwa washakuwa kwenye mahusiano miaka nane, yani toka demu anafika Dar tu. Jamaa ni muislam na demu muislam, mimi mkristo). Chanzo cha ugomvi wao siku hiyo ni kwamba jamaa alikuwa anakomaa kuwa huyo mtoto sio wake na Sharifa anakomaa ni wake, jamaa akasakura mpaka akapata kadi ya hospitali ya mtoto na tangazo la kuzaliwa, mtoto ana majina yangu (ya kikristu) na hata la mtoto ni la kikristu (tumuite LISA humu kwenye hii stori). Kwa hiyo jamaa aliondoka kwa hasira akiogopa atafanya kitu kibaya.

Siku demu aliyopanga kuhama ikafika tukafanya mipango yote akabeba vyombo akahama. Na alikuwa na vyombo vingi. Chumba alichokuwa anakaa kilikuwa kikubwa lakini kimejaa hakuna hata pa kupita. Na mimi nilikuwa sijanunua hata kimoja, nilimkuta na kila kitu. Sasa hapo nyuma alikuwa ananitaarifu kidogo kidogo kwamba litu flani ni chake, sio cha dadake mpaka akawa ametaja vyoooote vilivyomo mle ni vyake. Nikamuuliza mbona anavyombo vyote kama mke wa mtu kabisa? Akasema alijua ataolewa kwa sababu yule jamaa yake waliyeachana alishamtoleaga posa. Kwa hiyo akabeba vyombo vyake akahamia makazi mapya. Chumba na sebule na vyombo vilijaa, na hapo kochi moja kubwa la watu watatu nilimwambia aliache tu ntanunua lingine.

Baada ya wiki moja Sharifa akaniambia jamaa yake wa zamani kampigia (MPAKA WAKATI HUO MI NAJUA WALIACHANA KITAMBO NA HAWAWASIALIANI) kamtukana sana na kamuambia atahakikisha anamharibia kwangu. Nikauliza kivipi amharibie sasa hivi na miaka 3 imeshapita toka wameachana? Akasema hata yeye hajui kwanini, hawezi kuwa kichwani kwa mtu akajua mawazo yake. Akaniweka kwenye mtego eti nikiamua kumsikiliza yule jamaa basi yeye hana cha kusema, ila chochote atakachoniambia nijue ni kwa lengo la kumharibia tu. Kumbe yule jamaa ashaenda pale alipokuwa kampangishia na kakuta demu alishahama. Akauliza kahamia wapi hakuna anayejua, na yeye hata hakuwaambia majirani anahamia wapi. Hata yule alikuwa anajifanya dada ake hakumwambia anahamia wapi (MPAKA WAKATI HUO MIMI NILIKUWA NAJUA YULE NI DADA YAKE KABISA. Basi ndio jamaa akampigia simu demu na vitisho kibao kuwa atamharibia kwa sababu kitu alichomfanyia ni cha kinyama, wamekuwa wote miaka kibao kamfanyia mambo mengi, katoa posa, kashika mimba kamsamehe, lakini Sharifa bado kamtoroka. Nikauliza jamaa kanijuaje akasema kule alikokuwa anafanya kazi kabla hajashika mimba wamempa data zangu zote, na kweli kule walitokea kunifahamu karibu wote na nilikuwa nikienda wananichangamkia sana kama shemeji. Na wengi kati yao walikuwa wanajua Facebook account yangu. Na mimi kwenye bio yangu ya FB nimeweka taarifa zangu zote. Naishi wapi, nafanya kazi wapi, familia yangu, na kuna posts kama 500 hivi etc.



Siku hiyo hiyo nikaingia Facebook jioni nikakuta kuna mtu kanitafuta Facebook mesenja kanisalimu tu halafu kaniambia anaomba kuonana na mimi. Muda huo niko kwangu home sasa, si jioni. Nikampigia simu Sharifa kumuuliza huyo Ex wake anaitwa nani na anajiita nani FB. Akaniambia. Basi nikamjibu yule jamaa kuwa uwezekano wa mimi kuonana nay eye haupo kabisa. Najua yeye ndio ex wa Sharifa. Kwa hiyo kama kuna kitu anataka kwa Sharifa wawasiliane wenyewe mpaka mwisho wasiniingize mimi. Akasema nakosea nikisema Sharifa ni Ex wake, yeye ashamtolea posa na alishapangiwa mahari anataka kupeleka sasa anashangaa Sharifa katoroka nyumbani na yeye kaambiwa yuko kwangu. Akasema kimsingi nimemtorosha mke wake, kwa sababu moyoni kwake ni kama alishafunga nae ndoa. Daaaah, jasho lilinitoka. Kwa hiyo aksisitiza tuonane. Jioni hiyo akili yote ikawa haipo home, wife ananiongelesha hata sieleweki vitu ninavojibu. Akawa anashangaa tu. Kumbe mi nawaza asubuhi ifike chap niende kwa sharifa akanifafanulie vizuri hii ishu ya pos ana mahari na makila kitu. Iliyonichanganya Zaidi ni jamaa kuniambia bado wako wote, hata juzi kati alivorudi kutoka kwa dadake baada ya arobaini kupita mbona alikuwa nyumbani kwa sharifa na walikwazana kidogo ndio akaondoka kwa hasira. Kesho ikafika asubuhi na mapema nikawahi, kufika Sharifa kanidaka juu juu kuuliza jamaa alisemaje, wakati mi nilitaka nile kamoja chap baadae ndio niulize hizo habari. Nikamwambia alinitumia meseji mbili mesenja na zinasema hivi na hivi. Akasema MPENZI WANGU UNANIAMNI? HUYO MTU KAAHIDI ANATAKA KUNIHARIBIA KWAKO, UKIMSIKILIZA UKANIACHA LENGO LAKE LITAKUWA LIMETIMIA. ILA NTATESEKA SANA NA MWANANGU. BASI WE MSIKILIZE TU. Nikamwambia kaaaaaamwe siwezi kumsikiliza jamaa nikamuacha yeye, over.

Naendelea kuandika_
 
USIMWAMINI MWANAMKE KWA 100% HATA SIKU MOJA

TRUE STORY

PART TWO


__Stori ilipoishia

Kwa namna yule jamaa alivoingia nikawa na maswali mengi kichwani nikawa nimeghairi kuondoka ili jamaa aondoke nimuulize demu yule ni nani. Kwa hiyo nikamjibu kuwa nimeghairi kuondoka ntaondoka jioni (Hiyo ilikuwa saa 5 hivi asubuhi). Kwa unyonge akarudi kule ndani, nikasikia jamaa sasa linatukana matusi, kuwa halipendi ujinga na u.s.e.n.g.e u.s.e.n.g.e, na maneno mengine makali makali. Mengine nikawa sisikii mengine nasikia, kama dakika 2 hivi. Halafu jamaa likatoka likabamiza mlango kwa nguvu huku linaondoka linamwambia demu aache upumbavu wake kabisa. Hilooooooo likapotea zake……



Tuendelee

Jamaa alivoondoka demu akaanza kupika. Nikasubiri apike akamaliza tukala. Lakini akawa hana amani kabisa kwa sababu sijauliza chochote. Baadae tukaenda kukaa nje ndio nikamuuliza yule alikuwa nani. Akaniambia yule ni mume wa dada yake ambaye anaishi Dodoma, yuko Dar kikazi, dada yake alimuomba aje amletee hela kwa sababu yeye (demu) alimuomba dada yake. Kule kugomba ni kwa sababu alikuwa anampigia simu hapokei saa nzima alikuwa anataka demu ndio afuate hiyo hela mahali sasa yeye hakuiona simu. Nikauliza mbona kaingia ndani bila hodi kama shimoni tu, akasema pale ni sebleni kwa hiyo akitaka kuvaa anaenda chumbani kwa dada yake kuvaa (KUMBUKA SIO DADA YAKE NI MPANGAJI MWENZIE). Akasema watu wamezoea kuingia tu pale. Sikuridhika kabisa na maelezo yake lakini sikutaka kumkwaza nikapotezea. Upendo niliokuwa nao kwake ulikuwa mkubwa kuliko hilo tukio.

Alipokaribia kujifungua akaniambia akijifungua ataenda kukaa kwa dada ake mwingine yule wa Mbagala mpaka arobaini ikipita ndio atarudi (KUMBE YULE SASA NDIO DADA YAKE). Nikamuuliza kwa nini? Pale si yupo kwa dada yake? Akasema huyu hana upendo kama yule na ni mvivu, akikaa hapo atateseka, kujifungua kwenye daktari alishamwambia lazima atajifungua kwa operesheni. Halafu pia akasema akijifungua asingependa kuendelea kukaa pale, kama vipi nimpangishie kwingine. Mimi nikaelewa. KUMBE KUNA PICHA ANAICHEZA BANA. Kwanza huyu sio dada yake, pili lile jamaa ambalo ndio baba mwenye nyumba litakuwa linakuja kuvizia likutane na baba wa mtoto, japo lilishamwambia kwamba ile mimba sio yake, na demu akakomaa mimba ni yake. Lakini pia anataka akijifungua ahame pale kwa kutoroka, asimwambie jamaa kuwa anahama ili siku jamaa akija kama anavotokeaga bila kupiga simu akute hakuna mtu!!!



Siku ikafika akajifungua kwa operation alivoruhusiwa kutoka nikampeleka huko kwa dada yake (Ambaye siku zote 3 alikuwa anashinda hapo hospitali, ndio tukaweza kufahamiana sasa. Mtu poa sana yule shemeji!!). Arobaini ilivokaribia Sharifa akanikumbusha kuhusu kuhama pale Temeke. Kesho yake tu nikatafuta nyumba nikapata sehemu tatu tofauti tofauti, nikamtaarifu. Tukapanga aje aangalie achague atakapopapenda. Keshokutwa yake akamuacha mtoto chap akaja akachagua nyumba aliyoipenda nikalipa kodi ikawa wanafanya ukarabati wakimaliza aingie. Arobaini ikafika ikapita, akarudi kule Temeke sasa kwa ajili ya kujiweka sawa kuhama. Wiki hiyo hiyo kabla hajahama jamaa (ex husband) akatokea kujadili mustakabali wa mahusiano yao, nasikia ilikuwa ugomvi flani jamaa akaondoka kwa hasira lakini hakufanya fujo (HII SASA ALIKUJA KUNISUMULIA JAMAA MWEYEWE BAADAE wakati ananitafuta kuniambia nimetorosha mke wake. Alikuwa ashamtolea posa amuoe mke wa pili na posa ilipokelewa. Walikuwa washakuwa kwenye mahusiano miaka nane, yani toka demu anafika Dar tu. Jamaa ni muislam na demu muislam, mimi mkristo). Chanzo cha ugomvi wao siku hiyo ni kwamba jamaa alikuwa anakomaa kuwa huyo mtoto sio wake na Sharifa anakomaa ni wake, jamaa akasakura mpaka akapata kadi ya hospitali ya mtoto na tangazo la kuzaliwa, mtoto ana majina yangu (ya kikristu) na hata la mtoto ni la kikristu (tumuite LISA humu kwenye hii stori). Kwa hiyo jamaa aliondoka kwa hasira akiogopa atafanya kitu kibaya.

Siku demu aliyopanga kuhama ikafika tukafanya mipango yote akabeba vyombo akahama. Na alikuwa na vyombo vingi. Chumba alichokuwa anakaa kilikuwa kikubwa lakini kimejaa hakuna hata pa kupita. Na mimi nilikuwa sijanunua hata kimoja, nilimkuta na kila kitu. Sasa hapo nyuma alikuwa ananitaarifu kidogo kidogo kwamba litu flani ni chake, sio cha dadake mpaka akawa ametaja vyoooote vilivyomo mle ni vyake. Nikamuuliza mbona anavyombo vyote kama mke wa mtu kabisa? Akasema alijua ataolewa kwa sababu yule jamaa yake waliyeachana alishamtoleaga posa. Kwa hiyo akabeba vyombo vyake akahamia makazi mapya. Chumba na sebule na vyombo vilijaa, na hapo kochi moja kubwa la watu watatu nilimwambia aliache tu ntanunua lingine.

Baada ya wiki moja Sharifa akaniambia jamaa yake wa zamani kampigia (MPAKA WAKATI HUO MI NAJUA WALIACHANA KITAMBO NA HAWAWASIALIANI) kamtukana sana na kamuambia atahakikisha anamharibia kwangu. Nikauliza kivipi amharibie sasa hivi na miaka 3 imeshapita toka wameachana? Akasema hata yeye hajui kwanini, hawezi kuwa kichwani kwa mtu akajua mawazo yake. Akaniweka kwenye mtego eti nikiamua kumsikiliza yule jamaa basi yeye hana cha kusema, ila chochote atakachoniambia nijue ni kwa lengo la kumharibia tu. Kumbe yule jamaa ashaenda pale alipokuwa kampangishia na kakuta demu alishahama. Akauliza kahamia wapi hakuna anayejua, na yeye hata hakuwaambia majirani anahamia wapi. Hata yule alikuwa anajifanya dada ake hakumwambia anahamia wapi (MPAKA WAKATI HUO MIMI NILIKUWA NAJUA YULE NI DADA YAKE KABISA. Basi ndio jamaa akampigia simu demu na vitisho kibao kuwa atamharibia kwa sababu kitu alichomfanyia ni cha kinyama, wamekuwa wote miaka kibao kamfanyia mambo mengi, katoa posa, kashika mimba kamsamehe, lakini Sharifa bado kamtoroka. Nikauliza jamaa kanijuaje akasema kule alikokuwa anafanya kazi kabla hajashika mimba wamempa data zangu zote, na kweli kule walitokea kunifahamu karibu wote na nilikuwa nikienda wananichangamkia sana kama shemeji. Na wengi kati yao walikuwa wanajua Facebook account yangu. Na mimi kwenye bio yangu ya FB nimeweka taarifa zangu zote. Naishi wapi, nafanya kazi wapi, familia yangu, na kuna posts kama 500 hivi etc.



Siku hiyo hiyo nikaingia Facebook jioni nikakuta kuna mtu kanitafuta Facebook mesenja kanisalimu tu halafu kaniambia anaomba kuonana na mimi. Muda huo niko kwangu home sasa, si jioni. Nikampigia simu Sharifa kumuuliza huyo Ex wake anaitwa nani na anajiita nani FB. Akaniambia. Basi nikamjibu yule jamaa kuwa uwezekano wa mimi kuonana nay eye haupo kabisa. Najua yeye ndio ex wa Sharifa. Kwa hiyo kama kuna kitu anataka kwa Sharifa wawasiliane wenyewe mpaka mwisho wasiniingize mimi. Akasema nakosea nikisema Sharifa ni Ex wake, yeye ashamtolea posa na alishapangiwa mahari anataka kupeleka sasa anashangaa Sharifa katoroka nyumbani na yeye kaambiwa yuko kwangu. Akasema kimsingi nimemtorosha mke wake, kwa sababu moyoni kwake ni kama alishafunga nae ndoa. Daaaah, jasho lilinitoka. Kwa hiyo aksisitiza tuonane. Jioni hiyo akili yote ikawa haipo home, wife ananiongelesha hata sieleweki vitu ninavojibu. Akawa anashangaa tu. Kumbe mi nawaza asubuhi ifike chap niende kwa sharifa akanifafanulie vizuri hii ishu ya pos ana mahari na makila kitu. Iliyonichanganya Zaidi ni jamaa kuniambia bado wako wote, hata juzi kati alivorudi kutoka kwa dadake baada ya arobaini kupita mbona alikuwa nyumbani kwa sharifa na walikwazana kidogo ndio akaondoka kwa hasira. Kesho ikafika asubuhi na mapema nikawahi, kufika Sharifa kanidaka juu juu kuuliza jamaa alisemaje, wakati mi nilitaka nile kamoja chap baadae ndio niulize hizo habari. Nikamwambia alinitumia meseji mbili mesenja na zinasema hivi na hivi. Akasema MPENZI WANGU UNANIAMNI? HUYO MTU KAAHIDI ANATAKA KUNIHARIBIA KWAKO, UKIMSIKILIZA UKANIACHA LENGO LAKE LITAKUWA LIMETIMIA. ILA NTATESEKA SANA NA MWANANGU. BASI WE MSIKILIZE TU. Nikamwambia kaaaaaamwe siwezi kumsikiliza jamaa nikamuacha yeye, over.

Naendelea kuandika_
Endelea tu kuandika
 
Afu mbona penzi likinoga ni kimya likifa ndo Uzi jf?
20221110_222439.jpg
 
USIMWAMINI MWANAMKE HATA SIKU MOJA!

TRUE STORY

Nilikutana na Sharifa mwaka 2015 akiwa anafanya kazi mgahawani maeneo ya posta ya zamani. Nilipomuona tu siku ya kwanza nikampenda. Baada ya siku 3 za kwenda kula pale tukazoeana nikamuomba namba akanipa tukaanza mawasiliano ya mara kwa mara. Baada ya mwezi tukaanza mahusiano. Mapenzi yalikuwa motomoto, karibu kutwa zima tunachati. Muda wote ambao haudumii wateja na mimi nikiwa free tunachati tu, mpaka wenzake wakawa wanamshangaa wanamwambia huyo aliyempata safari hii kanasa pabaya (Nikienda pale kazini kwake kuna rafiki yake alikuwa ananipa udaku).

Nikamuuliza ilikuwaje akawa singo, akasema AMEACHANA NA JAMAA YAKE SIKU SI NYINGI KABLA HAJAKUTANA NA MIMI. Penzi lilikolea hakuna mfano, baada ya miezi miwili tu alikuwa muda wote yupo kichwani mwangu (naamini hata yeye kwake ilikuwa hivo kwa sababu nisipomtafuta masaa mawili mfululizo ni kesi). Nakumbuka kuna siku sijui kulitokea nini sikumtafuta toka asubuhi mpaka jioni, nikampigia saa 3 usiku video call, hicho kilio alicholia ni kama amefiwa.

Toka siku hiyo nikaahidi haitatokea tena kutomtafuta kutwa nzima. (Kumbuka yeye hawezi kunitafuta kwa sababu hajui niko kwenye mazingira gani, nina mke na mtoto). NILIPOMUULIZA ANAKAA WAPI AKASEMA ANAKAA KWA DADA YAKE TEMEKE. Kwamba huyo ni dada yake wa pili kuzaliwa ndani mwao (KUMBE NI MPANGAJI MWENZIE). Wa kwanza yupo kijijini, wa pili ndio huyo anaekaa kwake, wa tatu anakaa Mbagala, wa nne kaka yake anakaa Mbezi na wa tano ni yeye (wa mwisho).

Mapenzi yakapamba moto, kukutana ni jumamosi au jumapili, au wiki zingine jumamosi na jumapili. Tukikutana tunashinda ndani (lodge) mpaka usiku ndio anaondoka kwenda kwao na mimi naenda kwangu. Kwa miaka miwili mfululizo nadhani hatujawahi kuruka jumamosi hata moja bila kukutana. Sijawahi kutaka kufika anakokaa kwa sababu niliona ni mapema kuanza kutaka kwenda kwa dadake, na kuna namna ni kama alikuwa anapotezea nikiuliza habari za anakokaa na mimi nikawa sitilii maanani sana Kwenda kwao.

Lakini kidogo kidogo akawa ananipa maelezo ambayo naweza kufika mpaka mtaani anakokaa. Ila hakuwahi kunikaribisha huko kwao. Tulipendana mnooo, kwa siku alikuwa ananitumia picha hata kumi akiwa kwenye mazingira tofauti. Nikiuliza yuko wapi anafanya nini muda huo jibu lake inakuja picha (selfie). Halafu tunaendelea kuchati. Siku za kukutana mara nyingi yeye ndio alikuwa anakuja maeneo ya Sinza ndio tunakutania huko, ikafika kipindi nikawa naenda maeneo ya Temeke tunaingia gesti za huko, sio mbali sana na anakokaa. Ratiba ikawa inabadilika badilika.

Pamoja na kukutania lodge za maeneo ya kwao, hakuwahi kunikaribisha nikapajue kwao. Ila alinionyesha kwa mbali sana mnara wa simu (vodacom) akasema anakaa karibu kabisa na huo mnara, akanitajia na rangi ya nyumba wanayokaa.

Picha lilikuja kuanza mwaka 2017. Nilipata safari ya kuzunguka mikoa mitano ya Tanzania bara nikaamua kusafiri nae tukale Maisha. Hizo zilikuwa wiki 3 za furaha kubwa kuliko kipindi chochote kwenye maisha yangu, siji kuzisahau.

Baada ya kurudi safari haikupita wiki mbili akaniambia ni mjamzito. Nikafurahi sana, kwa sababu nilikuwa natamani siku zote anizalie mtoto na kama sio kipingamizi cha ndoa nadhani ningemuoa haraka sana tulivokutana. Tatizo nilikuwa na mke tayari. Kuna siku nilienda kufanya mishe Mbagala na yeye asubuhi alikuwa ameniambia anaumwa (mimba ilikuwa inamsumbua sana ile), basi nikaamua kwenda pale bila kumwambia.

Nikafika mpaka pale bila yeye kunielekeza, nilipofika koridoni nikamkuta jirani yao akanionyesha chumba chao nikaingia. Akashangaa sana kwa sababu hakujua kuwa naenda pale, lakini akanipokea vizuri tu tukapiga stori tukatoka wote tukaenda duka la madawa tukanunua dawa akarudi kwao mi nikarudi zangu ofisini.

Sasa humo alimonikaribisha aliniambia ndio sebuleni kwa dada ake, chumba cha pili ndio cha kulala. Ila yeye analala sebuleni (kulikuwa na kila kitu mpaka kitanda). KUMBE NI CHUMBA CHAKE alichopangishiwa na yule jamaa aliyeniambia waliachana (MPAKA WAKATI HUO WALIKUWA BADO WAKO PAMOJA na sikuwahi kushtuka kuwa yuko na mtu na jamaa hajawahi kushtuka kuwa anaibiwa). Jamaa nae alikuwa na mke wake hivo anakujaga mara moja moja sana. Akija anapiga zake bao chap anarudi kwake, halafu haonekani tena mpaka baada ya mwezi au miwili (alikuwa dereva wa magari ya safari ndefu).

Kilichofanya nisishtuke kabisa kuwa tuko wawili ni kwamba jamaa yake hanaga mawasiliano ya simu ya mara kwa mara. Nadhani akimhitaji alikuwa anaenda tu geto alikompangishia bila kupiga simu wala kutuma meseji. Na akienda hakagui simu hata mara moja kwa sababu angekuwa anakagua angeshajua kitambo kuwa demu wake yuko na mimi. Demu hajawahi kufuta meseji yangu hata moja toka tulipokutana. Na picha zote alizonitumia wasap hajawahi kufuta kwenye simu yake hata moja hata zangu nilizomtumia mimi.

Na kumbukumbu ya simu nilizompigia hajawahi kufuta hata moja. Kitu kingine, nikiwa nae lodge simu yake inakaa hapo mezani muda wote haigusi hata mara moja, na ikipigwa au ikiingia meseji na mimi niko karibu nayo, ataniuliza mimi ni nani anapiga au nani katuma meseji. Yani alikuwa demu ambaye hana mambo mengi kabisa, nilimpenda mnooo na alijenga mazingira ya mimi kumuamini asilimia 100 (sipendi kabisa madem ambaye ukiwa naye muda wote yuko na simu mkononi, huyu alikuwa wa kwanza kukutana nae wa aina ya pekee). Kama mara mbili imewahi kupigwa simu tukiwa pamoja, aliempigia akamfokea sana, halafu yeye hakujibu. Nilipokuwa namuuliza huyo nani akawa anasema ni yule jamaa waliyeachana siku hizi anamsumbua sana anataka warudiane, na yeye hataki kwa sababu ameshakuwa na mimi. (KUMBUKA MPAKA HAPO WALIKUWA HAWAJAACHANA ila mimi nilikuja kujua baadae sana walipochana kweli baada ya demu kujifungua na mimi kumuhamisha demu kutoka pale (”KWA DADA YAKE”) nikamleta maeneo ya jirani na ninakokaa ili iwe rahisi kuwaona na mtoto kila siku).

Kuna wakati akaniambia dadake amesafiri kaenda nyumbani Iringa. Basi siku moja asubuhi tu kabla hajaamka nikaenda pale (Kazi alikuwa ashasimama kwa ajili ya ujauzito). Toka siku hiyo tukaacha kwenda lodge, mambo yote tunamalizia hapo (KUMBUKA KAPANGISHIWA NA MWANAUME ila mimi najua ni kwa dada yake). Nikawa naenda mara kwa mara naingiaga tu kama kwangu.

Aliyejifanya dada ake ananipokea fresh nashinda hapo. Wanapika misosi tunakula kila nikienda. Tunakaa chumbani tukitosheka tunakaa koridoni tukichoka tunakaa nje, yani nikawa huru mno. ILA KUNA MACHO WAPANGAJI WENZIE WALIKUWA WANANIANGALIA KAMA YA KUNIAMBIA KITU mi sina hili wala lile, nimezama kwenye penzi zito. Kabla ya hapo nilikuwa nishaanza hata kuchangia kodi, kwamba mle sebleni anamolala kodi nalipa mimi, nikamwambia amwambie kabisa dadake. Na alikuwa na mtoto yuko darasa la sita huko kijijini kwao (kwa bibi yake huyo mwanamke wangu) nikawa nasaidia kumhudumia.

Picha likaendelea. Siku moja akaniambia anaumwa, mimi mapema tu nikatokea pale. Nikaingia chumbani nikavua zangu shati nikabaki na singlet, akaniandalia chai nikanywa baadae tukatoka tukakaa koridoni, nikamwambia sikai sana ntaondoka muda si mrefu.

Tukiwa hapo koridoni akaingia jamaa, alipofika karibu na chumba cha demu (WAKATI HUO MI NAJUA NI SEBLENI KWA DADAKE) akanisalimia mimi HALAFU BILA KUPIGA HODI WALA NINI akaingia humo chumbani. Demu akasimama akamfuata huko ndani, nikasikia jamaa anaunguruma kama analalamika kitu kama dakika moja nzima, ila maneno nilikuwa siyasikii. Halfu demu akatoka akamuacha jamaa huko ndani. Akaniuliza kama anisindikize au vipi kwa sababu nilikuwa nimemwambia naondoka sasa hivi.

Kwa namna yule jamaa alivoingia nikawa na maswali mengi kichwani nikawa nimeghairi kuondoka ili jamaa aondoke nimuulize demu yule ni nani. Kwa hiyo nikamjibu kuwa nimeghairi kuondoka ntaondoka jioni (Hiyo ilikuwa saa 5 hivi asubuhi). Kwa unyonge akarudi kule ndani, nikasikia jamaa sasa linatukana matusi, kuwa halipendi ujinga na u.s.e.n.g.e u.s.e.n.g.e, na maneno mengine makali makali. Mengine nikawa sisikii mengine nasikia, kama dakika 2 hivi. Halafu jamaa likatoka likabamiza mlango kwa nguvu huku linaondoka linamwambia demu aache upumbavu wake kabisa. Hilooooooo likapotea zake……

ITAENDELEA KESHO***
Upo vizuri.
Simulizi inafundisha hii na ina uhalisia wa maisha yetu ya kila siku.
 
USIMWAMINI MWANAMKE KWA 100% HATA SIKU MOJA

PART THREE

Ilipoishia

Nikamwambia alinitumia meseji mbili mesenja na zinasema hivi na hivi. Akasema MPENZI WANGU UNANIAMNI? HUYO MTU KAAHIDI ANATAKA KUNIHARIBIA KWAKO, UKIMSIKILIZA UKANIACHA LENGO LAKE LITAKUWA LIMETIMIA. ILA NTATESEKA SANA NA MWANANGU. BASI WE MSIKILIZE TU. Nikamwambia kaaaaaamwe siwezi kumsikiliza jamaa nikamuacha yeye, over.



Tuendelee


Kuingia Facebook jioni tena jamaa kanitumia meseji kuuliza tutaonana lini. Nikamwambia hatutaonana. Yeye kama kuna kitu anamdai demu amdai mwenyewe akitaka niwakutanishe niko tayari. Ila sio yeye kuongea na mimi chochote. Hiyo option akaikataa. Akasema yeye hamdai, ila anajua nimedanganywa sana, anataka kuniambia ukweli ili nikiamua kuendelea na Sharifa niendelee naye nikijua nadili na mtu wa namna gani. Alichomfanyia yeye anaweza kunifanyia mimi. Mi nikaweka msimamo siko tayari kuonana nae. Basi akasema yote aliyotaka kuniambia ataniambia humo humo mesenja kwa sababu sitaki tuonane. Akaanza meseji ya kwanza, Gazeti; ya pili Gazeti, ya tatu gazeti. Nikachoka kusoma nikalala. Halafu wife alishaanza kufuatilia hapo kitandani baada ya kuona niko bize sana Facebook isivyo kawaida. Nilivoamka usiku saa tisa hivi nikamkuta mshikaji ametuma meseji zaidi ya 20, yote magazeti, na bado yuko online. Asubuhi nilivofika ofisini nikawaza yale magazeti kuyasomea kwenye simu macho yatauma. Nikazikopi meseji zote nikapesti kwenye MS Word nikaprint ili nisome. Zilikuwa page 9 za MS Word, font size 11 line spacing 1.15. Jamaa aliandika aisee. Cha msingi alikuwa anajaribu kunithibitishia kuwa yule ni kama mke wake tu, ilibaki hatua moja tu ya Kwenda kwa sheikh. Kila nilichomkuta nacho amenunua akiwa nae na mpaka wiki iliyopita kabla hajahama yeye alikuwa anajua wako pamoja, kumbe demu alikuwa na mipango mingine. Na akaniambia pale demu aliponidanganya ni kwa dada ake ni yeye alimpangishia, na yule sio dada yake ni mpangaji mwenzie. NUSU YA ALIYOYAONGEA YALIKUWA YA KWELI KABISA, ROBO nilihitaji kuunganisha doti kuyathibitisha, na ROBO yalikuwa ya kupika ili nimuache huyo demu. Sababu alikuwa anataja vitu vingine ambavyo nilikuwa na uhakika kuwa havikuwa kweli. Mfano alisema mwaka 2018 mwezi 3 (demu akiwa mjamzito) walienda kijijini kwao na demu kusalimia, ili anihakikishie kuwa mpaka demu akiwa mjamzito walikuwaga wanaendelea na mipango ya ndoa kama kawaida. Na tarehe alizotaja mimi mwenyewe nilikuwa na demu Mbeya, Njombe na Songea. Nilizisoma zile kurasa 9 huku jasho linanitoka. Kitu alichothibitisha tu ni kuwa vyovyote ilivyo YULE MTOTO ALIEZAA SHARIFA SIO WAKE ila yeye aliamua kuishi nae hivo hivo tu kwa sababu anampenda. Kwa kifupi tu miaka yote mitatu niliyokuwa na demu, na jamaa alikuwemo. Kwa hiyo mimi nilikuwa naiba demu wake.



LAKINI KAMA SHARIFA ALIVOSHAURI NIKAAMUA KUMTOSA MSHIKAJI ILI NIWE NA YEYE. Nikamjibu jamaa Ex kuwa, yoooote aliyoniambia nimemuelewa, ila mimi nimeamua kuwa na Sharifa hivo hivo. Nampokea na mapungufu yake yote, mpaka atakaponiambia kuwa anarudi kwa kwake. Kwa hiyo kama yeye anamtaka Sharifa aangalie jinsi ya kumshawishi arudi kwake, sio kunishawishi mimi nimuache Sharifa kwa sababu ya kunidanganya. Kitu pekee kinachoweza kunifanya nimuache ni kama akisema mtoto LISA ni wake (ambaye yeye alishanithibitishia kwenye meseji za FB sio wake). Jamaa akajua tu stori aliyonipa sijamwamini ndio maana msimamo wangu uko palepale. Basi akanitakia maisha mema mim na Sharifa (Mama Lisa) akasema ukweli huwa haujifichi. Kuna siku ntathibitisha kuwa yote aliyoniambia ni ya kweli. Mimi na Mama Lisa tukaendelea na maisha. Mpaka hapo nilikuwa sijajua huyo jamaa ndio lile jamaa lilikuja siku ileeeeee kwa sharifa likaingia bila hodi likatukana wakati linaondoka. Na yeye kwenye meseji zake zooote hakugusia hilo, aligusia tu matukio mengine mawili ambayo mimi na yeye tulikutana pale kazini kwa demu lakini tukiwa hatujui wote tuko pale kwa ajili ya demu mmoja. Demu alikuwa ametukalisha maeneo mawili tofauti ya mgahawa, anaenda kule dakika 5 anakuja kwangu dakika 5. Mpaka mi naondoka sikugundua kitu na jamaa hakugundua. Walikuja kumsimulia siku alivorudi pale kumtafuta demu alivomtoroka kule alikokuwa kampangishia Temeke.

Sasa mwaka 2020 nikapata safari ya Dodoma na mtoto akawa amekua. Tukaenda wote na Sharifa tukakaa siku mbili. Siku nyingine nikapata safari ya Mwanza tukaenda wote wakati wa kurudi tukapitia Dodoma tukalala siku moja kesho yake tukaondoka kurudi Dar. Tulivofika Dar baada ya siku kadhaa nikamwambia twende tukamsalimu dada yake, mimi nimemmiss. Tukaenda. Hiyo ilikuwa mara ya pili tunaenda baada ya mimi kumlazimisha lazimisha. Mpaka wakati huo huyo anayesema ni dadake hajawahi kuja makao mapya ya mdogo wake, yaani toka alipohamia 2018 hajawahi kuja. Sasa mimi nilivowatua tu pale Temeke, wife (original) akanipigia simu anataka kwenda maeneo ya huko huko Temeke, nikamwacha Sharifa na Lisa huko Temeke niende nikampeleke wife anakotaka kwenda halafu hawa ntarudi kuwachukua jioni.

Wakati natoka Temeke nianze kumfuata wife home, kuna jamaa jirani (wwa Sharifa) wa nyumba ya pili akaniomba lift, tulikuwa tumeshazoeana kile kipindi nilichokuwa namfuataga Sharifa huko. Njiani akaniuliza tunakujaga kufanya nini huku? Kwanza nikashangaa, lakini nikamjibu kuwa tunakujaga kwa dadake Sharifa kumsalimia. Akauliza dadake yupi? Mbona hana dada maeneo haya? Nikamtajia. Akashtuka kidogo halafu akaniambia wale sio ndugu hata kidogo. Ni wapangaji wenza tuu. Mpaka wakati huo mimi nilikuwa naamini kabisa huyo ni dada wa Sharifa tumbo moja, mpaka namlazimisha kuja kumsalimu. Nikawa nambishia jamaa wale ni ndugu kabisa! Jamaa akanipa na ushahidi mwingine kunithibitishia kuwa wale ni wapangaji wawili tofauti na wamekutania pale pale. Na wote wamemkuta na walihamia kwa nyakati tofauti na wote amewazoea vyumbani mwao anaingia kama kwake. Kwamba pale hakuna chumba na sebule ni vyumba viwili vinavojitegemea. Kwanza hata makabila yao tofauti, huyu anayesemwa ni dada ni wa Kigoma wakati huyu mwingine ni wa Njombe. Moyo ukalia PAAAAAA! Ningeweza hata kuangusha gari.

Jamaa alipofika anakoenda akashuka, bila hata kujua amenivuruga kiasi gani. Hapo ndio nakumbuka maneno ya yule Ex wa Sharifa kuwa aliniambia pale ni yeye alimpangishia. Nikajikaza kiume nikaenda mpaka home nikamchukua wife nikampeleka anakotaka kwenda, uzuri wake ilikuwa ni maeneo ya huko huko Temeke, halafu mimi nikaenda nilikowaacha Lisa na mama yake. Njiani nikapaki gari mahali pazuri pasipo na kelele nikampigia simu yule dada yake wa Mbagala. Hapo sasa picha ishanijia kuwa kweli huyu wa Temeke atakuwa sio ndugu yake Sharifa. Yule wa Mbagala wanafanana. Nikampigia huyo wa Mbagala nikamwomba tu aniambie ukweli kuhusu hivi vitu. Je pale nilipomkuta Sharifa anakaa alikuwa kapanga au anakaa kwa yule aliyesema ni dada yake? Mbili, Je yule wa Temeke ambaye Sharifa aliniaminisha ni ndugu yao, ni ndugu kweli au nayo ni uongo? Akaniambia yule sio ndugu wamekutana nae pale na pale Sharifa alikuwa amepangishiwa na yule Ex. Lakini mdogo wake alishamwambia kuwa yeye ameamua kuachana nae ili awe na mimi ila hajui aniambieje, na yule jamaa kila akipotezewa haelewi wala nini, anakuja tu kwa sababu yeye ndio alimtafutia demu nyumba, na mpaka wakati demu anahama pale mpangaji aliyekuwa anatambulika ni mwanaume. Akasema alishamshauri mdogo wake aniambie ukweli kama nampenda kweli ntaelewa mdogo wake akamwambia haina haja kwa sababu mimi namhamisha pale kwa hiyo hayo yatakuwa yalishapita hayatakuwa na nafasi kwenye mahusiano yetu. KWA KWELI SIKU HIYO MUNGU TU NDIO ANAJUA ILIISHAJE ISHAJE.

Sasa basi jioni ilipofika nikamfuata Sharifa na mtoto kuwarudisha kwao. Sikumuuliza wala nini. Kesho yake asubuhi nikasafiri. Nilipofika Dodoma siku hiyo sikulala. Nikamwambia nimeshathibitisha kuwa mambo mengi aliyoniambia ex wake yalikuwa ya kweli na nimepata uthibitisho kutoka chanzo cha kuaminika kabisa. Akabisha bisha kidogo, nikamkumbusha matukio yote yaliyopita ambayo yanathibitisha kuwa kuna ukweli mkubwa. Ikiwemo yule jamaa alivokuja siku tukakutana pale yeye akiwa mjamzito, safari za dodoma zote tulizoenda hajawahi kuongelea kumtafuta huyo dada yake ambaye alisema yule jamaa ndio mume wake, siku tulizokutana wanaume wawili kazini kwake alivobabaikaga, na mambo mengine. Akawa mnyonge sana. Mwisho wa maongezi akaniambia kama nimeamua kumwacha basi, ila kwa miaka mitano tuliyokuwa pamoja, hajawahi kuwa na mahusiano na huyo jamaa. Ila jamaa alikuwa anaenda pale kwake kutaka wasuluhishe warudi kama zamani na yeye alikuwa anamkatalia, lakini hakuwa na cha kufanya. Akasema yeye toka tulipokutana miaka 5 iliyopita moyoni kwake nilikuwepo mimi tu hayo mengine ilikuwa ni ngumu kutatua kwa sababu za kihistoria. Kwa kifupi alikana kabisa kuwa kwenye mahusiano yoyote na ex wake wala mtu mwingine yeyote. Akasema ndio maana tunachati masaa 24, ananitumia picha masaa 24, video call napiga muda wowote hata saa nane usiku (mfano nikiwa safarini) na hajawahi kuacha kupokea simu yangu wala kujibu meseji yangu hata awe wapi (YOTE HAYA YA KWELI). Kama nilivosema mwanzo kwa miaka yote 7 niliyokuwa nae toka 2015 mpaka leo (BADO TUPO WOTE KAZAA NA MTOTO MWINGINE MWAKA HUU), hajawahi kuchelewa kupokea simu yangu, hata awe anafanya nini, hajawahi kukosa kujibu meseji yangu, hajawahi kufuta meseji yangu wala simu yangu, hajawahi kuacha kunitumia picha nikidai popote alipo, hajawahi kuficha simu yake nikiwepo. Yani nikifika tu kama kuna changamoto ya simu atanipa nishughulikie, kama kuna kitu interesting cha kunionyesha humo kwenye simu yake atanikabidhi simu niendelee kucheki yeye anaenda zake nje kupika. Simu yangu ikizima chaji halafu yeye anapika sina kampani, atanipa simu yake nicheki cheki instagram na FB bila hofu yoyote. YEYE NDIYE MTU AMBAYE NIKIWEKEWA BASTOLA NIKAAMBIWA NIMPIGIE MTU MMOJA TU ASIPOPOKEA WANANIPIGA RISASI, NTAMPIGIA YEYE. Basi nikaamua kuachana na yaliyopita tusonge mbele. Sikuwahi kuuliza kitu tena kuhusu Ex mpaka mwaka huu 2022.



NAENDELEA KUANDIKA
 
USIMWAMINI MWANAMKE KWA 100% HATA SIKU MOJA

PART FOUR

Ilipoishia

Kama nilivosema mwanzo, kwa miaka yote 7 niliyokuwa Sharifa toka 2015 mpaka leo (BADO TUPO WOTE KAZAA NA MTOTO MWINGINE MWAKA HUU), hajawahi kuchelewa kupokea simu yangu, hata awe anafanya nini, hajawahi kukosa kujibu meseji yangu, hajawahi kufuta meseji yangu wala simu yangu, hajawahi kuacha kunitumia picha nikidai popote alipo, hajawahi kuficha simu yake nikiwepo. Yani nikifika tu kama kuna changamoto ya simu atanipa nishughulike nayo, kama kuna kitu interesting cha kunionyesha humo kwenye simu atanikabidhi simu yake niendelee kucheki yeye anaenda zake nje kupika. Simu yangu ikizima chaji halafu yeye anapika sina kampani, atanipa simu yake nicheki cheki instagram na FB bila hofu yoyote. YEYE NDIYE MTU AMBAYE NIKIWEKEWA BASTOLA KICHWANI NIKAAMBIWA NIMPIGIE MTU MMOJA TU ASIPOPOKEA WANANIPIGA RISASI, NTAMPIGIA YEYE. Basi nikaamua kuachana na yaliyopita tusonge mbele. Sikuwahi kuuliza kitu tena kuhusu jamaa Ex husband mpaka mwaka huu 2022.

Tuendelee

Siku moja, mwezi sikumbuki lakini mwanzoni mwa mwaka huu (Sharifa akiwa tayari amejifungua mtoto wa pili - tumwite Venance) nilimpigia simu kumpa hai na watoto. Akaniambia Ex msumbufu kampigia simu kwa namba tofauti alivopokea akaanza kumwongelesha vitu havieleweki yeye akamkatia simu. Alivokata simu jamaa akarekodi audio kama 4 akamtumia na meseji nyingi (Hawezi kupiga kwa namba yake kwa sababu alishamblock). Akanitumia audio clip 2 mimi nikazisikiliza. Muda huo huo nikaenda. Nilivofika tu akanipa simu yake nisome mwenyewe na nisikilize clip zote. Kwa kifupi jamaa anamuambia amemmisi sana ila hana la kufanya, anaomba tu kama kuna kitu alimlisha arudi kwa mganga akakitoe kwa sababu anapata mateso makubwa. Atakuja kupata ajali. Muda wote akiwa anaendesha gari anamuwaza yeye, amejaribu kujifariji na wanawake wengine kadhaa ili amsahau Sharifa ameshindwa. Kwenye moja ya hizo clip jamaa akaweka mtego, akamkumbusha tu kuwa mimi ni mkristo kwa hiyo siji kumuoa kamwe, huu ni mwaka wa 7 mbona sijamuoa bado?. Nadhani ndio maana Sharifa alinipa nisikilize.

Zile clip alizonitumia Sharifa (Mama Lisa na Venance) nikaziforward kwa jamaa Ex ajue kuwa meseji zake natumiwaga. Huko nyuma amewahi kutuma zingine kama mara 2 hivi, hazikuwa na uzito kama hizi. Nikamwambia ujumbe wake nimeupata. Na yeye akaniambia anajua nampotezea tu muda mwanamke wa watu baada ya kumpora yeye, sina mpango wa kumuoa, anaamini kwamba nishaujua ukweli kuwa Sharifa alinichezea akili miaka mitatu, naye ye alivomkataa kabisa mtoto ndio mwanamke akaamua kuja kwangu mazima. Ila angekubali mtoto, asingefuatilia vile vyeti wangekuwa pamoja mpaka leo na yeye bado anampenda sana sana. Daaa! Tukarudi kule kuleeeeeeeeeeee!



Nikataka kuthibitisha zaidi kama kweli mtoto wangu alishakuwa amepewa yeye, kwamba angekubali tu, sasa hivi mtoto asingekuwa wangu!!! Ninavokapenda kabinti kangu hivi jamaniii! Nikasema sasa naingia kwenye misheni ya kujua ukweli mwenyewe hata kama yamepita. Ila moyoni kwangu nikajiahidi chochote nitakachogundua simuachi Sharifa (Mama Lisa na Venance) kamwe wala simwambii. Mtu pekee anayeweza kunithibitishia kuwa waliendelea na mahusiano mpaka Sharifa alivohama kule Temeke na kama kuna uwezekano mtoto Lisa akawa sio wangu ni wa yule jamaa, ni mtu mmoja tu. Aliyejifanya dada yake kumbe mpangaji mwenzie. Na namna ya kupata hiyo Habari kutoka kwa yule ni kumsogeza karibu na kumpa mpa vihela hapa na pale halafu siku moja nimuite sehemu nimuahidi kitu kikubwa halafu nimdodose kama kweli toka 2015 mpaka 2018 yule Ex wa Sharifa alikuwa anakuja pale na je yule tuliyekutana pale siku ileee akagombagomba alikuwa nani. Si ni shoga yake, atakuwa alimsimulia.

Basi nikaanza misheni impossible mnamo mwezi wa 4 hivi. Nikampigia simu siku moja huyo shoga wa Sharifa (dada feki) kumsalimia, yeye akawa yuko poa ila mtoto wake anaumwa. Nikauliza kama kampeleka hospitali akasema hana hela. Mpesa chap bila kuchelewa nikamrushia elfu 20. Akaenda hospitali akanitumia kile kicheti wamemuandikia dawa za elfu 40. Nikajiongeza, kumwona daktari buku 5 nauli buku 5 atakuwa kabaki na buku 10. Chapa nikamrushia elsu 30. Alishukuru sana sana sana. Sasa ikawa mara moja moja tu namtumia buku 10 namwambia awanunulie watoto wake chips. Anafurahi balaa. Ikafika wakati akawa yeye ndio anaomba na wala hamwambii shoga yake chochote kuhusu tunavowasiliana. Mwanzo alikuwa anamwambia kila tukiongea, na Sharifa hana shida sisi kuwasiliana kwa sababu mara nyingi tu shoga yake akipiga simu wapeane udaku, yeye mwenye huwa ananipa simu nimsalimu. Sasa juzi kati nikasema ameshakuwa karibu sasa nimwite nimuulize zile maishu. Nikampigia simu tuonane akauliza wapi nikamtajia maeneo, akasema poa. Siku hiyo hakuja, akatoa sababu. Tukapanga siku nyingine hakuja. Nikajua misheni imefeli. Nikasema nijaribu mara ya mwisho. Nilivompigia akasema naonaje tukionana keshokutwa yake, kwa sababu siku hiyo hayuko vizuri, yuko kwenye siku zake ndio anamalizia! KHAAAAAAAAA! Nikawazaaaaaa yamekuwa hayooooooo!!!!! Nikashangaa sana kwa sababu wazo hilo mimi halikuwepo kichwani. Japo limewahi kunijia wakati ananipiga chenga kuonana, niliwaza labda anajua nataka mapenzi. Anyway, shetani ana nguvu sana, nikaamua kutembea nae kwenye reli yake hiyo hiyo. Keshokutwa yake tukakutana, itoshe tu kusema shetani alinishinda nguvu, tukajikuta tu tuko lodge. Kilichojiri mungu anisamehe.

Sasa siku hiyo hata sikumuuliza chochote ili asijeshtuka akajidharau kuwa mimi lengo la kukutana lilikuwa lingine, humo kwenye lodge kajichomeka mwenyewe. Tukaachana kwa minajiri ya kukutana siku nyingine. Tukakutana tena mara ya pili, sikuongea chochote. Mara ya 3 ndio nikamuuliza. YEYE NDIO AKATHIBITISHA KUWA NI KWELI TOKA 2015 MPAKA 2018 JAMAA ALIKUWEPO KWENYE PICHA JAPO RAFIKI YAKE ALIKUWA HAMTAKI LAKINI ALIKUA HANA JINSI KWA SABABU ALIKUWA ANAKAA MWENYE NYUMBA AMBAYO JAMAA NDIO KAMPANGISHIA. Na akasisitiza kuwa wakati Sharifa anapata hiyo mimba jamaa alikuwa hajawahi kuonekana pale miezi mitatu, jamaa mwenyewe alimlalamikia sana yeye kuwa rafiki yake kamsaliti mpaka kashika mimba. Na jamaa alimwambia kuwa mimba haitambui ila bado anamtambua Sharifa kama mke wake. Mpaka mtoto LISA anazaliwa jamaa aliendelea kumsisitizia kuwa mtoto hamtambui ila Sharifa hamuachi. Mpaka Sharifa alivohama pale jamaa akamkosa yeye ndio alikuwa jamaa anamdai maelezo kama vile yeye ndio kamtorosha. Kwa hiyo akaniambia ukweli wote, kwa sababu yeye ndio anaujua vizuri na wameishi vyumba jirani kwa muda mrefu wakisaidiana kwenye kila kitu. Walikuwa wanapika pamoja kama familia moja. Kila kitu walikuwa wanashirikiana.



Kwa kifupi stori ndio iko hivo. Na sasa hivi nafsi yangu imetulia baada ya kuujua ukweli wote. Kumbuka kwenye majadiliano yote, Sharifa au mama Lisa au mama Venance hajawahi kukiri popote kuwa na mahusiano yoyote na mtu yoyote kwa kipindi chote cha miaka 7 tuliyokuwa pamoja. Hata siku rafiki yake aliponiambia ukweli wote niliongea nae kuwa ukweli wote nimeshaujua lakini sina mpango wowote wa kumuacha. Nikamuuliza kwanini alitaka kumpa yule jamaa mtoto wangu?? Akasema hajawahi kufanya hiyo kitu. BADO ALIENDELEA KUKATAA KUWA HAJAWAHI KUNISALITI. Swali lake kubwa hizo taarifa natafuta za nini? Ni sijiulizi wanaoniambia wanataka nini? Sioni kuwa Ex wake anawatumia wanaonimbia ili tuachane?? Ukiachilia mbali kuwa ana watoto wangu wawili, yeye mwenyewe nampenda sana sana sana (Inawezekana nimelishwa alicholishwa Ex).

SASA NILICHOTAKA KUSEMA NI KWAMBAAAAA, USIMUAMNI MTU KWA ASILIMIA 100. Maisha tuliyoishi na Sharifa 2015-2018 nilikuwa namwamini kupita maelezo. Ningeweza kufanya chochote kwa ajili yake. Alitengeneza mazingira ambayo ilikuwa lazima nimuamini asilimia zote. Yani na mawasiliano yote, na ukaribu wote, na kukutana kote, bado aliweza kunificha kitu kikubwa hivo, na jamaa yake aliendelea kuja pale kwake na yeye aliendelea kukutana na mimi kwenye lodge akihofia tutakutana wanaume wawili. Nilikuwa nikitaka tukosane siku hiyo nimuulize tu kuhusu huyo jamaa, nikisisitiza kuongelea mpaka analia machozi. Utasikia ”Alichonifanyia yule mtu, sitaki kabisa kumsikia kwenye maisha yangu, bora nife kuliko kurudi kwake. Ukiniacha wewe bora nirudi kijijini kwanza nikajipange kuliko kurudi kwake”



MWISHO
 
USIMWAMINI MWANAMKE HATA SIKU MOJA!

TRUE STORY

Nilikutana na Sharifa mwaka 2015 akiwa anafanya kazi mgahawani maeneo ya posta ya zamani. Nilipomuona tu siku ya kwanza nikampenda. Baada ya siku 3 za kwenda kula pale tukazoeana nikamuomba namba akanipa tukaanza mawasiliano ya mara kwa mara. Baada ya mwezi tukaanza mahusiano. Mapenzi yalikuwa motomoto, karibu kutwa zima tunachati. Muda wote ambao haudumii wateja na mimi nikiwa free tunachati tu, mpaka wenzake wakawa wanamshangaa wanamwambia huyo aliyempata safari hii kanasa pabaya (Nikienda pale kazini kwake kuna rafiki yake alikuwa ananipa udaku).

Nikamuuliza ilikuwaje akawa singo, akasema AMEACHANA NA JAMAA YAKE SIKU SI NYINGI KABLA HAJAKUTANA NA MIMI. Penzi lilikolea hakuna mfano, baada ya miezi miwili tu alikuwa muda wote yupo kichwani mwangu (naamini hata yeye kwake ilikuwa hivo kwa sababu nisipomtafuta masaa mawili mfululizo ni kesi). Nakumbuka kuna siku sijui kulitokea nini sikumtafuta toka asubuhi mpaka jioni, nikampigia saa 3 usiku video call, hicho kilio alicholia ni kama amefiwa.

Toka siku hiyo nikaahidi haitatokea tena kutomtafuta kutwa nzima. (Kumbuka yeye hawezi kunitafuta kwa sababu hajui niko kwenye mazingira gani, nina mke na mtoto). NILIPOMUULIZA ANAKAA WAPI AKASEMA ANAKAA KWA DADA YAKE TEMEKE. Kwamba huyo ni dada yake wa pili kuzaliwa ndani mwao (KUMBE NI MPANGAJI MWENZIE). Wa kwanza yupo kijijini, wa pili ndio huyo anaekaa kwake, wa tatu anakaa Mbagala, wa nne kaka yake anakaa Mbezi na wa tano ni yeye (wa mwisho).

Mapenzi yakapamba moto, kukutana ni jumamosi au jumapili, au wiki zingine jumamosi na jumapili. Tukikutana tunashinda ndani (lodge) mpaka usiku ndio anaondoka kwenda kwao na mimi naenda kwangu. Kwa miaka miwili mfululizo nadhani hatujawahi kuruka jumamosi hata moja bila kukutana. Sijawahi kutaka kufika anakokaa kwa sababu niliona ni mapema kuanza kutaka kwenda kwa dadake, na kuna namna ni kama alikuwa anapotezea nikiuliza habari za anakokaa na mimi nikawa sitilii maanani sana Kwenda kwao.

Lakini kidogo kidogo akawa ananipa maelezo ambayo naweza kufika mpaka mtaani anakokaa. Ila hakuwahi kunikaribisha huko kwao. Tulipendana mnooo, kwa siku alikuwa ananitumia picha hata kumi akiwa kwenye mazingira tofauti. Nikiuliza yuko wapi anafanya nini muda huo jibu lake inakuja picha (selfie). Halafu tunaendelea kuchati. Siku za kukutana mara nyingi yeye ndio alikuwa anakuja maeneo ya Sinza ndio tunakutania huko, ikafika kipindi nikawa naenda maeneo ya Temeke tunaingia gesti za huko, sio mbali sana na anakokaa. Ratiba ikawa inabadilika badilika.

Pamoja na kukutania lodge za maeneo ya kwao, hakuwahi kunikaribisha nikapajue kwao. Ila alinionyesha kwa mbali sana mnara wa simu (vodacom) akasema anakaa karibu kabisa na huo mnara, akanitajia na rangi ya nyumba wanayokaa.

Picha lilikuja kuanza mwaka 2017. Nilipata safari ya kuzunguka mikoa mitano ya Tanzania bara nikaamua kusafiri nae tukale Maisha. Hizo zilikuwa wiki 3 za furaha kubwa kuliko kipindi chochote kwenye maisha yangu, siji kuzisahau.

Baada ya kurudi safari haikupita wiki mbili akaniambia ni mjamzito. Nikafurahi sana, kwa sababu nilikuwa natamani siku zote anizalie mtoto na kama sio kipingamizi cha ndoa nadhani ningemuoa haraka sana tulivokutana. Tatizo nilikuwa na mke tayari. Kuna siku nilienda kufanya mishe Mbagala na yeye asubuhi alikuwa ameniambia anaumwa (mimba ilikuwa inamsumbua sana ile), basi nikaamua kwenda pale bila kumwambia.

Nikafika mpaka pale bila yeye kunielekeza, nilipofika koridoni nikamkuta jirani yao akanionyesha chumba chao nikaingia. Akashangaa sana kwa sababu hakujua kuwa naenda pale, lakini akanipokea vizuri tu tukapiga stori tukatoka wote tukaenda duka la madawa tukanunua dawa akarudi kwao mi nikarudi zangu ofisini.

Sasa humo alimonikaribisha aliniambia ndio sebuleni kwa dada ake, chumba cha pili ndio cha kulala. Ila yeye analala sebuleni (kulikuwa na kila kitu mpaka kitanda). KUMBE NI CHUMBA CHAKE alichopangishiwa na yule jamaa aliyeniambia waliachana (MPAKA WAKATI HUO WALIKUWA BADO WAKO PAMOJA na sikuwahi kushtuka kuwa yuko na mtu na jamaa hajawahi kushtuka kuwa anaibiwa). Jamaa nae alikuwa na mke wake hivo anakujaga mara moja moja sana. Akija anapiga zake bao chap anarudi kwake, halafu haonekani tena mpaka baada ya mwezi au miwili (alikuwa dereva wa magari ya safari ndefu).

Kilichofanya nisishtuke kabisa kuwa tuko wawili ni kwamba jamaa yake hanaga mawasiliano ya simu ya mara kwa mara. Nadhani akimhitaji alikuwa anaenda tu geto alikompangishia bila kupiga simu wala kutuma meseji. Na akienda hakagui simu hata mara moja kwa sababu angekuwa anakagua angeshajua kitambo kuwa demu wake yuko na mimi. Demu hajawahi kufuta meseji yangu hata moja toka tulipokutana. Na picha zote alizonitumia wasap hajawahi kufuta kwenye simu yake hata moja hata zangu nilizomtumia mimi.

Na kumbukumbu ya simu nilizompigia hajawahi kufuta hata moja. Kitu kingine, nikiwa nae lodge simu yake inakaa hapo mezani muda wote haigusi hata mara moja, na ikipigwa au ikiingia meseji na mimi niko karibu nayo, ataniuliza mimi ni nani anapiga au nani katuma meseji. Yani alikuwa demu ambaye hana mambo mengi kabisa, nilimpenda mnooo na alijenga mazingira ya mimi kumuamini asilimia 100 (sipendi kabisa madem ambaye ukiwa naye muda wote yuko na simu mkononi, huyu alikuwa wa kwanza kukutana nae wa aina ya pekee). Kama mara mbili imewahi kupigwa simu tukiwa pamoja, aliempigia akamfokea sana, halafu yeye hakujibu. Nilipokuwa namuuliza huyo nani akawa anasema ni yule jamaa waliyeachana siku hizi anamsumbua sana anataka warudiane, na yeye hataki kwa sababu ameshakuwa na mimi. (KUMBUKA MPAKA HAPO WALIKUWA HAWAJAACHANA ila mimi nilikuja kujua baadae sana walipochana kweli baada ya demu kujifungua na mimi kumuhamisha demu kutoka pale (”KWA DADA YAKE”) nikamleta maeneo ya jirani na ninakokaa ili iwe rahisi kuwaona na mtoto kila siku).

Kuna wakati akaniambia dadake amesafiri kaenda nyumbani Iringa. Basi siku moja asubuhi tu kabla hajaamka nikaenda pale (Kazi alikuwa ashasimama kwa ajili ya ujauzito). Toka siku hiyo tukaacha kwenda lodge, mambo yote tunamalizia hapo (KUMBUKA KAPANGISHIWA NA MWANAUME ila mimi najua ni kwa dada yake). Nikawa naenda mara kwa mara naingiaga tu kama kwangu.

Aliyejifanya dada ake ananipokea fresh nashinda hapo. Wanapika misosi tunakula kila nikienda. Tunakaa chumbani tukitosheka tunakaa koridoni tukichoka tunakaa nje, yani nikawa huru mno. ILA KUNA MACHO WAPANGAJI WENZIE WALIKUWA WANANIANGALIA KAMA YA KUNIAMBIA KITU mi sina hili wala lile, nimezama kwenye penzi zito. Kabla ya hapo nilikuwa nishaanza hata kuchangia kodi, kwamba mle sebleni anamolala kodi nalipa mimi, nikamwambia amwambie kabisa dadake. Na alikuwa na mtoto yuko darasa la sita huko kijijini kwao (kwa bibi yake huyo mwanamke wangu) nikawa nasaidia kumhudumia.

Picha likaendelea. Siku moja akaniambia anaumwa, mimi mapema tu nikatokea pale. Nikaingia chumbani nikavua zangu shati nikabaki na singlet, akaniandalia chai nikanywa baadae tukatoka tukakaa koridoni, nikamwambia sikai sana ntaondoka muda si mrefu.

Tukiwa hapo koridoni akaingia jamaa, alipofika karibu na chumba cha demu (WAKATI HUO MI NAJUA NI SEBLENI KWA DADAKE) akanisalimia mimi HALAFU BILA KUPIGA HODI WALA NINI akaingia humo chumbani. Demu akasimama akamfuata huko ndani, nikasikia jamaa anaunguruma kama analalamika kitu kama dakika moja nzima, ila maneno nilikuwa siyasikii. Halfu demu akatoka akamuacha jamaa huko ndani. Akaniuliza kama anisindikize au vipi kwa sababu nilikuwa nimemwambia naondoka sasa hivi.

Kwa namna yule jamaa alivoingia nikawa na maswali mengi kichwani nikawa nimeghairi kuondoka ili jamaa aondoke nimuulize demu yule ni nani. Kwa hiyo nikamjibu kuwa nimeghairi kuondoka ntaondoka jioni (Hiyo ilikuwa saa 5 hivi asubuhi). Kwa unyonge akarudi kule ndani, nikasikia jamaa sasa linatukana matusi, kuwa halipendi ujinga na u.s.e.n.g.e u.s.e.n.g.e, na maneno mengine makali makali. Mengine nikawa sisikii mengine nasikia, kama dakika 2 hivi. Halafu jamaa likatoka likabamiza mlango kwa nguvu huku linaondoka linamwambia demu aache upumbavu wake kabisa. Hilooooooo likapotea zake……

ITAENDELEA KESHO***
Sasa hapo wa kutoaminiwa ni wewe bro!!una mke,harsfu unampanga Binti wa watu!!
Nyie nyote,ni mburukenge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom