Usimrudie Mwanamke aliye-cheat , Never!

Usimrudie Mwanamke aliye-cheat , Never!

"kwanza mwanamke mpaka anaamua kukucheat ujue wewe Kuna shida pahali" Kuna kitu bado hujafundishwa hapa dunian.
NA HATUKWAMBII MPAKA KIKUKUTE
Yeye acheat tu Ila akikirudisha ahakikishe na Mimi nagonga hapo ni kiroho safi kabisa tukifa tunazikwa Chini hakuna anaezikwa hewani
 
🤣🤣Ilo ndo neno
Uvumilivu hamna aisee hata sie wanawake tunavumilia tu ukweli Huwa tunaumia sana tu hasa wale wenye kuwapendasana waumezao
Uvumilivu, chagua mtu unayeendana nae, bikra, wife material na unafiki mwingine ni baadhi ya maneno yanayotumiwa na watu wanaojaribu kutetea ndoa ila Kwa binadamu alivo complicated tungeamua kuishi uhalisia kusingekua na hayo maumivu ya kugongeana
 
Shida sio kurudiana nae, ila ile trust, intimacy, Hata ladha yote ya upendo inapotea ukishajua mke/Mpenzi wako kaliwq huko.

Then what will be the point of us being together then? Ni heri kila mtu akabaki kwa mchepuko wake 😄
 
Unajua ukiangalia kwa jicho la tatu kama una familia na mna watoto kumwacha inakuwa ngumu una msamehe yanaisha basi, maisha ni mafupi kweli ukishikilia na ukaleta ujuaji magonjwa yasiyoambukiza lazima yakuhusu, kingine mwili wake kidude chake atumie yeye huko kwa hiari yake mimi nijitese hapana
Sasa hizo ni ndoa mbele ya MUNGU au takataka na uchafu?, kucheat more and more
 
Uvumilivu, chagua mtu unayeendana nae, bikra, wife material na unafiki mwingine ni baadhi ya maneno yanayotumiwa na watu wanaojaribu kutetea ndoa ila Kwa binadamu alivo complicated tungeamua kuishi uhalisia kusingekua na hayo maumivu ya kugongeana
It's true
Ila kwenye Kuishi uhalisia ndio sijaelewa hebu nieleweshe?
 
Kwa vile wewe si mwanamke, comment yako ni batili
Huitaji kuwa mwanamke hili kujua mitazamo na maamuzi ya wanawake katika jambo fulani, kuishi nao nao tu inatosha kuwajua kiundani.

Hili mbona liko wazi, hakuna mwanamke anayependa mtoto wake wa kiume aje awe mwanaume mjinga ukubwani.... yes, mwanaume anayemsamehe mke wake kwa kosa la kulala na mwanaume mwingine hasa baada ya kuthibitisha huyo ni mwanaume mjinga maana tafsiri yake ni kwamba huyo yuko tayari kuletewa maradhi pamoja na kulea bao la mwanaume mwenzake bila kujua.
 
Huitaji kuwa mwanamke hili kujua mitazamo na maamuzi ya wanawake katika jambo fulani, kuishi nao nao tu inatosha kuwajua kiundani.

Hili mbona liko wazi, hakuna mwanamke anayependa mtoto wake wa kiume aje awe mwanaume mjinga ukubwani.... yes, mwanaume anayemsamehe mke wake kwa kosa la kulala na mwanaume mwingine hasa baada ya kuthibitisha huyo ni mwanaume mjinga maana tafsiri yake ni kwamba huyo yuko tayari kuletewa maradhi pamoja na kulea bao la mwanaume mwenzake bila kujua.
Kulea bao la mwanaume mwingine sio ujinga kwa anayelea bali wa aliyekojoa na kusepa na aliyekojolewa.
Maana anadhurumu haki ya mtoto bila sababu za msingi.
 
Kulea bao la mwanaume mwingine sio ujinga kwa anayelea bali wa aliyekojoa na kusepa na aliyekojolewa.
Maana anadhurumu haki ya mtoto bila sababu za msingi.
😄😄

Hayaja kukuta mkuu wangu. Siku yakikukuta utakuja kufuta hizi comments zako.

Unaweza msamehe mke/Mpenzi wako ila kiukweli hilo penzi lenu halitarudi kama mwanzo, Hata ukipanda kifuani mwake mawazo ya kijinga tu yanakuja kichwani mwako.

Sasa what is the point of all this? Wakati mnaweza kubaliana tu kuvunja mkataba kwa faida za wote wa2
 
😄😄

Hayaja kukuta mkuu wangu. Siku yakikukuta utakuja kufuta hizi comments zako.

Unaweza msamehe mke/Mpenzi wako ila kiukweli hilo penzi lenu halitarudi kama mwanzo, Hata ukipanda kifuani mwake mawazo ya kijinga tu yanakuja kichwani mwako.

Sasa what is the point of all this? Wakati mnaweza kubaliana tu kuvunja mkataba kwa faida za wote wa2
Mnatumia kanuni gani mkuu ,mimi naweza salitiwa nikafuta kabisa 😜😜😜
 
Kulea bao la mwanaume mwingine sio ujinga kwa anayelea bali wa aliyekojoa na kusepa na aliyekojolewa.
Maana anadhurumu haki ya mtoto bila sababu za msingi.
Wote watatu ni wajinga tu, ila mjinga zaidi ni yule aliyekubali kubeba jukumu lisilomuhusu ilihali na wahusika wapo
 
Jaji Mfawidhi umecheka sana nikugonge basi Ila nikikugonga usimsimulie mumeo maana mnapoharibu ndio hapo TU mkigongwa sana mkagongeka kuna Neno lenu 1 hua linawatoka kutuma code kwa Mwanaume kua kuna mwamba anaekugonga mpaka ndani ya mifupa hua mnasemaga "katikati ya Wanaume na Wewe Mwanaume? Kwenye wanaume na Wewe ni Mwanaume?" Ukishaanza kusema hivi ujue hapo nimekugonga mpaka nimekugonga tena sasa msiwe mnasema hivi nikikugonga nenda vizuri tu kwa mumeo ukagongwe tena na umsifie Mume wangu unajua
 
Ngoja niwashe kimoja nakuja kusoma comment
 
Back
Top Bottom