Usimrudie Mwanamke aliye-cheat , Never!

Usimrudie Mwanamke aliye-cheat , Never!


View attachment 3067605

Kwa wanaume wote, hii Kauli ya "Never go back to the woman who cheated on you" ni rahisi sana ikiwa kwa Mwenzako, ila isiwe kwako, ni ngumu ,mno.

Kwenye mahusiano as a man ,unatakiwa uwe mbinafsi (ufikirie wewe na future ya familia yako) hakuna mwanamke ana cheat kwa bahati mbaya, kabla hujamsamehe kumbuka wakati analiwa ilichomoka na akairudishia mwenyewe. Kumbuka kuna wakati jamaa alikuwa amechoka anachomoa mkeo anamwambia ingiza hapo hapo.

Ukikubali Kurudi Kwa Mwanamke aliyekusaliti ni sawa na kumpa Fisi akutangazie Injili ya Mifupa. Ataku-cheat tena na tena.

Wakati unajipanga kurudi kumbuka!
1 :She bj him
2: She asked him to have no mercy on her "punani" "nyau"
3: It's slipped and she put it back while holding his waist.
4: She daaah !!! brother nimeishiwa nguvu kiufupi kuliko urudi ukawe fala mara mia bora ukajipige selfie na sabuni ya kipande.

Yaan umemkuta mke wako/mwanamke wako analombwa hapo kesho unamsamehe? Hapo mm labda yeye ndio awe kanioa labda. Kwanza mwanamke mpk anaamua kukucheat ujue ww kuna shida pahali, na hapo ujue kashapambana sana kujizuia lakini hisia zimeishinda Akili.

"kwanza mwanamke mpaka anaamua kukucheat ujue wewe Kuna shida pahali" Kuna kitu bado hujafundishwa hapa dunian.
NA HATUKWAMBII MPAKA KIKUKUTE
Una ndoa kaka.

Una watoto. Kama unayo na una watoto sio rahisi kumuacha mwanamke akikucheat ili mradi awe amejutia kosa na kuomba msamaha. Lkn akicheat mara ya pili na ukajua hapo ni ruhusa kumuacha na usiangalie nyuma
 
Ikifikia kipindi ukamfumania mkeo na ukaongea nae mkayamaliza na maisha yakeendelea hapo ndiyo unakuwa na hadhi ya kuitwa Mwanaume, Ila ukamfumania na kumuacha wewe bado ni mvulana au kijana bila kujali Una umri gani

Mwanaume kabla ya. Kufanya maamuzi hufikiria Kwanza familia yake na watoto wake itakuwaje

Mwanaume hujiuliza Hana mchepuko au aliwahi kuchepuka na mkewe hakujua ana haki ya kumuacha mwenzie kisa kajua????

Kila Mwanamke kama hukukuta kufuli jua yupo aliyekutangulia, halafu ni mentality Tu ndiyo inafanya hivyo Ila kiukweli ni kitu cha kawaida Sana na wala hakipunguzi kitu wala hakiongezi kitu, kitu pekee Chenye afya kwako ni furaha, tafuta pesa za kutosha wanawake wapo wengi na mkeo Baki nae maisha yasonge watoto walelewe na Baba na mama
Umemaliza thread closed
 
Una ndoa kaka.

Una watoto. Kama unayo na una watoto sio rahisi kumuacha mwanamke akikucheat ili mradi awe amejutia kosa na kuomba msamaha. Lkn akicheat mara ya pili na ukajua hapo ni ruhusa kumuacha na usiangalie nyuma
Marafiki zangu wanacheat, huwezi ku cheat mara moja, never!
Ukoonja mjegede ugenini lazma uombe mechi ya marudiano.
 
Kumbuka mechi ya ugenini timu alikwa inapiga show ya kibabe na wewe kwakuwa unakuwa uwanja wa nyumbani unacheza kawaida kwakuwa una uhakika wa uko nayo kila siku, huoni atakuwa anakumbukia mechi ya ugenini?
kute alilamba "pipi kijiti" na akameza icing sugar, wewe hujawai kumpa "pipi" unafikiri ataaha kuifuata siku nyingine?
Lakini wewe ni mwanamke Jaji Mfawidhi . Umewahi kucheaat? Kwanini ulicheat?
 
Marafiki zangu wanacheat, huwezi ku cheat mara moja, never!
Ukoonja mjegede ugenini lazma uombe mechi ya marudiano.
Hao marafiki zako ni wa kike ama kiume?

ukiona umechitiwa ujue kuna kitu akipo sawa.

Fanya uchunguzi ukigundua sababu jirekebishe hapo
 
hakuna mwanamke ana cheat kwa bahati mbaya,
Km anamuonekano km huo hata akicheat mara 100 simuachi Mradi na Mimi nimgonge akishatoka kugongwa who cares tunaishi mara 2 kesho nikifa watamgonga tu sasa kwanini nitaabike wakati nipo hai, karibu tuchome kimoja
 
Km anamuonekano km huo hata akicheat mara 100 simuachi Mradi na Mimi nimgonge akishatoka kugongwa who cares tunaishi mara 2 kesho nikifa watamgonga tu sasa kwanini nitaabike wakati nipo hai, karibu tuchome kimoja
Ha ha ha ha, una bangi ya Kisimiri.
Nimecheka sana hapa mpaka mume wangu ameshangaa!
 
Km anamuonekano km huo hata akicheat mara 100 simuachi Mradi na Mimi nimgonge akishatoka kugongwa who cares tunaishi mara 2 kesho nikifa watamgonga tu sasa kwanini nitaabike wakati nipo hai, karibu tuchome kimoja
Uko sahihi mwili wake ameamua kufanya maamuzi mwenyewe alafu wewe ujue ndo ujitese mbona unakuwa ni ujinga unakufa na presha na msongo wa mawazo kwa kitu cha kijinga
 
Unajua ukiangalia kwa jicho la tatu kama una familia na mna watoto kumwacha inakuwa ngumu una msamehe yanaisha basi, maisha ni mafupi kweli ukishikilia na ukaleta ujuaji magonjwa yasiyoambukiza lazima yakuhusu, kingine mwili wake kidude chake atumie yeye huko kwa hiari yake mimi nijitese hapana
Una ndoa kaka.

Una watoto. Kama unayo na una watoto sio rahisi kumuacha mwanamke akikucheat ili mradi awe amejutia kosa na kuomba msamaha. Lkn akicheat mara ya pili na ukajua hapo ni ruhusa kumuacha na
 
Uko sahihi mwili wake ameamua kufanya maamuzi mwenyewe alafu wewe ujue ndo ujitese mbona unakuwa ni ujinga unakufa na presha na msongo wa mawazo kwa kitu cha kijinga
Yes of course ukileta za kuleta kitumbua unakikosa na Meno unasaga sasa yanini yote acha wamgonge na Wewe akija gonga kiroho safi, Maisha yanasonga
 
Ha ha ha ha, una bangi ya Kisimiri.
Nimecheka sana hapa mpaka mume wangu ameshangaa!
Mumeo ameshangaa Nini? Ukigongwa na Mimi nikakukojoza kisha ukaiosha ukampelekea na mumeo akugonge na miguno ya uongo juu kitaharibika nini? Hakuna kitakachoharibika
 
Ikifikia kipindi ukamfumania mkeo na ukaongea nae mkayamaliza na maisha yakeendelea hapo ndiyo unakuwa na hadhi ya kuitwa Mwanaume, Ila ukamfumania na kumuacha wewe bado ni mvulana au kijana bila kujali Una umri gani

Mwanaume kabla ya. Kufanya maamuzi hufikiria Kwanza familia yake na watoto wake itakuwaje

Mwanaume hujiuliza Hana mchepuko au aliwahi kuchepuka na mkewe hakujua ana haki ya kumuacha mwenzie kisa kajua????

Kila Mwanamke kama hukukuta kufuli jua yupo aliyekutangulia, halafu ni mentality Tu ndiyo inafanya hivyo Ila kiukweli ni kitu cha kawaida Sana na wala hakipunguzi kitu wala hakiongezi kitu, kitu pekee Chenye afya kwako ni furaha, tafuta pesa za kutosha wanawake wapo wengi na mkeo Baki nae maisha yasonge watoto walelewe na Baba na mama
Halafu wanaume mabwege kama wewe huwa mnasifiwa kweli na wanawake, ila amini na kwambia hakuna mwanamke yeyote humu ambaye atataka mtoto wake wa kiume awe na akili kama zako
 
Ikifikia kipindi ukamfumania mkeo na ukaongea nae mkayamaliza na maisha yakeendelea hapo ndiyo unakuwa na hadhi ya kuitwa Mwanaume, Ila ukamfumania na kumuacha wewe bado ni mvulana au kijana bila kujali Una umri gani

Mwanaume kabla ya. Kufanya maamuzi hufikiria Kwanza familia yake na watoto wake itakuwaje

Mwanaume hujiuliza Hana mchepuko au aliwahi kuchepuka na mkewe hakujua ana haki ya kumuacha mwenzie kisa kajua????

Kila Mwanamke kama hukukuta kufuli jua yupo aliyekutangulia, halafu ni mentality Tu ndiyo inafanya hivyo Ila kiukweli ni kitu cha kawaida Sana na wala hakipunguzi kitu wala hakiongezi kitu, kitu pekee Chenye afya kwako ni furaha, tafuta pesa za kutosha wanawake wapo wengi na mkeo Baki nae maisha yasonge watoto walelewe na Baba na mama
Vijana hawatakuelewa ila yalitupata na bado tupo nao. Hiyo kitu watu hawaielewi kwa sababu ya UBINAFSI. Kabla hujaoa lazima ukubali kuwa naingia katika maisha mapya, ya kuachana na ubinafsi naungana na mwenzangu na kutoa maisha yangu kwa viumbe tutakavyovileta duniani. Hapo ndipo uoe
 
Back
Top Bottom