Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,099
- 24,338
- Thread starter
- #101
Zinaa au Uzinzi (Kiarabu: الزنا) ni kujamiiana (kukutana kimwili) baina ya mwanaume na mwanamke bila ya kuweko mkataba wa ndoa baina yao.Jaji Mfawidhi umecheka sana nikugonge basi Ila nikikugonga usimsimulie mumeo maana mnapoharibu ndio hapo TU mkigongwa sana mkagongeka kuna Neno lenu 1 hua linawatoka kutuma code kwa Mwanaume kua kuna mwamba anaekugonga mpaka ndani ya mifupa hua mnasemaga "katikati ya Wanaume na Wewe Mwanaume? Kwenye wanaume na Wewe ni Mwanaume?" Ukishaanza kusema hivi ujue hapo nimekugonga mpaka nimekugonga tena sasa msiwe mnasema hivi nikikugonga nenda vizuri tu kwa mumeo ukagongwe tena na umsifie Mume wangu unajua
Tendo la zinaa ni katika madhambi makubwa na kuwa kwake haramu ni katika mambo yaliyo wazi na bayana na ambayo hayana shaka ndani yake. Adhabu ya zinaa au mzinifu inatofautiana kulingana na mazingira yake. Adhabu ya mseja na kapera (mtu ambaye hajaoa au hajaolewa) ni kuchapwa mijeledi 100, adhabu ya mzinifu mwenye mume au mke ni kupigwa mawe na adhabu ya kufanya zinaa na maharimu wa nasaba na kubaka ni kifo.
Kwa mujibu wa fat'wa za mafakihi, kitendo cha zinaa kinathibiti kwa mzinifu kukiri bayana na kuweko ushahidi wa mashuhuda na zinaa haithibiti kwa kufanyiwa vipimo vya kidaktari. Kuna hukumu mbalimbali kuhusiana na zinaa. Miongoni mwa sheria na hukumu hizo ni kwamba, kufanya zinaa na mwanamke aliyeolewa au aliyeko katika eda ya talaka rejea, hupelekea kuwa haramu milelele kwa maana kwamba, wawili hao katu hawawezi kuoana tena.