Usimrudie Mwanamke aliye-cheat , Never!

Usimrudie Mwanamke aliye-cheat , Never!

Hivi Vitu Ukiweka Maanani Sana Maisha Yako Yatakuwa Mafupi Sana.Life is Short Wekeza Kwenye Kizazi Chako Ukichapiwa na we e mtafute mnyonge wako Mchapie
 
Ikifikia kipindi ukamfumania mkeo na ukaongea nae mkayamaliza na maisha yakeendelea hapo ndiyo unakuwa na hadhi ya kuitwa Mwanaume, Ila ukamfumania na kumuacha wewe bado ni mvulana au kijana bila kujali Una umri gani

Mwanaume kabla ya. Kufanya maamuzi hufikiria Kwanza familia yake na watoto wake itakuwaje

Mwanaume hujiuliza Hana mchepuko au aliwahi kuchepuka na mkewe hakujua ana haki ya kumuacha mwenzie kisa kajua????

Kila Mwanamke kama hukukuta kufuli jua yupo aliyekutangulia, halafu ni mentality Tu ndiyo inafanya hivyo Ila kiukweli ni kitu cha kawaida Sana na wala hakipunguzi kitu wala hakiongezi kitu, kitu pekee Chenye afya kwako ni furaha, tafuta pesa za kutosha wanawake wapo wengi na mkeo Baki nae maisha yasonge watoto walelewe na Baba na mama
Unajifariji tuu baada ya mtu wako kuliwa.
Hata bibilia imesema mwanamke mzinzi achana nae.
 
Kuna age lazima cheat cheat cheat
Men wanaongoza, kikubwa hawabainiki kirahisi ---- especially wale waliosoma Cuba na wanaohudhuria vikao vyaoo
 
FB_IMG_1721978653218.jpg
 
Ikifikia kipindi ukamfumania mkeo na ukaongea nae mkayamaliza na maisha yakeendelea hapo ndiyo unakuwa na hadhi ya kuitwa Mwanaume, Ila ukamfumania na kumuacha wewe bado ni mvulana au kijana bila kujali Una umri gani

Mwanaume kabla ya. Kufanya maamuzi hufikiria Kwanza familia yake na watoto wake itakuwaje

Mwanaume hujiuliza Hana mchepuko au aliwahi kuchepuka na mkewe hakujua ana haki ya kumuacha mwenzie kisa kajua????

Kila Mwanamke kama hukukuta kufuli jua yupo aliyekutangulia, halafu ni mentality Tu ndiyo inafanya hivyo Ila kiukweli ni kitu cha kawaida Sana na wala hakipunguzi kitu wala hakiongezi kitu, kitu pekee Chenye afya kwako ni furaha, tafuta pesa za kutosha wanawake wapo wengi na mkeo Baki nae maisha yasonge watoto walelewe na Baba na mama
Kosa la mwanamke kucheat huwa halisamehewi, labda uwe mwanaume mzee
 
Back
Top Bottom