Mm kuna rafik yangu alinikopa 5,000/=mpaka leo anitafuti tena.Hii imenitokea na sasa imenip mtizamo mpya...mara nyingi nimekuwa mwepesi wa kusaidia na rafiki akinicheki kwa shida yake sijiulizi sana.
Hizi hela ndogo za kuwa nisaidie 50k, 30k hapo nitarejesha baada ya siku 2...nimezitoa na nyingi hazirejeshwi na wahusika. Anakausha kana kwamba hajui chochote vile.
Hawa watu wasio waaminifu wanafanya kuwasaidia watu wahitaji iwe ngumu...
Nikopeshe..najua wewe siyo mchoyo,😀Uchoyo unawasumbueni 😀
Ukimkopesha mtu bila dhamana unakuwa hujamkopesha bali umemfadhili.Hakuna mkopo usio na makubaliano yenye dhamana hata kama ni tsh 20000
Kama Tala na branch walidhulumiwa , wewe je?
Take care
Rafiki yangu nilimkopesha pesa mwaka jana, siku zimeenda kafilisika kibiashara na sioni dalili ya. Kupata hiyo pesa yangu, roho yaniuma sanaKopesha kwa maandishi
Usikopeshe Rafiki kizembe...urafiki utakufa na Pesa hakurudishii
Pesa ni kitu kingine man
Mmmh.. wee mkopaji sana... na hurejeshi kitu!!Uchoyo unawasumbueni 😀
Kukopa kwa mtu? Sijawahi ila nataka kujaribuMmmh.. wee mkopaji sana... na hurejeshi kitu!!
Pole sana mkuu. Kaka yangu mmoja alinieleza "siku ukimkopesha rafiki yako, ni mwanzo wa urafiki kufa" Sikumuelewa mpaka siku yaliponikuta ya kunikuta. Unamkopesha mtu na hana hata aibu ya kusema alipe deni. 🤬Rafiki yangu nilimkopesha pesa mwaka jana, siku zimeenda kafilisika kibiashara na sioni dalili ya. Kupata hiyo pesa yangu, roho yaniuma sana
Branch walikuacha salama?Kukopa kwa mtu? Sijawahi ila nataka kujaribu
Nishawahi kukopa branch na salary advance
YesBranch walikuacha salama?