Usilolijua kuhusu mkoa wa Shinyanga

Usilolijua kuhusu mkoa wa Shinyanga

Ni mkoa wenye timu mpaka sasa inashika nafasi ya pili na imeshazifunga yanga na azam
 
Ni mkoa wenye uwanja wa mpira unaoitwa Kambarage
 
Ni mkoa unaoongoza kwa ndoa za utotoni,
Ni mkoa ambao ndani ya miaka 10 iliyopita ni miongoni wa inayoshika nafasi za chini kitaaluma
Ni mkoa unaoongoza kwa mauaji ya vikongwe
Ni mkoa unaoongoza kwa mauaji ya Albino
Ni mkoa ambao wakazi wake ni wafugaji wakubwa lakini wanaishi katika umaskini uliotukuka
Endelea.......................
Ni mkoa unaoongoza kwa kuwa na watu wa majungu kama wewe
 
Mmmmh mtoa uzi nadhani ingekuwa vyema ungeweka na mazuri maana kichwa cha habari kinasadifu mambo ambayo wengi hatuyafahamu ila kwa uandishi wako umeegemea kwenye negative tu
 
Ni mkoa unaoongoza kwa kukipenda chama chakavu

Kukipenda chama chakavu+ Ujinga=Umaskini
Chama chakavu ndo kipi hicho? Kinachoongoza nchi au?

Unajua nafasi ya Mkoa wa Shinyanga kiuchumi?
Unajua kuwa Mkoa wa Shinyanga una idadi ndogo ya kaya maskini(kaya 33,000), ukilinganisha na Kagera (kaya 66,000), Arusha (kaya 45,000), Mbeya (kaya 68,000), Mwanza (kaya 59,000). Upo hapo?
 
Ni mkoa unaoongoza kwa ndoa za utotoni,
Ni mkoa ambao ndani ya miaka 10 iliyopita ni miongoni wa inayoshika nafasi za chini kitaaluma
Ni mkoa unaoongoza kwa mauaji ya vikongwe
Ni mkoa unaoongoza kwa mauaji ya Albino
Ni mkoa ambao wakazi wake ni wafugaji wakubwa lakini wanaishi katika umaskini uliotukuka
Endelea.......................
Ni mkoa wenye wasaka not ucku na mchna kwa miaka ya sasa
 
Ni mkoa unaoongoza kwa ndoa za utotoni,
Ni mkoa ambao ndani ya miaka 10 iliyopita ni miongoni wa inayoshika nafasi za chini kitaaluma
Ni mkoa unaoongoza kwa mauaji ya vikongwe
Ni mkoa unaoongoza kwa mauaji ya Albino
Ni mkoa ambao wakazi wake ni wafugaji wakubwa lakini wanaishi katika umaskini uliotukuka
Endelea.......................
Kinehe ngosha
 
Back
Top Bottom