Usilolijua kuhusu mkoa wa Shinyanga

Usilolijua kuhusu mkoa wa Shinyanga

Ni mkoa wenye maendeleo na hali nzuri ya hewa,mungu ibariki shy,mungu ibariki stand united.
 
Nimkoa wa pili kanda ya ziwa wenye viwanda vingi na uchumi mkubwa baada ya mwanza
 
Ni mkoa wenye maendeleo na hali nzuri ya hewa,mungu ibariki shy,mungu ibariki stand united.
Ndio mkuu kwa sasa maendeleo ya mkoa wa shy nimazuri sana hasa katika miundombinu.Miji yake inakua kwa kasi sana
 
Ni mkoa unaoongoza kwa ndoa za utotoni,
Ni mkoa ambao ndani ya miaka 10 iliyopita ni miongoni wa inayoshika nafasi za chini kitaaluma
Ni mkoa unaoongoza kwa mauaji ya vikongwe
Ni mkoa unaoongoza kwa mauaji ya Albino
Ni mkoa ambao wakazi wake ni wafugaji wakubwa lakini wanaishi katika umaskini uliotukuka
Endelea.......................
Vipi ulikuwa kwenye kikao cha RC Mwanri leo? Kwa sababu yeye ndio kasema haya maneno hapa Tabors
 
acheni uongo, ina maana ni mabaya tu ya shy. Mbona ht mazuri yapo kibao. Omba omba wapo kila sehem,utaringanisha umbumbumbu wa Shy na dom? heri ht shy tuna majimbo ya upinzani. Hatushoboki na kofia za kijani wala nini.
Mtukome kbs.
Jimbo gani kwa mfano na mbunge wake ni nani na kutoka chama gani?!
 
Back
Top Bottom