Usilolijua kuhusu mkoa wa Shinyanga

Usilolijua kuhusu mkoa wa Shinyanga

Mpucha

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2012
Posts
1,271
Reaction score
1,660
Ni mkoa unaoongoza kwa ndoa za utotoni,
Ni mkoa ambao ndani ya miaka 10 iliyopita ni miongoni wa inayoshika nafasi za chini kitaaluma
Ni mkoa unaoongoza kwa mauaji ya vikongwe
Ni mkoa unaoongoza kwa mauaji ya Albino
Ni mkoa ambao wakazi wake ni wafugaji wakubwa lakini wanaishi katika umaskini uliotukuka
Endelea.......................
 
Ni mkoa unaoongoza kwa ndoa za utotoni,
Ni mkoa ambao ndani ya miaka 10 iliyopita ni miongoni wa inayoshika nafasi za chini kitaaluma
Ni mkoa unaoongoza kwa mauaji ya vikongwe
Ni mkoa unaoongoza kwa mauaji ya Albino
Ni mkoa ambao wakazi wake ni wafugaji wakubwa lakini wanaishi katika umaskini uliotukuka
Endelea.......................
Ngoja Wasukuma waje
 
Ndoa za utotoni zinasababishwa na tamaa ya wazazi kupokea mahari(ng'ombe)
 
Ni mkoa ambao hauna maendeleo pamoja na uchimbwaji wa almasi na dhahabu

Mkoa ambao una ombaomba halafu wajeuri hao!!

Ukimpa hamsini anakukemea!
 
acheni uongo, ina maana ni mabaya tu ya shy. Mbona ht mazuri yapo kibao. Omba omba wapo kila sehem,utaringanisha umbumbumbu wa Shy na dom? heri ht shy tuna majimbo ya upinzani. Hatushoboki na kofia za kijani wala nini.
Mtukome kbs.
 
Back
Top Bottom