wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,931
- 4,550
-Ni mkoa wenye daladala za baiskeli nyingi kuliko zote Tanzania.Ni mkoa unaoongoza kwa ndoa za utotoni,
Ni mkoa ambao ndani ya miaka 10 iliyopita ni miongoni wa inayoshika nafasi za chini kitaaluma
Ni mkoa unaoongoza kwa mauaji ya vikongwe
Ni mkoa unaoongoza kwa mauaji ya Albino
Ni mkoa ambao wakazi wake ni wafugaji wakubwa lakini wanaishi katika umaskini uliotukuka
Endelea.......................
-Ni mkoa wenye wanawake warembo na wenye bei rahisi Sana