Huyu kweli aliyataka
Mijitu Kama hii ndo huwa inatutengenezea CV mbaya wanawake wote tuonekane mashetani
Ndoa Ni baraka,ndoa Ni neema jamani
Ukipata mtu wa kukuoa tulia.
Out of Mada:
Huwa namsubiri uyo future husband wangu jaman[emoji7][emoji7],atakae nioa...nitatulia tuli nimpende Hadi achanganyikiwe
Sent using
Jamii Forums mobile app