Usilie,pole dada uliyataka mwenyewe

Sawa nimekupata sasa iyo nyumba ya watoto au ya kwangu
 
Yani wewe dada huwa nikiona comments zako nafurahi sana uko very positive. Kama ndo ulivyo na unayoyaandikaga hapa Mungu awe nawe upate mume mwema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua ameleta ili na wengine tupone kupitia huu ujumbe
Ila nilitaka kujua kama muhusika yupo humu
Huwezi kupona mpaka likukute mwenyewe live ndo huwa inasemwa "Nimejifunza"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…