Nimekuelewa sana!Unaacha mzazi mwenzio, unamzingua, unamfelisha, mnaachana unaenda kuishi kwa mchepuko na mali ulizompora mshkaji, mchepuko anazitumia, zinaisha anakufukuza na anakuachia na ka UKIMWI, unarudi kuwasumbua ndugu ama wazazi, unajisikia aibu hata kuhudhulia hospital, unadhoofu, ukipita mtaani kila mtu anakusema vibaya wewe, umalaya wako unakuwa silaha kali dhidi yako, unadhoofu, unatia huruma, Mungu anakuweka hufi wala nini, yaani unakongoroka unakuwa Kama kasa, unahara kama kinda la bata mzinga, baadae sana ndo unakumbuka kwenda kanisani wakakuombee....shenzi kabisa......nimeandika haya kwa hasira kidogo.
Mkuu...hizi hasira kama umesema hapa ndiyo kidogo basi ukikasirika kwa speed ya 50 km/h hakuna wa kukushikaUnaacha mzazi mwenzio, unamzingua, unamfelisha, mnaachana unaenda kuishi kwa mchepuko na mali ulizompora mshkaji, mchepuko anazitumia, zinaisha anakufukuza na anakuachia na ka UKIMWI, unarudi kuwasumbua ndugu ama wazazi, unajisikia aibu hata kuhudhulia hospital, unadhoofu, ukipita mtaani kila mtu anakusema vibaya wewe, umalaya wako unakuwa silaha kali dhidi yako, unadhoofu, unatia huruma, Mungu anakuweka hufi wala nini, yaani unakongoroka unakuwa Kama kasa, unahara kama kinda la bata mzinga, baadae sana ndo unakumbuka kwenda kanisani wakakuombee....shenzi kabisa......nimeandika haya kwa hasira kidogo.
Hahaaaah, hamna mkuu, ila tu hili jambo limemtokea ndugu yangu kabisa, na huko mtaani yanaendelea kila sikuMkuu...hizi hasira kama umesema hapa ndiyo kidogo basi ukikasirika kwa speed ya 50 km/h hakuna wa kukushika
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
NA wanaume wachepukaji pia inawahusuUmeandika kwa hasira ila yana ujumbe wa mhimu sana wanawake wajifunze uchepukaji siyo dili zaidi ni kujiharibia maisha tu.
Wanawake wachepukaji badiliken
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaacha mzazi mwenzio, unamzingua, unamfelisha, mnaachana unaenda kuishi kwa mchepuko na mali ulizompora mshkaji, mchepuko anazitumia, zinaisha anakufukuza na anakuachia na ka UKIMWI, unarudi kuwasumbua ndugu ama wazazi, unajisikia aibu hata kuhudhulia hospital, unadhoofu, ukipita mtaani kila mtu anakusema vibaya wewe, umalaya wako unakuwa silaha kali dhidi yako, unadhoofu, unatia huruma, Mungu anakuweka hufi wala nini, yaani unakongoroka unakuwa Kama kasa, unahara kama kinda la bata mzinga, baadae sana ndo unakumbuka kwenda kanisani wakakuombee....shenzi kabisa......nimeandika haya kwa hasira kidogo.
Uchepukaji wetu sisi ukiushuhudi unatia simanzi zaidi..mara nyingi unakuta mkeo anamzidi kila kitu mchepuko..aah ndo hivyo mi c mambo zangu sizizungumzii ki viile.N
NA wanaume wachepukaji pia inawahusu
Khaaaa demiMwanaume unanata Sana wewe, sijawahi ona wa type yako
[emoji85][emoji85][emoji85] Kaka habari yako
Huyu kweli aliyatakaDada kaolewa kwa ndoa, maisha yanaendelea na matatizo na furaha ni sehemu ya maisha kapata mchepuko akaanza kubadilika na dharau kwa mme, atimae kaamua mwenyewe kuomba talaka kwa kutegemea mali ataachiwa kwa sababu anawatoto na mme wake.
Mahakama ilikubali talaka ila mali kwa wagawane, nyumba ikauzwa sasa mke kapoteza mali na mme anazurura maskini watoto wanaangaika kwa ujinga wa mama yao
Nina shida na wewe,nakuomba PM tafadhari.Najua ameleta ili na wengine tupone kupitia huu ujumbe
Ila nilitaka kujua kama muhusika yupo humu
HahaUnaacha mzazi mwenzio, unamzingua, unamfelisha, mnaachana unaenda kuishi kwa mchepuko na mali ulizompora mshkaji, mchepuko anazitumia, zinaisha anakufukuza na anakuachia na ka UKIMWI, unarudi kuwasumbua ndugu ama wazazi, unajisikia aibu hata kuhudhulia hospital, unadhoofu, ukipita mtaani kila mtu anakusema vibaya wewe, umalaya wako unakuwa silaha kali dhidi yako, unadhoofu, unatia huruma, Mungu anakuweka hufi wala nini, yaani unakongoroka unakuwa Kama kasa, unahara kama kinda la bata mzinga, baadae sana ndo unakumbuka kwenda kanisani wakakuombee....shenzi kabisa......nimeandika haya kwa hasira kidogo.
Mkuu tulia mda ukifika tutafinya kipunjeKua katika Ndoa bado ni fumbo la Imani kwangu, kila cku napata mapya kuhusu ndoa ndio nazidi kutokomea kbsa kwenye U single, japo umri nao unakimbia duh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli lkn bdo sana nachanga karata, kuna mda nawaza kulea vifaranga vyangu2 viwili niliowapata kwenye ujana
Mfano nikijenga nyumba halafu baadae nikaja kuoa , hapa kisheria nyumba itahesabika ni yangu peke yangu au yetu sote (mume na mke)?Dada kaolewa kwa ndoa, maisha yanaendelea na matatizo na furaha ni sehemu ya maisha kapata mchepuko akaanza kubadilika na dharau kwa mme, atimae kaamua mwenyewe kuomba talaka kwa kutegemea mali ataachiwa kwa sababu anawatoto na mme wake.
Mahakama ilikubali talaka ila mali kwa wagawane, nyumba ikauzwa sasa mke kapoteza mali na mme anazurura maskini watoto wanaangaika kwa ujinga wa mama yao