Usiku..............................

Usiku..............................

Hapa ndipo palipoungua shoka ukabaki mpini...umetokea wapi ww..
 
Naona giza limekuzingua umekosea njia... haopa sio ulipopakusudia, ni kwa jirani ndiko ulikotaka kwenda, Nisubiri nimalize kazi nitakusindikiza wka maana mi napafahamu fika. wakati unasubiri, karibu kahawa
 
Unashangaa nini? Vuta siti hapo ukae utulie.
 
Back
Top Bottom