The Interpreter
Member
- Mar 14, 2019
- 87
- 60
Unataka Niandike Gazeti Ndo TuelewaneAliye elewa anieleweshe pls.
Hallucination ndio inakuwa hivo?Mkuu ni kawaida alikuwa anaota hyo hali hata mm huwa inanitokea naota naanza kulia mpaka mtu aniamshe so relax hizo ni hallucinations tu
NO SIO HALLUCINATIONS, ITS MORE THAN THAT, NI SPIRITUAL.Mkuu ni kawaida alikuwa anaota hyo hali hata mm huwa inanitokea naota naanza kulia mpaka mtu aniamshe so relax hizo ni hallucinations tu
Hizo Ndoto Zitakuwa Na Mambo Mazito. Sio Kawaida Halafu Nilivyomuona Tu, Akaacha Kulia Mara MojaMkuu ni kawaida alikuwa anaota hyo hali hata mm huwa inanitokea naota naanza kulia mpaka mtu aniamshe so relax hizo ni hallucinations tu
Kuna sehemu nimekwambia uandike gazeti? mimi nimeomba kwa aliye elewa anifahamishe,uwe unasoma comments na kuzielewa kwanza.Unataka Niandike Gazeti Ndo Tuelewane
Njoo mwanza nikupeleke kwa mtaalam wa uganguzi na tiba asili akufungulie hilo fumbo.Hizo Ndoto Zitakuwa Na Mambo Mazito. Sio Kawaida Halafu Nilivyomuona Tu, Akaacha Kulia Mara Moja
Mtoa mada tayari umefungua kupigwa, soma hii hapa,fuata hii ukaliwe.Njoo mwanza nikupeleke kwa mtaalam wa uganguzi na tiba asili akufungulie hilo fumbo.