The Interpreter
Member
- Mar 14, 2019
- 87
- 60
Ndugu zangu haya mambo yanatisha! Twende kwenye mada.
Huyu mtu nimelalae kitanda kimoja, mida ya 8 usiku ni kama alikuwa akiongea na mtu kwa lugha ya mabishano. Nimestuka kuomuona akilia usingizi, kilio kisicho na machozi ila chenye uchungu na malalamiko.
Nilishindwa kulala, hii maana yake nini wakuu.
Huyu mtu nimelalae kitanda kimoja, mida ya 8 usiku ni kama alikuwa akiongea na mtu kwa lugha ya mabishano. Nimestuka kuomuona akilia usingizi, kilio kisicho na machozi ila chenye uchungu na malalamiko.
Nilishindwa kulala, hii maana yake nini wakuu.