Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 4,905
- 13,290
Ni bora ku skip kuliko kula milo mi3 kila siku.
Mimi ninaishi katika formula inayosema kula ni kitendo cha kuupongeza mwili baada ya kufanikisha jambo/kitu fulani(jaribu hii itakusaidia sana katika nyanja zote)
Hivyo basi kwa kuwa mimi ni mfanyabiashara, huwa sili mpaka niuze, nikishauza nitaagiza chakula kizuuuuri kama kuupongeza mwili.
Nilipoanza ilikua changamoto, lakini kwa sasa, mwili na surroundings ni kama zimeshawasiliana na kukubaliana kitu.
Natoka home bila kugusa chai ila nikifika job, hata kabla ya saa nne nakua nimeshabutua kombe la kombolela(mauzo) naagiza chai nzito kwa pesa niliyouza, japo naweza kuwa na pesa ya ziada mfukoni huwa siitumii mpaka niuze.
Ni mara chache sana huwa naikosa chai, ila mara nyingi nafuata sheria na chai, lunch ni lazima nibutue.
Lakini wengi wetu tukiamka asubuhi tunataka kuanza na chai, ambayo hatujaifanyia kazi yoyote(unaupongeza mwili 4nothing)
Jaribuni formula yangu muone matokeo tofauti.
Mimi ninaishi katika formula inayosema kula ni kitendo cha kuupongeza mwili baada ya kufanikisha jambo/kitu fulani(jaribu hii itakusaidia sana katika nyanja zote)
Hivyo basi kwa kuwa mimi ni mfanyabiashara, huwa sili mpaka niuze, nikishauza nitaagiza chakula kizuuuuri kama kuupongeza mwili.
Nilipoanza ilikua changamoto, lakini kwa sasa, mwili na surroundings ni kama zimeshawasiliana na kukubaliana kitu.
Natoka home bila kugusa chai ila nikifika job, hata kabla ya saa nne nakua nimeshabutua kombe la kombolela(mauzo) naagiza chai nzito kwa pesa niliyouza, japo naweza kuwa na pesa ya ziada mfukoni huwa siitumii mpaka niuze.
Ni mara chache sana huwa naikosa chai, ila mara nyingi nafuata sheria na chai, lunch ni lazima nibutue.
Lakini wengi wetu tukiamka asubuhi tunataka kuanza na chai, ambayo hatujaifanyia kazi yoyote(unaupongeza mwili 4nothing)
Jaribuni formula yangu muone matokeo tofauti.