Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,244
- 90,305
Watu wakifunga wanaitesa miwili yao kwa njaa.Kama Mungu amekupa riziki ya wewe kua na uwezo wa kula ila ukafanya ubahili kwa kuutesa mwili wako na njaa,
Basi hiyo ni dhambi pia.
Watu wakifunga wanaitesa miwili yao kwa njaa.Kama Mungu amekupa riziki ya wewe kua na uwezo wa kula ila ukafanya ubahili kwa kuutesa mwili wako na njaa,
Basi hiyo ni dhambi pia.
Kula inatakiwa ule pale unapohisi njaa,Kama hufanyi kazi ngumu hakuna tatizo kula milo miwili kwa siku
Umeshasema kufunga,Watu wakifunga wanaitesa miwili yao kwa njaa.
Utaratibu wa kula asubuhi na usiku una maana kwa sababu unasaidia kuwakutanisha watu pamoja kama familia, kundi au jamii fulani.Kula inatakiwa ule pale unapohisi njaa,
haijalishi unafanya kazi gani au ni muda gani,
Sijui ni binadamu gani aliweka huu utaratibu wa Breakfast,Lunch na Dinner,
Unatakiwa ule pale unapohisi njaa.
Kula pale unapohisi njaa kiafya sio nzuri kabisaKula inatakiwa ule pale unapohisi njaa,
haijalishi unafanya kazi gani au ni muda gani,
Sijui ni binadamu gani aliweka huu utaratibu wa Breakfast,Lunch na Dinner,
Unatakiwa ule pale unapohisi njaa.
Sio kweli,kula unapohisi njaa ndio inatakiwa kiafya ili uregulate appetite,u support metabolism na kuuhakikishia mwili kupata necessary energy,kufuata schedules ni mazowea tu watu wamejiwekea,Kula pale unapohisi njaa kiafya sio nzuri kabisa
Sasa wewe hapa unaongelea gathering,mimi naongelea healthy,Utaratibu wa kula asubuhi na usiku una maana kwa sababu unasaidia kuwakutanisha watu pamoja kama familia, kundi au jamii fulani.
Ukiwa katika familia au Ofisini inakubidi uyachukue na uende na mambo yote mawili kwa pamoja. Hakuna maisha ya kifamilia au ya ofisini yatakayowezekana kwenda vizuri kama kila mtu atakuwa anakula kwa wakati wake anaojisikia yeye.Sasa wewe hapa unaongelea gathering,mimi naongelea healthy,
Hoja yako ipo nje ya mada kabisa.
Kabisa kula kwanza ,kama hesabu zinabana hadi kula , nikuachana na hizo hesabu tu , na kufanya maarifa ya jamiii ili mtu ale kwanza.Hizo ratiba nyingine za maisha zina umuhimu gani sana kuliko wewe kula? hivi kuna kitu muhimu kingine kwa kiumbe kilicho hai zaidi ya kula?
Kula inatakiwa iwe top priority yako ili upate nguvu na akili yakufuatilia hayo mambo mengine,kuskip kula sio ujanja kisa unabana hela ufanye mambo mengine,hayo mambo mengine hayawezi kuna na umuhimu zaidi ya uhai wako.
Wewe point yako imelenga kwenye ''Utaratibu wa kijamii'' Mimi point yangu imelenga kwenye ''Afya ya mwili''Ukiwa katika familia au Ofisini inakubidi uyachukue na uende na mambo yote mawili kwa pamoja. Hakuna maisha ya kifamilia au ya ofisini yatakayowezekana kwenda vizuri kama kila mtu atakuwa anakula kwa wakati wake anaojisikia yeye.
Kuna kuuhangaisha mwili na kuangaisha akili usichanganye hayo mambo bwashee
Upo sahihi kabisa,ndio maana doktori Janabi huwa anahoji,hii ishu ya kunywa chai asubuhi ni mazoea tu,kwasababu hakuna hakuna anayeamka asubuhi na njaa,na kama hutokea basi ni mara chache sanaKula inatakiwa ule pale unapohisi njaa,
haijalishi unafanya kazi gani au ni muda gani,
Sijui ni binadamu gani aliweka huu utaratibu wa Breakfast,Lunch na Dinner,
Unatakiwa ule pale unapohisi njaa.
factSio kweli,kula unapohisi njaa ndio inatakiwa kiafya ili uregulate appetite,u support metabolism na kuuhakikishia mwili kupata necessary energy,kufuata schedules ni mazowea tu watu wamejiwekea,
Unakuta mtu anahisi njaa ila anasubiri ufike muda fulani ndio ale!
Kumbe dokta janab😄😄Upo sahihi kabisa,ndio maana doktori Janabi huwa anahoji,hii ishu ya kunywa chai asubuhi ni mazoea tu,kwasababu hakuna hakuna anayeamka asubuhi na njaa,na kama hutokea basi ni mara chache sana
bwashee huchezi mbali na kula kabisa 🤣🤣Kabisa kula kwanza ,kama hesabu zinabana hadi kula , nikuachana na hizo hesabu tu , na kufanya maarifa ya jamiii ili mtu ale kwanza.
Amina,hakika ni stage ngumu sana kwakweliNamshukuru Mungu sijawahi kukosa riziki ya mlo
Nawaombea wapambanaji wengine wavuke stage ya kuwaza mlo, hii ni stage ya chini
Yaani binadamu unakuwa kama mnyama au ndege uamke uhangaike ndo ule
😄Pendekezo: Beba chakula kutoka home.
Nimeipenda hiiDaaah!!! Leo hii eti na mimi naishi kinondoni (new York ya Tanzania) Mungu ni mwema.