Usijiloge ukafunga Ac kama huna hela utaiuza

Usijiloge ukafunga Ac kama huna hela utaiuza

Wakuu hvi na pressure cooker na Blender zile heavy duty vp ulani wake wa umeme ,ni mdogo ,wakawaida au mkubwa?
Fanya utafiti mwenyewe. Angalia mashine ya luku kuona una units ngapi, kisha zirekodi. Tumia hiyo blender kusaga matunda au pressure cooker kupika. Ukimaliza angalia tena units zimebaki ngapi. Utapata majibu.
 
Hili nimeliona kwangu. Wakati wa hali ya hewa ya kawaida bila kuwasha feni huwa tunatumia units 3-4 kwa saa 24. Ila kwa sasa ni units 4 ndni ya saa 12. Usiku hadi asbh pangaboi mbili zinawaka. Mchana pia hasa sabuleni. Pangaboi ni za Africab, 75watts.

Ni sawa kabisa

Chukua feni tuu hizo zinazowaka masaa 24 yani 12 mchana na 12 usiku

Maana yake

75 watts X 2 units = 150Watts
150 watts x 24 hrs = 3,600 watts hour
3600 wh gawa kwa 1000
= 3.6 Kwh/ 3.5 units

Hizo ni feni mbili tuu za 24 hrs
 
Ni sawa kabisa

Chukua feni tuu hizo zinazowaka masaa 24 yani 12 mchana na 12 usiku

Maana yake

75 watts X 2 units = 150Watts
150 watts x 24 hrs = 3,600 watts hour
3600 wh gawa kwa 1000
= 3.6 Kwh/ 3.5 units

Hizo ni feni mbili tuu za 24 hrs
Umetisha sana mkuu. Hizo 0.5 zilizobaki huenda zilitumiwa na taa za nje na friji kwa sababu luku niliweka saa 3 usiku. Ilipofika saa 3 asubuhi kesho yake nikakuta units zimeshuka toka 113 hadi 109.
 
Back
Top Bottom