Usijiloge ukafunga Ac kama huna hela utaiuza

Usijiloge ukafunga Ac kama huna hela utaiuza

Kuna jamaa kafunga pangaboy 3 kwenye nyumba yake,analalamika kwa siku anatumia unit 5 hadi 6,na zenyewe zinakula umeme balaa
Hili nimeliona kwangu. Wakati wa hali ya hewa ya kawaida bila kuwasha feni huwa tunatumia units 3-4 kwa saa 24. Ila kwa sasa ni units 4 ndni ya saa 12. Usiku hadi asbh pangaboi mbili zinawaka. Mchana pia hasa sebuleni. Pangaboi ni za Africab, 75watts.
 
Hili nimeliona kwangu. Wakati wa hali ya hewa ya kawaida bila kuwasha feni huwa tunatumia units 3-4 kwa saa 24. Ila kwa sasa ni units 4 ndni ya saa 12. Usiku hadi asbh pangaboi mbili zinawaka. Mchana pia hasa sabuleni. Pangaboi ni za Africab, 75watts.
 
Lodge sio wa kutolea mfano baadhi yao wanachakachua balaa umeme unaotumika kwenye maAC haupiti kwenye mita
Brother Lodge zipo nyingi wanatumia AC na pia bei zao sio kubwa kivile na AC zao nyingi walikua wanaanza na used wanaweza kutumia umeme wa kuiba ila sio hizi zote nazoziona Faza...hata hivyo LG au Sumsung hazitumii umeme mwingi...
 
Kaka mimi binafsi nimefunga bt 18000 kama ww chumbani umeme wa 5000 kwa siku ,mwanzo kabla ya Ac nilikuwa natumia umeme wa 10,000 siku 5 ,Ila saiv ni siku mbili ,Pia ukitaka ipunguze kula Usiweke nyuzi joto 18 compresa itazunguka bila kusimama ,mfano usiku kama hali ya hewa nzuri weka 30 itakuwa compresa inawaka muda mchache sana na kuzima ,au ukiona bado hupati weka 27 tu ,na ukizoea hii kitu aisee huwezi lala bila kuweka mufindi
Sasa mkuu normal temperature( environmental temp) Kwa Dar nikuanzia 27/32 Centigrade, then wewe uweke 30 kweli?. Siheri uwashe tu feni?. Atleast uweke 23°C utakua comfortable, ukiweka pia chini ya 20°C utakua na matatizo.
 
Back
Top Bottom