Usijiloge ukafunga Ac kama huna hela utaiuza

Usijiloge ukafunga Ac kama huna hela utaiuza

AC MCHANA TUMIEN UMEME WA SOLA UNAPGA DIRECT BETRI INVETA MWENDO WA SOLA IKIFKA SAA 11:- HAMISHA KWENDA KWENYE UMEME
 
Msaada. AC ya btu 9000 - dual inverter (LG) kwa masaa 12 naweza kula unit ngapi?
 

Attachments

  • images (8).jpeg
    images (8).jpeg
    23.2 KB · Views: 22
Btu1800 unatumia unit 15 tu? Mshukuru sana Mungu na Mzungu kwa teknolojia ya AC za inverter.

AC ya BTU9000 ya kawaida inatumia umeme unit 20 kwa siku.

Una bahati sana
 
Nimeyatimba nimechukua ac ya hisence btu18000 tena ya Dual inverter Aloo ac ni kama V8 anytime lazima umeme uwe full namaanisha ac ni jini la umeme sio mchezo

Kwa siku inaweza Kula umeme hata wa sh 5000 yani inaweza Meza unit 15 per day

Ushauri Wangu ni kwamba kama Una Hela ya kuunga unga usinunue ac utaacha imezimika sio mchezo ile ni jini umeme

Kama ntakuwa labda kuna tatizo masi mafundi mnieleweshe
Niliweka mwezi mmoja wa pili nkahisi kizunguzungu ama kuna pepooo anakula umemeeee nikasema enough
 
Nimeyatimba nimechukua ac ya hisence btu18000 tena ya Dual inverter Aloo ac ni kama V8 anytime lazima umeme uwe full namaanisha ac ni jini la umeme sio mchezo

Kwa siku inaweza Kula umeme hata wa sh 5000 yani inaweza Meza unit 15 per day

Ushauri Wangu ni kwamba kama Una Hela ya kuunga unga usinunue ac utaacha imezimika sio mchezo ile ni jini umeme

Kama ntakuwa labda kuna tatizo masi mafundi mnieleweshe
5000 ndogohivyo loh...
 
shukuru Mungu umewahi kukubali.maisha hayo huyawezi kunawengine wakezao ndiowaliforce ac kusema yanwashinda wanashindwa wanalala gizani mwanzo mwisho loh m niliitoa nikapeleka kunduchi kuna nyumba ya kutunzia yatima nikawakabidhi na kuwatakia kilalakheri sidhan kama bado wanatumia kwa umemeulee.mmmh
 
hii wanaiweza wafanyakazi wa tanesco wao wanapewa Unit za umeme nyingi sana kila mwezi
 
Okey..basi huko kwenu inaonekana usiku ni baridi so unapasha joto
Mkuu hili jambo tutabishana na binafsi huwa sipendi ubishi ama mashindano binafsi nimeeleza mazingira ya kwangu navyokwenda nayo hiyo Ac kama hutaki ama huamini basi ,

siwezi kukulazimisha ,Ila nimeeleza uzoefu wangu na namna navyofanya kupunguza matumizi ,
maana mpaka sasa naona hiyo Bt18000 ni kubwa sana kwangu ,mpango nihamishe sebleni nifunge 9000 Chumbani ,

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hili jambo tutabishana na binafsi huwa sipendi ubishi ama mashindano binafsi nimeeleza mazingira ya kwangu navyokwenda nayo hiyo Ac kama hutaki ama huamini basi ,

siwezi kukulazimisha ,Ila nimeeleza uzoefu wangu na namna navyofanya kupunguza matumizi ,
maana mpaka sasa naona hiyo Bt18000 ni kubwa sana kwangu ,mpango nihamishe sebleni nifunge 9000 Chumbani ,

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu
 
Nimeyatimba nimechukua ac ya hisence btu18000 tena ya Dual inverter Aloo ac ni kama V8 anytime lazima umeme uwe full namaanisha ac ni jini la umeme sio mchezo

Kwa siku inaweza Kula umeme hata wa sh 5000 yani inaweza Meza unit 15 per day

Ushauri Wangu ni kwamba kama Una Hela ya kuunga unga usinunue ac utaacha imezimika sio mchezo ile ni jini umeme

Kama ntakuwa labda kuna tatizo masi mafundi mnieleweshe
Pole
Shida itakua kwako au umeme
Ac hasa Lg dual inverter hazili umeme
Usiku mzma inaweza pga kazi isimalze unit 2 mana inawaka mda ikihtajka kupoza tu ila room ikipoa inajzma inabak fen pekeake kuzd kusambaza hewa ndan

Shida itakua n hivi
1. Unawasha Ac alaf unakaa unasoma umeme kama unaenda sana au kawaida
Asa ukifanya hvo unakosea mana utapoizma tu bc badae utapowasha hesabu znaanza upya

Ac inatumia umeme mwng saa moja la mwanzo tu ila bdae n umeme kdogo sana na inazd kutumia umeme kdogo kadr mda unavyozd kwenda

2. unaweka ubarid mkubwa usio na kaz hadi inakubidi uanze kujifunika au uvae sweta kabsa
kadri unavyoongeza ubarid ndivyo unaongeza mzgo kwenye Ac yako kwahyo barid kal manake mzgo mkubwa na umeme mwng utatakiwa
Ila barid la kawaida bc mzgo kdogo na utagundua ac yako hail umeme
Pendelea kuweka joto mfano 26 na kuendelea mana lnatosha kabsa kutohc jot
Mda mwngne hata 28 inaenda vzur tu
N ww na mwili wako
Ila hzo 16 au 18 kama unataka kuganda achananazo

Ac tamu jaman msiwe waoga na umeme
Au pesa yako unataka aitumie nan
Kama huwez kuupa raha mwil wako
 
Duh! Mbona watu mnajihangaisha buuule kabisa. Mbona Tower Fan inatosha tuuuu! Na tena ipo vizuri sana!!!
 
Nenda pale AG appliances GSM mall pugu kuna Ac za solar mchana jua usiku battery zinatumika
 
Mkuu Sikatai unachosema vyuma vingi vinahitaji kuanzia 12000 ndo hapo unaenjoy ila hilo 9000 wengi wanalalamika na hasa chumba chako kikiwa sehemu mbaya (kunakozamia jua ) aisee hakuna rangi utaacha kuona ,
Uzuri wa hii 18000 kama chumba kimezibwa vizuri na hakuna mwingiliano yaani ingia toka ,huwa haichelewi kujaza chumba na compresa ikazima ,yaani unapokuwa na Ac kubwa uzuri wake inawahi kujaza chumba haraka na inapunguza matumizi ya umeme maana hizi ndogo zinafanya compresa kuzunguka muda mrefu ili kuleta ule ubaridi ndani ..
Mimi yangu huwa naiset kwa saa moja tu inazunguka basi inajizima hapo ,na panaweza pakakaa ndani na ubaridi kwa muda mrefu sana
Muda mrefu muda gani?
 
Back
Top Bottom