LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,695
- 13,324
- Thread starter
- #61
Ipo sema nlitaka ac Tu ila sikujua tatizo mafundi waongo hawaiwambii ukweliUmeipata wapi hiyo mkuu, AC zinaramba unit balaa.
Mbona pangaboi ziko poa tu.
Weka pangaboi na hakikisha maji home hayakati kwa ajili kujimwagia pangaboi likizidiwa.
Maana kuna time haya madude ni kama yanapulizia moto sio upepo.


