Usijiloge ukafunga Ac kama huna hela utaiuza

Usijiloge ukafunga Ac kama huna hela utaiuza

Nimeyatimba nimechukua ac ya hisence btu18000 tena ya Dual inverter Aloo ac ni kama V8 anytime lazima umeme uwe full namaanisha ac ni jini la umeme sio mchezo

Kwa siku inaweza Kula umeme hata wa sh 5000 yani inaweza Meza unit 15 per day

Ushauri Wangu ni kwamba kama Una Hela ya kuunga unga usinunue ac utaacha imezimika sio mchezo ile ni jini umeme

Kama ntakuwa labda kuna tatizo masi mafundi mnieleweshe
Ulikurupuka! U just need a 9000 BTU
 
AC yako itakua na shida si bure, mie naweka umeme wa 50k na AC huwa nawasha pamoja natumia taa na pasi na tv, kuchaji simu na ninatoboa mwezi, sasa wewe 5000 kwa siku duh
 
AC yako itakua na shida si bure, mie naweka umeme wa 50k na AC huwa nawasha pamoja natumia taa na pasi na tv, kuchaji simu na ninatoboa mwezi, sasa wewe 5000 kwa siku duh
 
Kaka mimi binafsi nimefunga bt 18000 kama ww chumbani umeme wa 5000 kwa siku ,mwanzo kabla ya Ac nilikuwa natumia umeme wa 10,000 siku 5 ,Ila saiv ni siku mbili ,Pia ukitaka ipunguze kula Usiweke nyuzi joto 18 compresa itazunguka bila kusimama ,mfano usiku kama hali ya hewa nzuri weka 30 itakuwa compresa inawaka muda mchache sana na kuzima ,au ukiona bado hupati weka 27 tu ,na ukizoea hii kitu aisee huwezi lala bila kuweka mufindi
Joto 30 si bora uzime a.c, hizo zenye inverter wanasema zinawaka kilingana na setting ya twmlerature ambazo hazina inverter ndo compressor zinawaka full time
 
Joto 30 si bora uzime a.c, hizo zenye inverter wanasema zinawaka kilingana na setting ya twmlerature ambazo hazina inverter ndo compressor zinawaka full time
AC za inverter, compressor inabadili speed ya uzungukaji wa motor kule ndani kutegemea na joto uliloset ( low temp >> high speed )
non-inverter AC, zinazima na kuwasha compressor kupata lile joto, inafanya kazi kama pasi vile, ndiyo maana zinakula umeme, compressor(chombo chochote chenye motor ndani) inapowaka pale mwanzoni inavuta umeme mwingi
 
Joto 30 si bora uzime a.c, hizo zenye inverter wanasema zinawaka kilingana na setting ya twmlerature ambazo hazina inverter ndo compressor zinawaka full time
Kiongozi hiyo 30 inasaidia sana maana tunalala na mtoto ,compresa inazinguka inajizima kwetu naona kwa usiku inanifaaa sana maana nikiweka hata 27 baridi likakuwa kali sana maana chumba pia si kikubwa sana ila nimefunga bt 18000

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kiongozi hiyo 30 inasaidia sana maana tunalala na mtoto ,compresa inazinguka inajizima kwetu naona kwa usiku inanifaaa sana maana nikiweka hata 27 baridi likakuwa kali sana maana chumba pia si kikubwa sana ila nimefunga bt 18000

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Normal temperature ya Dar ni 29-31 sasa kwann uwashe ac alafu useti 30. Si bora kuizima tu
 
Back
Top Bottom