Usijiloge ukafunga Ac kama huna hela utaiuza

Usijiloge ukafunga Ac kama huna hela utaiuza

Mkuu bora umenichana mapema, nilikuwa nafikiria kipindi cha kiangazi kikianza nikanunue AC Dual inverter kulikabili joto linalokuwa huku ninapoishi, kumbe nitakuwa nimejiroga. Ipi nafuu sasa?
Alafu nimesikia kuna mobile AC's yaani ukitaka kuihamishia sitting room au bed room zipo. Ushapata details zake mkuu?
Hizo znaitwa air cooler bei yake ni around 200k mpka 400k kwa mpya hazili sana umeme
 
AC za split type ndiyo ziko vyema kwa matumizi ya home, izi portable zinatoa ubaridi ukiwa karibu nayo na mbaya zaidi inabidi uache wazi sehem chache haitaki chumba kiwe completely sealed
Mkuu nipe somo kidogo kuhusu hizo split type maana nahitaji moja tu ya room. Wengine hatuna uwelewa wa juu kuhusu AC. Thanks in advance
 
Back
Top Bottom