fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,690
- 24,013
Haya matani sasaš¤£Sasa unaweka ac ya nini wakati fridge unayo? Washa fridge acha mlango wazi ule upepo.
Oh kumbe mtani wa taifaš
Haya matani sasaš¤£Sasa unaweka ac ya nini wakati fridge unayo? Washa fridge acha mlango wazi ule upepo.
split type ni kama aliyofunga mtoa mada ile inakuwa na indoor/outdoor unitsMkuu nipe somo kidogo kuhusu hizo split type maana nahitaji moja tu ya room. Wengine hatuna uwelewa wa juu kuhusu AC. Thanks in advance
Oh kumbe ndio hizo za in/out door units. Sasa hizi si ndizo zinazofungwa majumbani au kuna za aina nyingine?split type ni kama aliyofunga mtoa mada ile inakuwa na indoor/outdoor units
kuna central AC pia mfuko wako tuOh kumbe ndio hizo za in/out door units. Sasa hizi si ndizo zinazofungwa majumbani au kuna za aina nyingine?
Dah maisha haya mkuu wew acha tu, mim juzi na jana nimezima taa za nje nimeona zinamalizza umeme tuUsipokuwa na hela hata tv utaona inamaliza umeme!




AC za sasa hivi zinazima automatic na kujiwasha muda fulani joto uliloset likiwa limefikiwa ni kama fridge tuu sema mimi nawaamini sana LG/Sumsung huko kwingine mimi ni mgeni kidogo...wasingeweka kwenye Lodge hizi kama gharama ni hiyo mkuu fanya waje wataqlamu wakurekebishie..
Tanesco watapita na hiiiLodge sio wa kutolea mfano baadhi yao wanachakachua balaa umeme unaotumika kwenye maAC haupiti kwenye mita
Dah maisha haya mkuu wew acha tu, mim juzi na jana nimezima taa za nje nimeona zinamalizza umeme tu![]()


ndo hivyo unakuwa unamind mbona units zinaisha haraka hivi, mpaka unaona TANESCO wanakuibia, unadhani ukiweka umeme hata wa laki utawaza hizo habari!Mbona mambo ya kawaida sana, nachofahamu ukifunga A/C ni kwamba unaweza kuzimudu kwenye upande wa uendeshajiUkiona mtu kafunga ac 3 kwenye nyumba moja na zote zina nguruma ujue huyo ana hela..
Asante kwa ushauri.kuna central AC pia mfumo wako tu
sema nini funga split, izo portable utapoteza pesa
Sidhani kama kweli nia yake ndiyo hiyo, maana hatujuani physical, hata akitaka kutujaza anayo haina maana.Inawezekana anatujuza kuwa nae anayo
Umeme wa ekfu 5 kwa mwezi ni laki unusu , hii nayo huwezi ?Nimeyatimbanimechukua ac ya hisence btu18000 tena ya Dual inverter Aloo ac ni kama V8 anytime lazima umeme uwe full namaanisha ac ni jini la umeme sio mchezo
Kwa siku inaweza Kula umeme hata wa sh 5000yani inaweza Meza unit 15 per day
Ushauri Wangu ni kwamba kama Una Hela ya kuunga unga usinunue ac utaacha imezimika sio mchezo ile ni jini umeme
Kama ntakuwa labda kuna tatizo masi mafundi mnieleweshe