Usijaribu kumfuatilia Mwanamke!

Usijaribu kumfuatilia Mwanamke!

mahari nimemlipia.... simu namnunulia kila mwaka mpya... vocha namwekea..... nimemtoa kwao na kumleta kwangu.... lazima nimjue undani wake.... nitafuatilia nyendo zake zote..... sitishwi na kinyago nlichochonga!
Jamaa anaonekana ni mwanaume wa dar, alaf roho nyepesi sana. Yaaan mtu wako , unajua kabisa amebadilika kitabia alaf unaogopa kuchunguza
 
hivi huwa mnapata wapi guts za kuwachunguza wake zenu??
atleast yule anayemcare mkewe .mtu humjali mkeo/mwanamke wako alafu kuuutwaa kumfatilia!!!! shame upon U!
Yaa mtakUfa siku si 'ZENYU'
Mbitiyaza kama umezaliwa na roho nyepesi ndio utakufa mapema. Lakin wapo waliozaliwa na uwezo wa kubeba matukio mazito, yaan fearless. Wapo.

Si wote wenye roho nyepesi za kufa mapema
 
Mbitiyaza kama umezaliwa na roho nyepesi ndio utakufa mapema. Lakin wapo waliozaliwa na uwezo wa kubeba matukio mazito, yaan fearless. Wapo.

Si wote wenye roho nyepesi za kufa mapema


basi km ni hvyo here we go ... chunguza
 
Nusura niue siku moja. Wife alisema yupo Tegeta kwa shangazi yake kuna mtu akanishtua yupo na jamaa Mkuki House. Aisee ule mkong'oto sijawah kupiga hata jambazi

hahhaa alaf hujui tu saikolojia za wanawake !adhab kubwa ilikua usimpige !we mchukue ondoka naye !yaan hapo atafanya tena na tena....
 
Mmmh wengine tuna wivu mbaya balaa bora nisimchunguze maana ntakufa mapema....
 
Bob ule mkong'oto alikua anaongea na ndugu zake anasema "huyu jamaa ni muuaji, nimepona kwa nguvu za Mungu"
Aloo umefanya powa sana. Nadhan kichwan kwake sasa anajua ww si mtu wa mchezo, akirudia unang'oa kichwa kabisa. Atakuwa kanyooka sasa hiv
 
Nusura niue siku moja. Wife alisema yupo Tegeta kwa shangazi yake kuna mtu akanishtua yupo na jamaa Mkuki House. Aisee ule mkong'oto sijawah kupiga hata jambazi
Ulipomuhoji alisemaje??? Hahaa!!! Haukuua kweli maana mi huwa sioni mahala pa kumpiga mwanamke naona kama ntaua hivi,unajua mwanamke kufa rahisi sana
 
Back
Top Bottom