Usijaribu kumfuatilia Mwanamke!

Usijaribu kumfuatilia Mwanamke!

Nakusihi kijana Mwenzangu na Mwanaume Mwenzangu, usije ukathubutu kumfuatilia Mwanamke kwa kumpima ni kwa kiasi gani yeye ni mwaminifu kwako.

Acha ibaki tu kuwa ni wa kwako kwa kuwa Uko nae na akiwa mbali na wewe sio wa kwako maana haya mambo ya kumfuatilia nyendo Zake yanaweza yakakufanya ukachukua maamuzi Magumu na ikakugharimu.

Huo ni ushauri wangu kwako, mimi yamenikuta.
Ukiona panafuka moshi…
 
Huo sio uanaume, yaani uache kumfatili kwa sababu gani? Maana yake uwe radhi kula na wenzako eti kisa unaogopa kuachana au kufumani, au kuumia moyo,

Huo ndio ubwege kabisa,
 
Nakusihi kijana Mwenzangu na Mwanaume Mwenzangu, usije ukathubutu kumfuatilia Mwanamke kwa kumpima ni kwa kiasi gani yeye ni mwaminifu kwako.

Acha ibaki tu kuwa ni wa kwako kwa kuwa Uko nae na akiwa mbali na wewe sio wa kwako maana haya mambo ya kumfuatilia nyendo Zake yanaweza yakakufanya ukachukua maamuzi Magumu na ikakugharimu.

Huo ni ushauri wangu kwako, mimi yamenikuta.


Enheee, tupe kisanga kizima....ilikuwaje? Je, kabla ya kusalitiwa ulikuwa unamtimizia kila kitu, gegedo lilikuwa la kuridhisha, je ulikuwa unashabikia sana bongo fleva na taarab na kumsahau yeye? Tujulisha mkuu, usione haibu.
 
Nakusihi kijana Mwenzangu na Mwanaume Mwenzangu, usije ukathubutu kumfuatilia Mwanamke kwa kumpima ni kwa kiasi gani yeye ni mwaminifu kwako.

Acha ibaki tu kuwa ni wa kwako kwa kuwa Uko nae na akiwa mbali na wewe sio wa kwako maana haya mambo ya kumfuatilia nyendo Zake yanaweza yakakufanya ukachukua maamuzi Magumu na ikakugharimu.

Huo ni ushauri wangu kwako, mimi yamenikuta.
Mkuu ni hao wanawake mnaowaokotaga huko? pole sana aisee...
Mke hutoka kwa Mungu mkuu lolote baya litakalotokea Mungu atakufunulia...
 
Nakusihi kijana Mwenzangu na Mwanaume Mwenzangu, usije ukathubutu kumfuatilia Mwanamke kwa kumpima ni kwa kiasi gani yeye ni mwaminifu kwako.

Acha ibaki tu kuwa ni wa kwako kwa kuwa Uko nae na akiwa mbali na wewe sio wa kwako maana haya mambo ya kumfuatilia nyendo Zake yanaweza yakakufanya ukachukua maamuzi Magumu na ikakugharimu.

Huo ni ushauri wangu kwako, mimi yamenikuta.
anachunguzwa vizuri tu,,,wanaogopa kuchunguza ndo wale wanaojitapa kwa watu kua ana mpenzi mzur mwaminifu,,kumbe mtu unaemwambia ametoka kujipigia jana,,,,chunguza tu kama takataka piga chini okota mwingne
 
Nakusihi kijana Mwenzangu na Mwanaume Mwenzangu, usije ukathubutu kumfuatilia Mwanamke kwa kumpima ni kwa kiasi gani yeye ni mwaminifu kwako.

Acha ibaki tu kuwa ni wa kwako kwa kuwa Uko nae na akiwa mbali na wewe sio wa kwako maana haya mambo ya kumfuatilia nyendo Zake yanaweza yakakufanya ukachukua maamuzi Magumu na ikakugharimu.

Huo ni ushauri wangu kwako, mimi yamenikuta.
Kwa hiyo hata kabla hujamuoa ulikua hujamchunguza?
Rubbish...
 
Kwa maana hiyo unaishi na wasiwasi na mtu? Kiroho kipo juu? duu shida zote za nini hizo? si kujitaftia kifo huko na kuishi maisha ya mataaibiko maisha yako yote?
Bora ukae mwenyewe na wadau wako maisha yasonge kwa amani...

Mzee kitu huwa kinachambuliwa kimoja baada ya kimoja ndipo maamuzi yanafanyika... kwa kumshirikisha na Mungu pia maana binadamu wanabadilika kila uchwao...
 
Bob ule mkong'oto alikua anaongea na ndugu zake anasema "huyu jamaa ni muuaji, nimepona kwa nguvu za Mungu"
Next time usipige hivyo mkuu, utakuja kuua upate murder case bure ufie gerezani
 
Daah hawa viumbe hawaeleweki kabisa mimi nishashindwa kuwaini kabisi sikuizi ni bora liende tu , maana wengi wanagegedwa kirahisi mnoo , hahaha nimecheka ulivyosema alienda kwasababu anadaiwa katoa sababu ya kijinga mnoo
 
mahari nimemlipia.... simu namnunulia kila mwaka mpya... vocha namwekea..... nimemtoa kwao na kumleta kwangu.... lazima nimjue undani wake.... nitafuatilia nyendo zake zote..... sitishwi na kinyago nlichochonga!
Dadek utakufa mapema mkuuu
 
Siwezi mchunguza Demu wangu aisee... Maana HAKUNA DEMU MWENYE MPENZI MMOJAA...HAYUPOOO...!! Ilaa kama ni Mke wangu... Aiseee ntkufatiliaa na kukuchunguzaa 100000%...
 
mahari nimemlipia.... simu namnunulia kila mwaka mpya... vocha namwekea..... nimemtoa kwao na kumleta kwangu.... lazima nimjue undani wake.... nitafuatilia nyendo zake zote..... sitishwi na kinyago nlichochonga!
Noma sana Tarime man.
 
mahari nimemlipia.... simu namnunulia kila mwaka mpya... vocha namwekea..... nimemtoa kwao na kumleta kwangu.... lazima nimjue undani wake.... nitafuatilia nyendo zake zote..... sitishwi na kinyago nlichochonga!
Mfuatilie ila hakikisha una moyo mgumu.

Yakikukuta uvumilie.
 
Back
Top Bottom