Ukitaka kujua basi uwe na roho ngumu.Ni kheri ujue uchague kusuka au kunyoa
Ila kama shida ni uchumi hawezi mwambia
Kumfuatilia mwanamke ni kukosa kazi.
Utamfuatiliaje Mtu mzima mwenye akili zake na asiye na ukichaa?
Niache kufuatilia dili za pesa nimfuatilie mwanamke?
Mwanamke akitaka kuchepuka atachepuka tu hata ukimweka mfukoni kama Wallet na kutembea naye kila mahali.
AmenMwanamke mwema halindwi ila anajilinda mwenyewe
Umeokoka?Mkuu ni hao wanawake mnaowaokotaga huko? pole sana aisee...
Mke hutoka kwa Mungu mkuu lolote baya litakalotokea Mungu atakufunulia...
Hahaaa!!!! Ulikuwa umemuoa??Bob ule mkong'oto alikua anaongea na ndugu zake anasema "huyu jamaa ni muuaji, nimepona kwa nguvu za Mungu"
Nyie ndo mnajiuaga nyie na kuua wenginemahari nimemlipia.... simu namnunulia kila mwaka mpya... vocha namwekea..... nimemtoa kwao na kumleta kwangu.... lazima nimjue undani wake.... nitafuatilia nyendo zake zote..... sitishwi na kinyago nlichochonga!
Nijiue kwa nini? Wanawake wote waliojaa! Kwangu changamoto ni kuoa - mchakato wake mgumu sana.... kuacha nahitaji a single minute... like a mouse click!Nyie ndo mnajiuaga nyie na kuua wengine
Easier said than done...kaa unadhani kuachana ni rahisi u apotezaje mda wa kuchunguza unaoa nani?.Nijiue kwa nini? Wanawake wote waliojaa! Kwangu changamoto ni kuoa - mchakato wake mgumu sana.... kuacha nahitaji a single minute... like a mouse click!
Unachanganya mada... siwezi kufuatilia nyendo za mwanamke asie wangu...! Mke wng yuko ktk himaya yng, napaswa kujua mienendo yake...!Easier said than done...kaa unadhani kuachana ni rahisi u apotezaje mda wa kuchunguza unaoa nani?.
Mbona unajicontradict?.!
Ndio mkuu!Umeokoka?
Wataalamu wanasema beba mzigo unaoweza kuutua...Fuatilieni wake zenu nyie
Mtakuja kufa kwa magonjwa.
Fuatilia kwa usalama wako mwenyewe
EeehWataalamu wanasema beba mzigo unaoweza kuutua...
Kama huna uhuru wa kushika hata simu yake basi uko utumwani.