God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,068
Mkuu uanaume ni uwezo wa kuwa na kifua... ndio maana nimesema kama huwezi kushika hiyo simu basi usiowe huyo mwanamke maana siku ukisikia kakusaliti moja kwa moja utaingia kaburini.Eeeh
Na kama umeoa ila unaogopa kujua mjeo anafanya nn basi ndoa si yako.
Subiri ukue
Ni muhimu sana kuwa na vitu tunavyoweza kuvi control! ukimuacha mwanamke akupande kichwani andika maumivu.