Usijaribu kumfuatilia Mwanamke!

Usijaribu kumfuatilia Mwanamke!

Kumfuatilia ke ni kukosa kazi na kutojiamini

Sikuwahi kumfuatilia ila niliyoyajua yalinifanya nimshibe na ikapelekea kumdharau na kumtoa kabisa ktk mipango endelevu

Na hilo linamfanya aishi ndani ya nyumba bila thamani na imebaki juu yake abebe virago au abaki,
Nimevuta mwingine nae akuzingua nampunguza.......this is stress free world,ukijifanya unataka intimacy luv toka kwao jiandae kuzikwa,kwenda jela au kuishi ukimbizini kwa kakimbia RB
Maisha ni mafupi huna haja ya kuwafikiria sana hawa viumbe na wao wasitufikirie kihiivyo.....maana woote sisi ni wale wale
Mie humu ndani nacheka sana ila hawa jamaa wanaojifanya Ku care sana ndo wanaofuatilia wake zao lakini cha ajabu utasikia mwanamk anasema mumewangu mkali yaani yuko tayari kugongwa ila mpaka awe na uhakika wa mazingira
Mie huo mda sina na nipo kama sio na huwa namwambia Fanya yote nisijue tu lakini akumbuke arobaini huwa zinafika
 
Kama 'NAMPENDA'na yeye ananipenda inatosha sion haja ya kumchunguza kupita kiasi...
Simu yake ikiita ama kuingia sms siigusi zaid ya kumwita kama yuko mbali itaita mpaka itakata!!!!

Awe smart kiakili tu hata kama yuko na mambo yake afanye huko mbali nisijue narudia tena nisijue na heshima isishuke!!!
 
mahari nimemlipia.... simu namnunulia kila mwaka mpya... vocha namwekea..... nimemtoa kwao na kumleta kwangu.... lazima nimjue undani wake.... nitafuatilia nyendo zake zote..... sitishwi na kinyago nlichochonga!
Ha ha ha wewe ndo ulie mzaa acha kuongea machicha brow wewe huwezi mchunga binadamu alie kuzaa kama una jeuri kata K yake uwe unaiweka nyumbani unaacha kufanya kazi za maendeleo unamfuatia mkeo kisa mahari huu upuuzi kasimulie form one wenzio tena inaonyesha wewe unapigiwa hapo hapo akienda uwani au kichochoroni na kama hajaanza anakusoma tuu hakuna kitu mwanamke anachokichukia kama akigundua unamfuatlia kiboya ka wewe
 
Nakusihi kijana Mwenzangu na Mwanaume Mwenzangu, usije ukathubutu kumfuatilia Mwanamke kwa kumpima ni kwa kiasi gani yeye ni mwaminifu kwako.

Acha ibaki tu kuwa ni wa kwako kwa kuwa Uko nae na akiwa mbali na wewe sio wa kwako maana haya mambo ya kumfuatilia nyendo Zake yanaweza yakakufanya ukachukua maamuzi Magumu na ikakugharimu.

Huo ni ushauri wangu kwako, mimi yamenikuta.
Mkuu utaletewa HIV bila kujua,kama ni mkeo lazima ujue tabia zake na hakuna mwenye jukumu hilo zaid yako. Kwa wazazi wake alishatoka,jukumu lipo juu yako kwa sasa
 
mahari nimemlipia.... simu namnunulia kila mwaka mpya... vocha namwekea..... nimemtoa kwao na kumleta kwangu.... lazima nimjue undani wake.... nitafuatilia nyendo zake zote..... sitishwi na kinyago nlichochonga!
agiza nyagi ntalipa
 
Nikweri babu, yaaan hata leo2 imetokea kwangu. Nashika sm YAKE nakuta SMS ya kwamba, MPENZI NATEGEMEA TENA KESHO UTANIPATIA MAPENZ MATAM KAMA YA SIKU ILE , kwa kweri nilichoka mwili na loho, yaaan mwanamuke muache aitwe mwanamuke , sitarudia ten
 
Krait, ukishamfuatilia mke wako ni sawa na kumlinda kwani ukisikia anapita njia mbaya utaingilia Kati,hapo unamlinda
 
Ujumbe wako inabidi iandikwe kwa wino wa dhahabu hakika Umesema kweli, tangia nilivo anza kumfatilia nahisi upendo wangu kwake unazidi kupungua kila kukicha najuta Kwanini nilimchunguza
Aisee ukomage kutufuatilia ujue sisi sio wa mchezomchezo
 
Ha ha ha wewe ndo ulie mzaa acha kuongea machicha brow wewe huwezi mchunga binadamu alie kuzaa kama una jeuri kata K yake uwe unaiweka nyumbani unaacha kufanya kazi za maendeleo unamfuatia mkeo kisa mahari huu upuuzi kasimulie form one wenzio tena inaonyesha wewe unapigiwa hapo hapo akienda uwani au kichochoroni na kama hajaanza anakusoma tuu hakuna kitu mwanamke anachokichukia kama akigundua unamfuatlia kiboya ka wewe
Hiyo simu hata aifanye nini tabia ni tabia tu na tabia nikama ngozi hao wafuatiliaji wazuri ndiyo wake zao wagawaji wazuri acha siye utunawachora tu
 
Mkuu utaletewa HIV bila kujua,kama ni mkeo lazima ujue tabia zake na hakuna mwenye jukumu hilo zaid yako. Kwa wazazi wake alishatoka,jukumu lipo juu yako kwa sasa
Je hiyo HIV ukiieleta wewe mkeo akufanye nini!
 
Nikweri babu, yaaan hata leo2 imetokea kwangu. Nashika sm YAKE nakuta SMS ya kwamba, MPENZI NATEGEMEA TENA KESHO UTANIPATIA MAPENZ MATAM KAMA YA SIKU ILE , kwa kweri nilichoka mwili na loho, yaaan mwanamuke muache aitwe mwanamuke , sitarudia ten
Pole mkuu ni katabia tu kamtu jamani
 
Nakusihi kijana Mwenzangu na Mwanaume Mwenzangu, usije ukathubutu kumfuatilia Mwanamke kwa kumpima ni kwa kiasi gani yeye ni mwaminifu kwako.

Acha ibaki tu kuwa ni wa kwako kwa kuwa Uko nae na akiwa mbali na wewe sio wa kwako maana haya mambo ya kumfuatilia nyendo Zake yanaweza yakakufanya ukachukua maamuzi Magumu na ikakugharimu.

Huo ni ushauri wangu kwako, mimi yamenikuta.
Pole sana mkuu. Hebu elezea zaidi kipi kimekusibu japo tupate mwanga.
 
mahari nimemlipia.... simu namnunulia kila mwaka mpya... vocha namwekea..... nimemtoa kwao na kumleta kwangu.... lazima nimjue undani wake.... nitafuatilia nyendo zake zote..... sitishwi na kinyago nlichochonga!
Hahahahahahaha jamani wanaume wa JF mna mambo
 
Back
Top Bottom