Usiende Dar kama hauna ramani ya uhakika

Usiende Dar kama hauna ramani ya uhakika

Ramani za uhakika zinapatkn dar kikubw nikunyumbulika

Dar unawez fk huna chochote ila ukapata kpato

Mkoan ni ngumu kias
 
Dar es salaam ndio kuna michongo mingi na ya maana japo competition ni kubwa ila fursa zipo nyingi sana za kutosha , Tofauti na mikoani. Mikoani kuna baadhi ya vitu hata watu kukuelewa tu hawakuelewi..

Wee fikiria tu mtu aliyepo mkoani ili aridhike kuwa amenunua kitu ni lazima kitokee dar, Mfano kitu kama gari, Hata kama ni la mkononi, likitoka dar ndio anaridhika.

Vijana wacheni uwoga na kushawishiana ujinga bado fursa nyingi zipo dar ila sio lazima kukaa hapahapa Dar maana kwa sasa dunia ni kijiji, so unaweza ukawa zako huko kijijini kwenu na ukakamilisha mambo kibao ukiwa hukohuko tena mambo ya huku dar.
 
Izi story za mawinga mnadanganywa sana wengi wana njaa tu
Sio mawinga tu. Ajira zisizo rasmi zote ambazo zimebeba asilimia kubwa ya vijana mfano bodaboda, machinga, baamedi n.k wengi njaa kali kidogo izo za kike kama baamedi na wasaidizi wa mama lishe wanajiongeza kwa kufanya ukahaba.
 
Kuna ile hasira unakua nayo ukiwa huna hela! Ndo kinachomtesa mwamba
Naona kisu kimepiga kwenye mfupa. Meacha kushambulia hoja mnamshambulia mtoa hoja. Jikite kwenye hoja mkuu kipi nilichopotosha, ni uongo kwamba vijana hapo dar wana hali ngumu ila wana-fake maisha? ni uongo kwamba watoto wa kike wameufanya ukahaba kuwa ajira hapo dar?
 
Ndio maana nikasema pambana kwenye mji uliouzoea ukikwama ni rahisi kurudisha mpora kwa kipa na kujipanga upya kama ukiamua kwenda mbali uwe na mpango madhubuti ujue unafikia wapi ujue unaanza na kazi gani itakua vzr pia uwe na akiba kidogo mambo yakiwa sio mambo. Dar watu wanaishi ila ni percent ndogo sana ukilinganisha na wanaotaabika.
Nchi hii wanaoishi ni wachache sana. Huko mikoani napo kuna athari zake na mara nyingi pia ukijitafuta eneo ulipozaliwa ni ngumu kutoboa. Tofauti na ukienda ugenini maana hakuna kujuana kiasi aibu haipo
 
Kabisa mkuu wanaume tunanunua k.una hela uwez endesha mapenzi.
Huo ni kweli labda mmetofautiana strategies tu. Kuna wanaojiuza directly mitandaoni, kumbi za starehe, barabarani n.k na kuna wanaojiuza indirectly kupitia mahusiano ya kimapenzi wengine wanaingia mpaka kwenye ndoa ila target yao ni maokoto. Hata wewe mwanaume akikutongoza lazima uangalie msuli wake kiuchumi upo vipi kwa mategemeo ya kupata financial benefits hapo ni sawa tu na kujiuza indirectly
 
Ramani za uhakika zinapatkn dar kikubw nikunyumbulika

Dar unawez fk huna chochote ila ukapata kpato

Mkoan ni ngumu kias
Hizi story ndio zimesababisha wengi sasa hivi wanalala stendi za mabasi na watoto wa kike wanafumuliwa malinda ili wale na kupendeza hapo dar
 
Naona kisu kimepiga kwenye mfupa. Meacha kushambulia hoja mnamshambulia mtoa hoja. Jikite kwenye hoja mkuu kipi nilichopotosha, ni uongo kwamba vijana hapo dar wana hali ngumu ila wana-fake maisha? ni uongo kwamba watoto wa kike wameufanya ukahaba kuwa ajira hapo dar?
Ni ukweli mkuu
 
Back
Top Bottom