Sijaelewa.
ni kwamba yule mama hua nguo hazimtoi kiviiile ila baada ya kupata her best fit amekua kama mtu wa mbele vile..! she luks young au mzee unaonaje..?
luks = looks
waaasalaam waalaikhum FEIZA... ahsante bwana si unajua wengine tulianzia kuchat kwenye text za simu ndio maana kidogo mambo yetu bado yamekaa ki nokia za tochi kidogo ila yatabadilika tu dada angu..!
FEIZA= FAIZA
Hehehe,namsaidia kusahihisha b4 hajakuja mwenyewe
hajakuja=hajaja... Lolz
anamaanisha kwa sababu ya mavazi, mama kapendezaSijaelewa.