Usicheze na Mwanamke akiamua ameamua

Usicheze na Mwanamke akiamua ameamua

😂😂😂😂😂😂😂picha please!

Mkuu nimembembeleza sanaa
Sidhani kama atarudi. Hadi nimemlilia kwenye simu, yaani piga picha mwanaume mzima chozi linanitoka hahaha ila lile chozi lilikuwa la kinafki
 
Nilishatupa jongoo na mti wake Mkuu umebaki urafiki tu wa kawaida akiwa na shida zake namsaidia kwa roho ya kibinadamu tu.
Dah, mkuu mimi hata namba zake sina nimezifuta japo zipo kichwani.
Maana zikiwa kwenye simu yangu sometimes nikiwa lonely jajikuta tu nampigia matokeo yake hapokei naishia kuumia tu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu nimembembeleza sanaa
Sidhani kama atarudi. Hadi nimemlilia kwenye simu, yaani piga picha mwanaume mzima chozi linanitoka hahaha ila lile chozi lilikuwa la kinafki
mkuu hapo nadhani utakuwa umepata cha kujifunza.........am sure ukipata mwengine hutocheza na hisia zake
 
Inaumiza sana Mkuu.

Dah, mkuu mimi hata namba zake sina nimezifuta japo zipo kichwani.
Maana zikiwa kwenye simu yangu sometimes nikiwa lonely jajikuta tu nampigia matokeo yake hapokei naishia kuumia tu
 
mkuu hapo nadhani utakuwa umepata cha kujifunza.........am sure ukipata mwengine hutocheza na hisia zake
Kuna project moja hivi nayo imetulia na kichwani iko sawa ndo naisarandia... daah sema huwa wanakuwaga complicated sana mwanzoni kuchoshana na kusumbukiana na mademu ndo kitu kinanipaga shida sana, ila yaani nikishampata ntatulia nae nitamtunza na kumthamini, sitorudia huu umbulula.
 
Dah, mkuu mimi hata namba zake sina nimezifuta japo zipo kichwani.
Maana zikiwa kwenye simu yangu sometimes nikiwa lonely jajikuta tu nampigia matokeo yake hapokei naishia kuumia tu

Hasa sasa hivi unatoa wapi muda wa kumtafuta.....au pesa zimeshatosha?.....Kumbuka tu, kwenye maisha, muda unaonekana ni mdogo hautoshi, ni sisi wanadamu ndio tunatakiwa 'tutenge' muda....
 
Ilianza kama utani inapita siku mbili mara tatu mara wiki bila kunitafuta mmh nafsi ikaguna maana nilizoea kuona missed calls zako. Yaani siamini leo hii mm ndo nakutafuta hata simu yangu hupokei daah hata text hujibu duuh.
I like her style... No Drama. Unampiga mtu chini bila mikwala mbuzi akishtuka miezi miwili imepita.
Pole sana mkuu, hopefully utamuomba msamaha, nae atakusamehe
 
It is really painful,
Kuna kipindi aliniulizaga mbona haupokei simu zangu, nikawa namjibu mi niko bize sanaa, akaniambia hivi unaniona mm mpole sanaa eenh ndo mana unanifanyia hivii... haha mi nikaona kama ni masihara tu tunaongea duuh kumbe alikuwa serious
Kitu gani kilikufanya ujiaminishe kiasi hicho?
 
Mkuu nature ya kazi inanifanya nakuwa bize mda wote
Hata uwe busy Vipi, kama unampenda mtu utatenga muda Kwa ajili yake. Unataka kusema hata kula ulikua huli? Wanawake wanachohitaji sana ni attention tu wala sio pesa Kama wengi mnavyodhani.
 
Dada Khantwe naomba nisaidie yani moyo unaniuma hatari nikimkumbuka
Hivi leo asubuhi nimemkumbuka nimempigia simu imeita weeee bila kupokelewa.. nikaamua kumtumia text.."I hope you're fine, nilitaka kukusalimia tu" nayo pia kimyaaa hahaha daaah wakati zamani nikimpigia tu anapokea au akikutaga text alikuwa ni lazima anitafute
Daah...nimeanza kuwaheshimu from now

Sasa Hivi ndio una muda?🤣🤣🤣🤣pole kaka
 
Mkuu hata ile asubuhi unaenda kazini njiani kumtxt huwezi??? Ukiwa unarudi je?? sitaki kuamini kuwa muda wote unafikiria kazi.. Mwanaume yeyote ambae hawezi kumuacha mwanamke kwa kumuambia bhasi Nipo busy nitakutafua ndo njia rahisi.. Ila ukiwa na demu unamkubalii weee[emoji23][emoji23][emoji23] Utaibia hata kamuda ka lunch umtxt kiaina tuu..
Umesema kweli kabisa 100%
 
Pesa ni nzur lakini uwepo wa mtu kihisia,muda na kujal ni muhimu zaidi watu weng huchepuka 7bu ya hvyo vitu wanaume wanahisi pesa ndo kila kitu bt hvyo pia n vkubwa zaid ktk mahusiano unadate na mtu kazi kwake ndo kila kitu saa ngap nisichepuke mimi nkapata faraja na mahaba
 
Hata uwe busy Vipi, kama unampenda mtu utatenga muda Kwa ajili yake. Unataka kusema hata kula ulikua huli? Wanawake wanachohitaji sana ni attention tu wala sio pesa Kama wengi mnavyodhani.
Attention, affection, appreciation and communication
 
Pesa ni nzur lakini uwepo wa mtu kihisia,muda na kujal ni muhimu zaidi watu weng huchepuka 7bu ya hvyo vitu wanaume wanahisi pesa ndo kila kitu bt hvyo pia n vkubwa zaid ktk mahusiano unadate na mtu kazi kwake ndo kila kitu saa ngap nisichepuke mimi nkapata faraja na mahaba
Tatizo ni uoga wa maisha mkuu, mm kila nikiufkiria umaskini napatwa na wasiwasi najikuta napambana hadi mahusiano naweka kama kitu cha ziada
 
Back
Top Bottom