Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Nimejikuta najiuliza..kulikoni mawazo kama haya ninayosoma?
Kweli mawazo ni mengi..na hubadilika kila mara.....
Mimi hadi sasa nawaza kwanini hayo hapo juu yametawala fikra za watu?
WoS, Long time no see mbona umepotea ivo jamani?