USHUHUDA: Nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI

USHUHUDA: Nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI

Kondomu zipo lakini ni maamuzi ya mtu kufanya uzinzi,nishatongozwa na wasichana mara kadhaa ila wote niliamua kuwakatalia,dini zote pia zinakataa uzinzi,so nimejikubali na hali yangu tu na maisha yanasonga

Kwa hiyo mkuu katika kipindi chote hicho unatumia nini mpaka umeweza kukaa miaka yote hiyo mkuu.

Ni arv au nifafanulie kiongozi.

Hongera sana.
 
Back
Top Bottom