positive is normal
JF-Expert Member
- Dec 25, 2017
- 520
- 978
- Thread starter
- #441
mkuu samahani sijakuelewa,jamaa yupi?naomba mrejesho wa uyo jamaa uliyemtafuta kuhusu iyo dawa
mkuu samahani sijakuelewa,jamaa yupi?naomba mrejesho wa uyo jamaa uliyemtafuta kuhusu iyo dawa
positive is normal hii hapaHuyo mtu niliyekutana naye utaratibu wa tiba yake upo hivi,unatakiwa ukapime virus load hospitali km vile muhimbili,Lugalo,regency n.k baada ya hapo unaanza tiba after 2 months unaenda kupima tena ili ujue wadudu kiasi gani wamekufa then unamalizia tiba. Baada ya hapo ukimaliza tiba wadudu wamekufa wrote na unakuwa negative.
hii hapaNaweza kuonana nae
hii hapa
Vipi mkuu una mahusiano???Mkuu, UKIMWI hauna dawa, wajanja wanatumia ugonjwa huu kupiga pesa, UKIMWI kwa sasa dawa yake bado haijapatikana
VizuriMkuu, UKIMWI hauna dawa, wajanja wanatumia ugonjwa huu kupiga pesa, UKIMWI kwa sasa dawa yake bado haijapatikana
kwa sasa sina mahusiano mkuuVipi mkuu una mahusiano???
Mkuu,
Endelea kufungiwa akili yako ndani ya boksi na wazungu ila wenzio wanapona.
UKIMWI hauna dawa, wajanja wanatumia ugonjwa huu kupiga pesa, UKIMWI kwa sasa dawa yake bado haijapatikana
Swali mmh!mkuu,unaweza kunithibitishia mtu aliyepona ukimwi kwa hizo dawa unazosema, ina dunia nzima wamefungwa akili ila wewe ndio umefunguliwa?
Usijali mkuu, KariiibuPole sana mkuu nothing to loose,NATAKA UWE RAFIKI YANGU!
Hongera sana mkuuPole san kamanda mimi leo kijasho kimenitoka wakati napima jaman ngoja nianze kujilindaView attachment 1037130
Sent using Jamii Forums mobile app
Brother mwenyezi mungu azidi kukupa afya njema wewe ni jasiri na shujaaHabari wakuu,
Natumaini mko poa na Christmas na hata kama uchumi hauko sawa yapaswa kushukuru MUNGU maana kikubwa ni uzima na afya tu.
Dhumuni la uzi huu ni kuwapa moyo wale wote wanaoishi na Virusi vya UKIMWI wajione kama watu wa kawaida na kuwa na virusi vya UKIMWI sio mwisho wa maisha.
Mimi ni kijana jinsia ya kiume, nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI miaka 24 iliyopita na mpaka leo niko mzima wa afya na ukiniangalia kwa macho hutofikiria kama naishi na Virusi.
Waathirika wote msikate tamaa na wala msihuzunike, kila kitu kinatokea kwa sababu fulani.
Natanguliza shukrani kwenu na muwe na Christmas njema.
Mwenye maswali au maoni nitamjibu hapa hapa