Jeremia Lucas
Member
- Nov 15, 2017
- 8
- 2
Amen
Nimeshayajibu yote hayo katika comments zilizopitaNimekaa nimewaza.
Some girl somewhere amekufa ameoza kwako wewe.....
How would you go about it? Have you ever been in love?
Sawa mkuu.Nitajaribu mkuu
AmenShukrani sana mkuu,ubarikiwe
Ahsante mkuu kwa ushauri,sijawahi kula nyama ya kangaroo, ubarikiwe kwa ushauri mkuuMungu azidi kukupa nguvu.Lakini "nyama ya kangaroo" unakula mara moja moja?Kuwa makini nayo,ukijisikia kuwa na hamu nayo hakikisha inapimwa TFDA kwani wanasema mtu aliyeathirika anaweza kupata virus vingine kwenye hiyo nyama(ikitokea nayo ikawa na virus) na kumletea madhara zaidi
Upo sahihi kabisa mkuu,ubarikiwe sanatuna mengi ya kujifunza kwenye huu uzi. very few threads huwa nasoma comment by comment but this is one of them, simply because hata sisi ni waathirika wa kesho iwe kwa bahati mbaya au any other method... but most importantly inawezekana tuna ndg, jamaa au rafiki ambaye ni HIV +
Yeah naamini hivyo mkuu,ubarikiwe sanaVizuri sana kijana basi jambo moja muhimu.kwa umri huo utakuwa na harakati nyingi za wasichana jitahidi tu kuwalinda najua kikawaida hawawezi hata kukuhisi. Keep strong cure inakuja soon.
Huyo mtu niliyekutana naye utaratibu wa tiba yake upo hivi,unatakiwa ukapime virus load hospitali km vile muhimbili,Lugalo,regency n.k baada ya hapo unaanza tiba after 2 months unaenda kupima tena ili ujue wadudu kiasi gani wamekufa then unamalizia tiba. Baada ya hapo ukimaliza tiba wadudu wamekufa wrote na unakuwa negative.Sema hapa kwa faida ya wote mkuu
Naweza kuonana naeHuyo mtu niliyekutana naye utaratibu wa tiba yake upo hivi,unatakiwa ukapime virus load hospitali km vile muhimbili,Lugalo,regency n.k baada ya hapo unaanza tiba after 2 months unaenda kupima tena ili ujue wadudu kiasi gani wamekufa then unamalizia tiba. Baada ya hapo ukimaliza tiba wadudu wamekufa wrote na unakuwa negative.
Mpenzi sina ila natarajia kuwa nae siku za mbeleniMkuu huna mapenzi? Na vipi hutarajii kuwa na mpenzi?
Mkuu wa kapicha kakiwa ka kugushi utaaminitupia kapicha bas
Big up gentle man i liked you confidenceSijawahi kuzini na msichana yoyote yule ,nimewahi kutongozwa mara kadhaa ila niliamua kukataa si vyema kuusambaza ugonjwa huu naamini dawa ya ukimwi ipo siku itapatikana
Mkuu upo WhatsApp?Hongera sana mkuu kwa ujasiri. Naweza kupata namba yako PM.
Ahsante mkuuBig up gentle man i liked you confidence
YeahMkuu upo WhatsApp?