positive is normal
JF-Expert Member
- Dec 25, 2017
- 520
- 978
- Thread starter
- #321
Kuhusu baba nilishajibu na kwenye post za nyuma na sitojibu tena so pitia kurasa za nyuma utapata majibu,kuhusu gharama ya chakula maximum 10000,minimum 6000 kama nitapika mwenyewe gharama inaweza kushuka kwa sababu kila kitu kipo ndani kuanzia unga,mchele,mafuta,sukari,mayai mpaka vitunguu vyote vipo ndaniUmekuwa ukiishi na baba mzazi. Na jee?! gharama ya chakula kwako ikoje kwa siku, Maana mlo kamili ni changamoto kwa asiekuwa na kipato