positive is normal
JF-Expert Member
- Dec 25, 2017
- 520
- 978
- Thread starter
- #181
NimekupmYeah
NimekupmYeah
Nakumbuka ilikua mwaka 2009 nilikuwa nijiaanda kuanza kidato cha kwanza,nilimaliza darasa la saba mwaka 2008Asee honger san mkuu..ningetamn kujua siku unayotambua kwamba umezaliw na HIV ulkua umri gan na ulijisikiaj
Ubarikiwe sana
Ni vya kawaida tuSamahani Mkuu Hivo Vipele Vinafananaje
yaani hapa ndipo ulipoanza kujiletea matatizo mkuu {arv siyo}Usijali mkuu,sikuwahi kutumia Arv miaka ya nyuma,Arv nimeanza kutumia mwaka jana tena baada ya kulazimishwa sana na Daktari wangu ambaye ni rafiki yangu so kuanzia mwaka jana mwezi wa tisa ndio nimeanza kutumia ARV
Kwa nini mkuu?yaani hapa ndipo ulipoanza kujiletea matatizo mkuu {arv siyo}
Ha ha ha ha umefanya nicheke mkuu,one day miaka ya mbeleni nitafanya hata kipindi kwenye television ili kuwapa moyo wengine,leo nimeanza hapa siku nyingine nitaenda facebook hadi Instagramumefariji, umefundisha na kuonya kwa wale wote wasioamini kuna ukimwi, wote wenye kujisifu kuwa wanajua kugegeda na hasa kwa dada zetu ambao siku hizi wanasema watu wana vibamia sasa mkisoma huu uzi vzr ndo mtajua hayo mamihogo mnayoyadai mwisho wake ni nini
asante kwa somo zuri kiongozi kwa sababu mwenyewe nilikuwa na minyege kibao lakini baada ya kusoma huu uzi hata sijui zimeishia wapi
jipange kwanza aisee manake binadam ni mbaguzi wa hali ya juu sana hapa duniani wataanza yule kaathirika mara mfupi, mara mweusi, ohoo mrefu sana, ooho masikini ili mradi wapate la kusemaHa ha ha ha umefanya nicheke mkuu,one day miaka ya mbeleni nitafanya hata kipindi kwenye television ili kuwapa moyo wengine,leo nimeanza hapa siku nyingine nitaenda facebook hadi Instagram
Ha ha ha ha Tanzania Elimu kuhusu ukimwi iongezwe zaidi hususani vijijini nadhani itapunguza unyanyapaajipange kwanza aisee manake binadam ni mbaguzi wa hali ya juu sana hapa duniani wataanza yule kaathirika mara mfupi, mara mweusi, ohoo mrefu sana, ooho masikini ili mradi wapate la kusema
Siyo ya kubahatisha ipo ya uhakika kwa uwezo wa mungu unapona.Hongera sana mkuu kwa ujasiri. Ila dawa ya kutibu kbs itapatikana soon mwaka ujao.. Ingawa hadi sasa ipo ya kienyeji lkn ni ya kubahatisha sana
Mkuu una undugu na Lissu antipas TunduKwamba ushapatwa na wivu kiasi icho?jikaze we mtt wa kiume bna
Unapoambukizwa ukimwi,virusi vinaanza kuonekana baada ya miezi mitatuJe? Kwamfano umefanya mapenzi leo Na mtu mwenye HIV ukakuambukiza alafu kesho ukafanya namtu mwingine asie na virusi je kunauwezekano wayule ukamwambukiza HIV...?????
Ahsante mkuuHongera Kwa Kujitunza Kwa Kutokuzini Cha Msingi Ogopa Dhambi Na Heshimu Mwili Wako Kama Hekalu La Roho Mtakatifu ,,
Ushawah kuwa kwenye mahusiano lakiniSijaoa na wala sina girlfriend