USHUHUDA: Nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI

USHUHUDA: Nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI

Ndugu positive samahani kwani wewe ni wa kipato kipii!!?

1 cha juu
2 cha kati
3 cha chini
4 Duni
5 Fukara

Naomba kukijua tu mkuu, ila hongera sana.
 
Huu Uzi ukiusoma na ukaupitia vizuri halafu ukaperuzi na Uzi wa Deception kuna kitu nimejifunza....
 
Cd4 kushuka inasababishwa na vitu vingi baadhi ni kupata milo duni,kufanya ngono zembe,kuwa na msongo wa mawazo(stress)na kutotumia dawa za Arv
Kwa upande wangu kuanzia mwaka jana nilianza kuishi mwenyewe hivyo nikawa nakosa mlo kamili uliojitosheleza ukijumlisha na kutotumia Arv ni lazima Cd zishuke mkuu ila nashukuru sasa zimepanda kwa kiasi kikubwa mno na ninazingatia mlo kamili hata iweje bora nikose vyote lakini sio kukosa milo mitatu yenye nguvu
Kiongozi unaposema milo 3 yenye nguvu unajumuisha nini na nini maana huku kwetu diet tuliozoea ni wali/maharage/njegere/nyama/etc
 
Mkuu kwani ndani ya wiki nne za kwanza baada ya maambukizi hutaona changez zozote?
 
miaka 24 hujawaigegeda , aisee, unamalizaje haja za mwili mkuu?
hujawai piga hata punye+to? ( mastabeshen )
 
Mkuu kwani ndani ya wiki nne za kwanza baada ya maambukizi hutaona changez zozote?
Hakuna mabadiliko kwa kifupi ukimwi ni ugonjwa wa kawaida tu ila kinawafanya watu wafe upesi ni msongo wa mawazo + ugumu maisha + milo duni = ?
 
Waliopata HIV bila sex , huwa wanapona au wakiwa nao hauwadhuru na kuwadhohofisha kama walioupata kwa SEXUAL
 
Back
Top Bottom