USHUHUDA: Dunia, uchawi umeniacha hoi. Mungu nikumbuke

USHUHUDA: Dunia, uchawi umeniacha hoi. Mungu nikumbuke

Wew tatizo ni mshamba na una kitu kinaitwa conservativeness ya jamii yako tushapiga parefu tembea jua familia yako unaleta showoff za kishamba hao wakina bakhresa wangerudi kwao kuwekeza mbona wako bongo

We ushapiga parefu una Maisha yako shobo za nn na kwenu watu wa karibu wabaya sana usiambiwe.

Mi tangu nipate matatizo kipindi fulani nilipokuwa chuo maana nilirudi home kufika nikawa sioni yaani macho nikapata upenyo kuja chuo tena nilikuja kwa ishu postpone nilikuja dar nikakaa siku tatu nikapona ghafla machale yakanicheza kule kuna tatizo sina asili sina ukabila nikaona kule hakunipendi japo ni kwetu sijarudi tena mpaka nilienda naishia lodge nakutana na mzee juu kwa juu nampa pesa nalisha familia kila nwezi mm nilishagundua michezo michafu sirudi labda maiti yangu ndo itarudi mbele kwa mbele

Watu ni wajinga sana wanachukia mafanikio ni mzee nilimchana nikamwambia hapo kwako sitafika ndugu zako wanga shenzi kabisa nilipofaulu tu anatangaza kila mtu anajua michongo nilishtua sikutaka zawadi wala kufanyiwa graduation wala sherehe tangu naanza nursery hizo zawadi watu wanaweka mauchawi yoa humu ndo maana hawaendelei ujinga tu
 
I wish ungejua nilipo , life and fate took a turn to the point I don't know what to believe , nimetravel Al Amin hospital ,UAE , shrathman kaalkalil medical centre ,Gujarat , Kenyatta hospital ,Nairobi ,Aga Khan university hospital ,Nairobi ,Mediheal medical centre -south Africa , in all nimefanyiwa advanced test by doctors mpaka nimecater for specialist walikuwa flown from the UK to Al Amin then nikiwa Dubai , ...Al tests show nothing is wrong ,when conducting the tests doctors waki wisper unaskia their shock , multiple test come back showing nothing ,CT scans nothing ,mpaka unnecessary X rays to no avail .
Hapa muhimbili ,2 doctors ambao names ntareserve all privately advised ,kuwa naariibu pesa ,tests show nothing ,whilst the noises coming from the stomach can be heard ward iliyombele na nyuma mpaka njiani ...
In my last attempt I paid for three Spanish specialist from south Africa waje dar ,the result was the same , test show that am healthy and nothing is wrong , ilhali sauti za tumbo na mishipa imeprotrude visibly to the naked eye ,they all claim they can't treat what they can't test , watarevokiwa license ...
Now coming back to your point on my beliefs ,if the very people trained ,with years of experience under their belt all attest to strange occurrences ,what can a mere advocate in unchartered waters of medicine do ???
Armed as an amicus with those set of facts I availed ,
Put yourself in my shoes ,what would you have me believe ????
Mim nakushaur nenda kwa kuhani Musa tena.nunua yale maji ya ugonjwa au mafuta ya ungonjwa kabla hayajaisha utatoa ushuuda.pia nunua maji ya kumwaga nje.
 
Ndani ya miaka miwili ya law firm lorry 10..apo ndo nikaacha kusoma muendelezo wa hii habari [emoji23]
 
Jf watu wanatunga story mbaya zaidi wachanguaji wanapata hisia Kali utafikili ni kweli 😅😅😅...!

Hizi ni story kama story nyingine tu ,hakuna uhalisia wowote ..

Sisi tupo live na maisha na sioni huo ujinga hapo juu unaousema aisee
 
Nawasalimu nyote wakuu na wadogo wenzangu. Kwa majina naitwa Benjamin mchopa, mzawa wa Kanda la Ziwa.

Post hii ni kwenu nyinyi niwape tahadhari hata upate funzo ila usipopata ni sawa, Mungu wetu sote.

Nlizaliwa mwaka wa 1992 na nlikuwa mwerevu mno toka darasa za chekechea, upili nlipita kwa alama za juu mno.

Nilifanikiwa kupata scholarship nikaenda kusomea Chuo Kikuu Cha Nairobi, Kenya uanasheria (LLB) nikahitimu first class, niliproceed LLM in energy law, Havard.

Nilirudi nyumbani bongo nikaanzisha law firm Dar na ilinawiri kweli, kufika ndani ya miaka miwili after kurudi nilikuwa na lorry zangu kumi though zilikuwa zinasafirisha mazao toka bongo Hadi soko za Githunguri, Kariakor(Nbi), Gikomba n.k hata mwembe tayari Mombasa Kenya. Yote haya nichangie kusaidia wakulima bongo jambo ambalo lilinipa furaha.

Nafasi miezi minane iliyopita kwa kuwa nili-pursue Energy law Masters na tupo wachache kwenye hili discipline bongo nikaangukia consultancy na Serikali viwanda vya gesi kwa niaba ya Serikali Kuu katika nyanja za Legal policy frameworks in mining, extraction na social development.

Ebanae baada ya mateso kusoma na shida nilipata fursa ya kuwasaidia wazazi wangu na ndugu zangu wawili wa kike, maisha yalikuwa sawa, pesa niliogelea nazo wangwana. Yaani benki nlikuwa napiga VIP sihitaji ATM.

Licha ya yote haya sikumdharau yeyote, niliheshimu kila mtu mpaka wazee kijijini waliishia kushangaa. Hela ndefu ila nipo mnyenyekevu kupitiliza.

Siwezi hesabu boma ngapi zilitaka nioe kwao, Ila kizazaa kilianza nilipoonyesha kwa mbali kuna Binti nilimpenda pale kijijini. Sikuwa nimefikia kutoa posa wala sikuwa nimekula hata mzigo.

Takriban miezi mitatu iliyopita mambo yangu yalianza kuyumba, kiafya mno mpaka kazini nikapewa off ya kilazima nikapate matibabu, kortini tena siwezi kwenda, yaani tumbo linanguruma utadhani fuso lapita .

Nikiwa hospitali yaani likinguruma mpaka kila mtu kimya, sauti tu ya radi vile, maumivu usiseme.

Nimezunguka Sauzi, Nairobi, Dubai hospitali nane nje hapa nchini ndo usiseme, millioni 276 so far imeliwa hivyo tu bila kusaidika

Wiki imepita lorry nne zimeanguka cha kushangaza dereva na mizigo haiaribiki ni gari tu laaribika beyond repair, yale mengine TRA, makesi ya kishenzi tu (hili najua sababu mie wakili, kesi hazina standing kabisa) zimezuka .

Dada anayenifuata aliposafiri Moshi kufuatilia kesi alipigwa na ajali ila gari wapo wanne ni yeye tu aliyeumia tena vibaya sana ,ila namshukuru Mungu anarecover .

Yaani nahisi nipo under attack, amani imesepa, sijui nigeukie wapi..

Wazee wa kikao(washkaji) wamekuja nicheki hospitali wanadai nachezewa na mtu kichawi, nimesoma Sana so Imani hizo sikuwa nazo lakini sasa naona kama lipo ukweli hapo kuhusu hilo. Yaani utajiri, afya, hata furaha kwa familia imepotea, bad news after another .

Nikivuta taswira sipati picha nilimkosea nani? Yaani mie na ugomvi ni njia panda zisizopatana, nimesomesha mpaka watoto wa majirani mjini na kijijini ilimradi wapenye nao, nimejenga mpaka madarasa ya shule niliyosomea kijijini ilimradi nisaidie jamii, kikuu nilijua hizi pesa nitakufa niziache, kwa hiyo kile Mungu alinipa nami nilijidhatiti nigawe kwa wengine kwa heshima .

Hata uzinduzi wa nilizojenga nlikuwa siendi, natuma mtu. Yaani ni mtu Fulani sipendi kujigamba .

Mungu mbona unaangalia nikiteseka hivi? Mbona nimesahulika?

Wachawi na wazee wakulungwa nliwafanyia nni ndo mnifanyie haya?

Daah Dunia imenigeuka, nyota yangu iliyokuwa iking'aa sijui ndo vpi?

Hivi mnaologa Kama ni kweli hamuoni athari za kazi watakaopoteza, wanafunzi nnaosomesha wakikosa ada?

Ofisini japo nimeajiri wakili 6 ila ni mojawapo ya mchango kwa jamii. Haya basi Kama ni Mali simngechukua afya na furaha mniachie?

Wazee wa ndagu, wakulungwa ebana ehh imetosha !!! Ila siku yenu yaja naamini !!!

Daaah!!!!
Yaani Mtu wa 1992 Mafanikio yote hayo wakati wenye 45 years hata Bodaboda hawana?
 
Nawasalimu nyote wakuu na wadogo wenzangu. Kwa majina naitwa Benjamin mchopa, mzawa wa Kanda la Ziwa.

Post hii ni kwenu nyinyi niwape tahadhari hata upate funzo ila usipopata ni sawa, Mungu wetu sote.

Nlizaliwa mwaka wa 1992 na nlikuwa mwerevu mno toka darasa za chekechea, upili nlipita kwa alama za juu mno.

Nilifanikiwa kupata scholarship nikaenda kusomea Chuo Kikuu Cha Nairobi, Kenya uanasheria (LLB) nikahitimu first class, niliproceed LLM in energy law, Havard.

Nilirudi nyumbani bongo nikaanzisha law firm Dar na ilinawiri kweli, kufika ndani ya miaka miwili after kurudi nilikuwa na lorry zangu kumi though zilikuwa zinasafirisha mazao toka bongo Hadi soko za Githunguri, Kariakor(Nbi), Gikomba n.k hata mwembe tayari Mombasa Kenya. Yote haya nichangie kusaidia wakulima bongo jambo ambalo lilinipa furaha.

Nafasi miezi minane iliyopita kwa kuwa nili-pursue Energy law Masters na tupo wachache kwenye hili discipline bongo nikaangukia consultancy na Serikali viwanda vya gesi kwa niaba ya Serikali Kuu katika nyanja za Legal policy frameworks in mining, extraction na social development.

Ebanae baada ya mateso kusoma na shida nilipata fursa ya kuwasaidia wazazi wangu na ndugu zangu wawili wa kike, maisha yalikuwa sawa, pesa niliogelea nazo wangwana. Yaani benki nlikuwa napiga VIP sihitaji ATM.

Licha ya yote haya sikumdharau yeyote, niliheshimu kila mtu mpaka wazee kijijini waliishia kushangaa. Hela ndefu ila nipo mnyenyekevu kupitiliza.

Siwezi hesabu boma ngapi zilitaka nioe kwao, Ila kizazaa kilianza nilipoonyesha kwa mbali kuna Binti nilimpenda pale kijijini. Sikuwa nimefikia kutoa posa wala sikuwa nimekula hata mzigo.

Takriban miezi mitatu iliyopita mambo yangu yalianza kuyumba, kiafya mno mpaka kazini nikapewa off ya kilazima nikapate matibabu, kortini tena siwezi kwenda, yaani tumbo linanguruma utadhani fuso lapita .

Nikiwa hospitali yaani likinguruma mpaka kila mtu kimya, sauti tu ya radi vile, maumivu usiseme.

Nimezunguka Sauzi, Nairobi, Dubai hospitali nane nje hapa nchini ndo usiseme, millioni 276 so far imeliwa hivyo tu bila kusaidika

Wiki imepita lorry nne zimeanguka cha kushangaza dereva na mizigo haiaribiki ni gari tu laaribika beyond repair, yale mengine TRA, makesi ya kishenzi tu (hili najua sababu mie wakili, kesi hazina standing kabisa) zimezuka .

Dada anayenifuata aliposafiri Moshi kufuatilia kesi alipigwa na ajali ila gari wapo wanne ni yeye tu aliyeumia tena vibaya sana ,ila namshukuru Mungu anarecover .

Yaani nahisi nipo under attack, amani imesepa, sijui nigeukie wapi..

Wazee wa kikao(washkaji) wamekuja nicheki hospitali wanadai nachezewa na mtu kichawi, nimesoma Sana so Imani hizo sikuwa nazo lakini sasa naona kama lipo ukweli hapo kuhusu hilo. Yaani utajiri, afya, hata furaha kwa familia imepotea, bad news after another .

Nikivuta taswira sipati picha nilimkosea nani? Yaani mie na ugomvi ni njia panda zisizopatana, nimesomesha mpaka watoto wa majirani mjini na kijijini ilimradi wapenye nao, nimejenga mpaka madarasa ya shule niliyosomea kijijini ilimradi nisaidie jamii, kikuu nilijua hizi pesa nitakufa niziache, kwa hiyo kile Mungu alinipa nami nilijidhatiti nigawe kwa wengine kwa heshima .

Hata uzinduzi wa nilizojenga nlikuwa siendi, natuma mtu. Yaani ni mtu Fulani sipendi kujigamba .

Mungu mbona unaangalia nikiteseka hivi? Mbona nimesahulika?

Wachawi na wazee wakulungwa nliwafanyia nni ndo mnifanyie haya?

Daah Dunia imenigeuka, nyota yangu iliyokuwa iking'aa sijui ndo vpi?

Hivi mnaologa Kama ni kweli hamuoni athari za kazi watakaopoteza, wanafunzi nnaosomesha wakikosa ada?

Ofisini japo nimeajiri wakili 6 ila ni mojawapo ya mchango kwa jamii. Haya basi Kama ni Mali simngechukua afya na furaha mniachie?

Wazee wa ndagu, wakulungwa ebana ehh imetosha !!! Ila siku yenu yaja naamini !!!

Daaah!!!!
Acha ufala, hujaonesha uthibitisho kuwa umerogwa. Tutaaminije?
Halafu umedanganya, wewe ni mzaliwa wa Masasi unasema Mwanza.
 
Yaani mtu usome hadi Havard School of Law, halafu bado unaamini upuuzi kuwa kuna uchawi na kurogwa?
Ndio ujue Jamii yetu imeoza.

Yaani nasoma comments asilimia 90 ya ushauri ni kwenda kwenye ushirikina.

Pole sana kwa unayopitia Mleta uzi ila kwa kweli umenisikitisha kwa kuwa na imani haba kiasi hicho.

Pia hujasema tatizo lako la kiafya ni nini, maana kama umeweza kufuata tiba hata nje ya nchi siamini kwamba hawajakwambia tatizo ni nini maana kule hakuna Wapiga ramli.

Sanasana watakwambia ni tatizo lisiloweza kutibika/halina tiba...either kwa hatua ugonjwa ulipofikia au bado dawa haijapatikana...kuna saratani, HIV n.k.

Maana pia hapo hujaeleza kama ulipata matibabu au bado upo kwenye matibabu au vipi.
 
Dua dua dua, omba Mungu kila mara katika kila jambo unalotaka kufanya...

Dua na sadaka ni kinga nzuri sana kwa mwanadamu dhidi ya wanadamu..

Kabla ya kuanza biashara au kazi yeyote fanya dua umuombe Mungu na ujikabidhishe kwake....sio dua kimasikharasikhara namaanisha dua kweli..ila sio ushirikina...

Tuwe tunatoa sadaka mara kwa mara kwa wenye uhitaji, watoto yatima, wasiojiweza, wagonjwa mahospitali wasio na msaada nk....

Kazi na Mali zinahitaji kinga ya Mwenyezi Mungu.... ukiwa navyo muombe Mungu avilinde usiku na mchana AFRICA NGUMU SANA..
 
Story imetungwa kwa ubunifu hafifu sana! Sijui kama malengo yako yatatimia.
Hata katika story ukaongeza ...usisaidie maskin...! Ndo nikajua we sio mzima. Umechoka mwili na roho. Kwa taarifa yako kila mwenye hela anajua raha ya kusaidia. Anajua namna gani anajiona ana thaman dunian. We uko kundi la kupewa huwezi jua hili. Unaamini furaha ni kuwa na pesa unasahau je ukishakuwa na pesa furaha inakuwa nini! Pesa ni tool ya kupata furaha sio furaha yenyewe!.
So, siwez kukupa ushauri wowote mana ni riwaya. Ila tambua tu maisha huweza kukuweka kona yoyote bila kuhusisha kurogwa wala kutenda wema wala ubaya.
Wema na ubaya ni mwanga na giza. Kuchagua ni hiari yako.
Tatizo la binadam ni kuamini hali nzuri inatuhusu lakin hali mbaya ni kwa wengine. Ndo maana mpumbavu akipata huwadharau anaowazidi.
Mianya iliyofunguka kwa nguvu za asili huweza kufunga pia kwa nguvu za asili. Ulichopata leo akakosa yule huweza kupewa mwingine ukakosa wewe.
Jifunze kupitia walau siasa za nchi yetu na jinsi awamu zinakuwa. Ulaji unavokuwa!
Kama una elimu dunia kidogo, jarib kuitumia kabla hujafikiria vya kufikirika!
Mmmmmh[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Sitokupinga Ila kiswahili sijui kuandika vizuru ,but my proficiency in writing the queens language is efficient ,I didn't scale the heights of education to Havard by shear chance ,Ila siyo dhumuni la Uzi huu
Umezaliwa England na kukulia England,hongera mkuu
 
Pole Sana ,kumbe mapito haya tupo wengi , mmoja wa niliowasaidia juzi nliskia akitamba kuwa Hela zangu ni za freemason ,nlishangaa ,kijana nlimpa kazi kumbe angegeuka hivi ,Ila yote kwa mungu
Polee sana binadamu ndivyo walivyo,mm mwenyewe nipo kwenye situation moja ngumu sana ila napambana kama kuna mkono wa mtu basi ipo siku atachoka
 
Back
Top Bottom