Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,030
- 40,097
Wew tatizo ni mshamba na una kitu kinaitwa conservativeness ya jamii yako tushapiga parefu tembea jua familia yako unaleta showoff za kishamba hao wakina bakhresa wangerudi kwao kuwekeza mbona wako bongo
We ushapiga parefu una Maisha yako shobo za nn na kwenu watu wa karibu wabaya sana usiambiwe.
Mi tangu nipate matatizo kipindi fulani nilipokuwa chuo maana nilirudi home kufika nikawa sioni yaani macho nikapata upenyo kuja chuo tena nilikuja kwa ishu postpone nilikuja dar nikakaa siku tatu nikapona ghafla machale yakanicheza kule kuna tatizo sina asili sina ukabila nikaona kule hakunipendi japo ni kwetu sijarudi tena mpaka nilienda naishia lodge nakutana na mzee juu kwa juu nampa pesa nalisha familia kila nwezi mm nilishagundua michezo michafu sirudi labda maiti yangu ndo itarudi mbele kwa mbele
Watu ni wajinga sana wanachukia mafanikio ni mzee nilimchana nikamwambia hapo kwako sitafika ndugu zako wanga shenzi kabisa nilipofaulu tu anatangaza kila mtu anajua michongo nilishtua sikutaka zawadi wala kufanyiwa graduation wala sherehe tangu naanza nursery hizo zawadi watu wanaweka mauchawi yoa humu ndo maana hawaendelei ujinga tu
We ushapiga parefu una Maisha yako shobo za nn na kwenu watu wa karibu wabaya sana usiambiwe.
Mi tangu nipate matatizo kipindi fulani nilipokuwa chuo maana nilirudi home kufika nikawa sioni yaani macho nikapata upenyo kuja chuo tena nilikuja kwa ishu postpone nilikuja dar nikakaa siku tatu nikapona ghafla machale yakanicheza kule kuna tatizo sina asili sina ukabila nikaona kule hakunipendi japo ni kwetu sijarudi tena mpaka nilienda naishia lodge nakutana na mzee juu kwa juu nampa pesa nalisha familia kila nwezi mm nilishagundua michezo michafu sirudi labda maiti yangu ndo itarudi mbele kwa mbele
Watu ni wajinga sana wanachukia mafanikio ni mzee nilimchana nikamwambia hapo kwako sitafika ndugu zako wanga shenzi kabisa nilipofaulu tu anatangaza kila mtu anajua michongo nilishtua sikutaka zawadi wala kufanyiwa graduation wala sherehe tangu naanza nursery hizo zawadi watu wanaweka mauchawi yoa humu ndo maana hawaendelei ujinga tu