USHUHUDA: Dunia, uchawi umeniacha hoi. Mungu nikumbuke

USHUHUDA: Dunia, uchawi umeniacha hoi. Mungu nikumbuke

Yaani Mtu wa 1992 Mafanikio yote hayo wakati wenye 45 years hata Bodaboda hawana?
Unataka watu wote wawe sawa katika maisha?.. kuna huyo wa 45 hana hata bodaboda kuna mwingine ana miaka 21 na ameweza kujenga kununua gari. Tupo tofauti.
 
Hii dunia ionen tu iv iv mpaka nikajiita mbeba lawama ilkua hiv.. katka familia mm kama mtoto w kiume kuzalia katikat nlbahatika kupata Kaz katika umr mdogo Sana Kaz ilnlpa pa kubwa Sana na kwakua skua na majukum nliona pesa yangu ndio iwe nguzo kwa ndugu zangu wengne na tumezaliwa pande mbil Yan kwetu na was mama mwngne nlipo jchanganya n kuanza kusaidia na wale wengne s ndio wakaanza kuleta maneno anajkuta yeye ndio anapesa yeye ndio anakaz kaanza kumjengea na mzee wake nyumba asee walmwengu sjui waliniloga na nn toka 2019 nljkuta siwez kuingia ofcn naliogopa get la ofcn nlkaa nje ya ofs bila kuingia kazn mpka 2021 mwez wa 7 Kaz ikaisha ma hr washanikalsha Sana em nenda kwenu hii sio akil yako Sasa hata nikienda kwetu naenda kuanzia wap sielew nkawa nakunywa pombe hatar kesi zisozo na kichwa wala miguu zikainuka juu yangu uko ofcn mpka wengne wakawa wananiita Tapel.

Hakuna mtu aliejtokeza kusaidia Kat ya ndugu zangu saiv nasota mwenyew hata Kaz ya kuendesha school bas nakosa nshaomba Sana Kaz lakn milango ya Kaz iko blocked kabsa nmekwama mtoto wa kiume ile hulka ya watu walikua wakifurah uwepo wangu imepotea kabsa saiv naishia kujikalia ndan atakae nkumbuka ndio ananitumia 10000 ukimwomba wik inayofata anakwambia unamatumiz mabaya ya pesa kwel?

uchawi upo sanaaa na funzo nililolpata ukiwana pesa usisaidie maskin n watu wabaya Sana nahawafurahishw na maendeleo yako hata kidogo ndio Mana watu wengne hua awakanyag kijijin kwao pale wanapoanza kuinuka kimaisha.. pole Sana ndugu hil n letu sote Nshazunguka kwa waganga wachungaj mashekhe Sasa nmenyoosha mikono nasubr nione maisha yananpeleka wap Mana hii Hal n ya hatar Sana
Daah pole sana mkuu.
 
Story imetungwa kwa ubunifu hafifu sana! Sijui kama malengo yako yatatimia.

Hata katika story ukaongeza ...usisaidie maskin...! Ndo nikajua we sio mzima. Umechoka mwili na roho. Kwa taarifa yako kila mwenye hela anajua raha ya kusaidia.

Anajua namna gani anajiona ana thaman dunian. We uko kundi la kupewa huwezi jua hili. Unaamini furaha ni kuwa na pesa unasahau je ukishakuwa na pesa furaha inakuwa nini! Pesa ni tool ya kupata furaha sio furaha yenyewe!.

So, siwez kukupa ushauri wowote mana ni riwaya. Ila tambua tu maisha huweza kukuweka kona yoyote bila kuhusisha kurogwa wala kutenda wema wala ubaya.

Wema na ubaya ni mwanga na giza. Kuchagua ni hiari yako.

Tatizo la binadam ni kuamini hali nzuri inatuhusu lakin hali mbaya ni kwa wengine. Ndo maana mpumbavu akipata huwadharau anaowazidi.

Mianya iliyofunguka kwa nguvu za asili huweza kufunga pia kwa nguvu za asili. Ulichopata leo akakosa yule huweza kupewa mwingine ukakosa wewe.

Jifunze kupitia walau siasa za nchi yetu na jinsi awamu zinakuwa. Ulaji unavokuwa!

Kama una elimu dunia kidogo, jarib kuitumia kabla hujafikiria vya kufikirika!
Wewe ni mchawi.
 
Pole mkuu!!mtafute msahana Jr atakusaidi.naamini amesoma bandiko lalo.
 
Story imetungwa kwa ubunifu hafifu sana! Sijui kama malengo yako yatatimia.

Hata katika story ukaongeza ...usisaidie maskin...! Ndo nikajua we sio mzima. Umechoka mwili na roho. Kwa taarifa yako kila mwenye hela anajua raha ya kusaidia.

Anajua namna gani anajiona ana thaman dunian. We uko kundi la kupewa huwezi jua hili. Unaamini furaha ni kuwa na pesa unasahau je ukishakuwa na pesa furaha inakuwa nini! Pesa ni tool ya kupata furaha sio furaha yenyewe!.

So, siwez kukupa ushauri wowote mana ni riwaya. Ila tambua tu maisha huweza kukuweka kona yoyote bila kuhusisha kurogwa wala kutenda wema wala ubaya.

Wema na ubaya ni mwanga na giza. Kuchagua ni hiari yako.

Tatizo la binadam ni kuamini hali nzuri inatuhusu lakin hali mbaya ni kwa wengine. Ndo maana mpumbavu akipata huwadharau anaowazidi.

Mianya iliyofunguka kwa nguvu za asili huweza kufunga pia kwa nguvu za asili. Ulichopata leo akakosa yule huweza kupewa mwingine ukakosa wewe.

Jifunze kupitia walau siasa za nchi yetu na jinsi awamu zinakuwa. Ulaji unavokuwa!

Kama una elimu dunia kidogo, jarib kuitumia kabla hujafikiria vya kufikirika!
Eti nimejikuta natamani uendelee tu kufunguka!
Una akili kubwa.
 
Nawasalimu nyote wakuu na wadogo wenzangu. Kwa majina naitwa Benjamin mchopa, mzawa wa Kanda la Ziwa.

Post hii ni kwenu nyinyi niwape tahadhari hata upate funzo ila usipopata ni sawa, Mungu wetu sote.

Nlizaliwa mwaka wa 1992 na nlikuwa mwerevu mno toka darasa za chekechea, upili nlipita kwa alama za juu mno.

Nilifanikiwa kupata scholarship nikaenda kusomea Chuo Kikuu Cha Nairobi, Kenya uanasheria (LLB) nikahitimu first class, niliproceed LLM in energy law, Havard.

Nilirudi nyumbani bongo nikaanzisha law firm Dar na ilinawiri kweli, kufika ndani ya miaka miwili after kurudi nilikuwa na lorry zangu kumi though zilikuwa zinasafirisha mazao toka bongo Hadi soko za Githunguri, Kariakor(Nbi), Gikomba n.k hata mwembe tayari Mombasa Kenya. Yote haya nichangie kusaidia wakulima bongo jambo ambalo lilinipa furaha.

Nafasi miezi minane iliyopita kwa kuwa nili-pursue Energy law Masters na tupo wachache kwenye hili discipline bongo nikaangukia consultancy na Serikali viwanda vya gesi kwa niaba ya Serikali Kuu katika nyanja za Legal policy frameworks in mining, extraction na social development.

Ebanae baada ya mateso kusoma na shida nilipata fursa ya kuwasaidia wazazi wangu na ndugu zangu wawili wa kike, maisha yalikuwa sawa, pesa niliogelea nazo wangwana. Yaani benki nlikuwa napiga VIP sihitaji ATM.

Licha ya yote haya sikumdharau yeyote, niliheshimu kila mtu mpaka wazee kijijini waliishia kushangaa. Hela ndefu ila nipo mnyenyekevu kupitiliza.

Siwezi hesabu boma ngapi zilitaka nioe kwao, Ila kizazaa kilianza nilipoonyesha kwa mbali kuna Binti nilimpenda pale kijijini. Sikuwa nimefikia kutoa posa wala sikuwa nimekula hata mzigo.

Takriban miezi mitatu iliyopita mambo yangu yalianza kuyumba, kiafya mno mpaka kazini nikapewa off ya kilazima nikapate matibabu, kortini tena siwezi kwenda, yaani tumbo linanguruma utadhani fuso lapita .

Nikiwa hospitali yaani likinguruma mpaka kila mtu kimya, sauti tu ya radi vile, maumivu usiseme.

Nimezunguka Sauzi, Nairobi, Dubai hospitali nane nje hapa nchini ndo usiseme, millioni 276 so far imeliwa hivyo tu bila kusaidika

Wiki imepita lorry nne zimeanguka cha kushangaza dereva na mizigo haiaribiki ni gari tu laaribika beyond repair, yale mengine TRA, makesi ya kishenzi tu (hili najua sababu mie wakili, kesi hazina standing kabisa) zimezuka .

Dada anayenifuata aliposafiri Moshi kufuatilia kesi alipigwa na ajali ila gari wapo wanne ni yeye tu aliyeumia tena vibaya sana ,ila namshukuru Mungu anarecover .

Yaani nahisi nipo under attack, amani imesepa, sijui nigeukie wapi..

Wazee wa kikao(washkaji) wamekuja nicheki hospitali wanadai nachezewa na mtu kichawi, nimesoma Sana so Imani hizo sikuwa nazo lakini sasa naona kama lipo ukweli hapo kuhusu hilo. Yaani utajiri, afya, hata furaha kwa familia imepotea, bad news after another .

Nikivuta taswira sipati picha nilimkosea nani? Yaani mie na ugomvi ni njia panda zisizopatana, nimesomesha mpaka watoto wa majirani mjini na kijijini ilimradi wapenye nao, nimejenga mpaka madarasa ya shule niliyosomea kijijini ilimradi nisaidie jamii, kikuu nilijua hizi pesa nitakufa niziache, kwa hiyo kile Mungu alinipa nami nilijidhatiti nigawe kwa wengine kwa heshima .

Hata uzinduzi wa nilizojenga nlikuwa siendi, natuma mtu. Yaani ni mtu Fulani sipendi kujigamba .

Mungu mbona unaangalia nikiteseka hivi? Mbona nimesahulika?

Wachawi na wazee wakulungwa nliwafanyia nni ndo mnifanyie haya?

Daah Dunia imenigeuka, nyota yangu iliyokuwa iking'aa sijui ndo vpi?

Hivi mnaologa Kama ni kweli hamuoni athari za kazi watakaopoteza, wanafunzi nnaosomesha wakikosa ada?

Ofisini japo nimeajiri wakili 6 ila ni mojawapo ya mchango kwa jamii. Haya basi Kama ni Mali simngechukua afya na furaha mniachie?

Wazee wa ndagu, wakulungwa ebana ehh imetosha !!! Ila siku yenu yaja naamini !!!

Daaah!!!!
Pole sana usikate tamaa na usiende kinyume na imani ya kumtegemea Mungu
 
Hii dunia ionen tu iv iv mpaka nikajiita mbeba lawama ilkua hiv.. katka familia mm kama mtoto w kiume kuzalia katikat nlbahatika kupata Kaz katika umr mdogo Sana Kaz ilnlpa pa kubwa Sana na kwakua skua na majukum nliona pesa yangu ndio iwe nguzo kwa ndugu zangu wengne na tumezaliwa pande mbil Yan kwetu na was mama mwngne nlipo jchanganya n kuanza kusaidia na wale wengne s ndio wakaanza kuleta maneno anajkuta yeye ndio anapesa yeye ndio anakaz kaanza kumjengea na mzee wake nyumba asee walmwengu sjui waliniloga na nn toka 2019 nljkuta siwez kuingia ofcn naliogopa get la ofcn nlkaa nje ya ofs bila kuingia kazn mpka 2021 mwez wa 7 Kaz ikaisha ma hr washanikalsha Sana em nenda kwenu hii sio akil yako Sasa hata nikienda kwetu naenda kuanzia wap sielew nkawa nakunywa pombe hatar kesi zisozo na kichwa wala miguu zikainuka juu yangu uko ofcn mpka wengne wakawa wananiita Tapel.

Hakuna mtu aliejtokeza kusaidia Kat ya ndugu zangu saiv nasota mwenyew hata Kaz ya kuendesha school bas nakosa nshaomba Sana Kaz lakn milango ya Kaz iko blocked kabsa nmekwama mtoto wa kiume ile hulka ya watu walikua wakifurah uwepo wangu imepotea kabsa saiv naishia kujikalia ndan atakae nkumbuka ndio ananitumia 10000 ukimwomba wik inayofata anakwambia unamatumiz mabaya ya pesa kwel?

uchawi upo sanaaa na funzo nililolpata ukiwana pesa usisaidie maskin n watu wabaya Sana nahawafurahishw na maendeleo yako hata kidogo ndio Mana watu wengne hua awakanyag kijijin kwao pale wanapoanza kuinuka kimaisha.. pole Sana ndugu hil n letu sote Nshazunguka kwa waganga wachungaj mashekhe Sasa nmenyoosha mikono nasubr nione maisha yananpeleka wap Mana hii Hal n ya hatar Sana
Pole ndugu, kwenye hii misukosuko ya maisha hauko pekeako, Vita ni nyingi juu ya ustawi wa mtu lakini kusema ukae tu uone maisha yatakupeka wapi sio sahihi. Utampa adui ushindi mwepesi, inuka upambane muaibishe shetani.
 
Is 'Havard' a new university somewhere in the western countries?? Au imeanzishwa huku kwetu Africa? Kama anaejua anijuze tafadhali, nimepata hamu ya kurudi masomoni ghafla!
 
Hii dunia ionen tu iv iv mpaka nikajiita mbeba lawama ilkua hiv.. katka familia mm kama mtoto w kiume kuzalia katikat nlbahatika kupata Kaz katika umr mdogo Sana Kaz ilnlpa pa kubwa Sana na kwakua skua na majukum nliona pesa yangu ndio iwe nguzo kwa ndugu zangu wengne na tumezaliwa pande mbil Yan kwetu na was mama mwngne nlipo jchanganya n kuanza kusaidia na wale wengne s ndio wakaanza kuleta maneno anajkuta yeye ndio anapesa yeye ndio anakaz kaanza kumjengea na mzee wake nyumba asee walmwengu sjui waliniloga na nn toka 2019 nljkuta siwez kuingia ofcn naliogopa get la ofcn nlkaa nje ya ofs bila kuingia kazn mpka 2021 mwez wa 7 Kaz ikaisha ma hr washanikalsha Sana em nenda kwenu hii sio akil yako Sasa hata nikienda kwetu naenda kuanzia wap sielew nkawa nakunywa pombe hatar kesi zisozo na kichwa wala miguu zikainuka juu yangu uko ofcn mpka wengne wakawa wananiita Tapel.

Hakuna mtu aliejtokeza kusaidia Kat ya ndugu zangu saiv nasota mwenyew hata Kaz ya kuendesha school bas nakosa nshaomba Sana Kaz lakn milango ya Kaz iko blocked kabsa nmekwama mtoto wa kiume ile hulka ya watu walikua wakifurah uwepo wangu imepotea kabsa saiv naishia kujikalia ndan atakae nkumbuka ndio ananitumia 10000 ukimwomba wik inayofata anakwambia unamatumiz mabaya ya pesa kwel?

uchawi upo sanaaa na funzo nililolpata ukiwana pesa usisaidie maskin n watu wabaya Sana nahawafurahishw na maendeleo yako hata kidogo ndio Mana watu wengne hua awakanyag kijijin kwao pale wanapoanza kuinuka kimaisha.. pole Sana ndugu hil n letu sote Nshazunguka kwa waganga wachungaj mashekhe Sasa nmenyoosha mikono nasubr nione maisha yananpeleka wap Mana hii Hal n ya hatar Sana
taikon ,,popote ulipo heshima ukifike waekee link na humu vijana ili wapitie uzi wako wa ( Usisaidie Maskini )
 
Back
Top Bottom