Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 1,735
- 6,796
Niko fasta kidogo leo, nitaenda kwenye mada.
Vijana mnakosa mbususu za bure kwa kukosa maarifa, kaka yenu nawapa somo leo baada ya utafiti usio rasmi nliofanya kwa muda mrefu.
Usitongoze mwanamke kwa simu unampa muda wa kukujudge sana, wewe panga siku baada ya salamu za hapa na pale. Hio siku muimbishe uombe appointment, asilimia kubwa watakubali sababu hawatokua wamejiandaa, na incase akitokea muimbishe zaidi huku unalenga kula mzigo na mzigo utaula tu 80% probable.
Mshasoma 'The art of war'? Sun Tzu anasema 'attack when your enemy is unprepared' sasa mtongoze dem kwa texts hapo unakua unampa mda mwingi wa kujipanga na atakudharau.
Mtongoze dem akiwa unprepared hapo ataona aibu aibu na hio ni dalili nzr.
Kuna binti mwasibu wa jumuiya nmetoka kumla sasa hv hapa lkn nmetumia hio mbinu mtoto wa watu akaanza kunichekea tu, sio kwamba ni yuko cheap lkn mbinu zangu zimefanikiwa, na hapa mtaani watu wanamuogopa balaa ila mwanaume nimekula leo na style ambazo sikudhan anazijua. Huyu nitaoa niombeeni kaka yenu uzima tu na asibadilike huyu mtoto.
All in all usiwe kama Simba Sc kutarget robo fainali wakati Yanga tunataka kombe, utachelewa mjini hapa shauri yako.
Vijana mnakosa mbususu za bure kwa kukosa maarifa, kaka yenu nawapa somo leo baada ya utafiti usio rasmi nliofanya kwa muda mrefu.
Usitongoze mwanamke kwa simu unampa muda wa kukujudge sana, wewe panga siku baada ya salamu za hapa na pale. Hio siku muimbishe uombe appointment, asilimia kubwa watakubali sababu hawatokua wamejiandaa, na incase akitokea muimbishe zaidi huku unalenga kula mzigo na mzigo utaula tu 80% probable.
Mshasoma 'The art of war'? Sun Tzu anasema 'attack when your enemy is unprepared' sasa mtongoze dem kwa texts hapo unakua unampa mda mwingi wa kujipanga na atakudharau.
Mtongoze dem akiwa unprepared hapo ataona aibu aibu na hio ni dalili nzr.
Kuna binti mwasibu wa jumuiya nmetoka kumla sasa hv hapa lkn nmetumia hio mbinu mtoto wa watu akaanza kunichekea tu, sio kwamba ni yuko cheap lkn mbinu zangu zimefanikiwa, na hapa mtaani watu wanamuogopa balaa ila mwanaume nimekula leo na style ambazo sikudhan anazijua. Huyu nitaoa niombeeni kaka yenu uzima tu na asibadilike huyu mtoto.
All in all usiwe kama Simba Sc kutarget robo fainali wakati Yanga tunataka kombe, utachelewa mjini hapa shauri yako.